Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mafuriko yapo siku zote ila kwa Arusha ni laana ya kuwa na kiongozi kama BashiteKwani Kigoma, Rufiji, Tunduru, Liwale, Kilombero wamepokea laana ya Mheshimiwa Rais?
Bashite ni binadamu lakini ni binadamu muovu,ndiyo maana nchi zinazojielewa wamempiga marufuku kuingia kwao.Kwani Makonda ni rain God. Arusha mvua kubwa hunyesha mlimani hususani mlima Meru na maji mengi husomba miti na mifugo, hata matrekta n.k huleta mjini. Acheni chuki zenu binafsi kwa Makonda yeye ni binadamu kama wewe.
HAPANASasa yakishaflow huko yanakoenda kuishia si ndio wanakumbwa na furiko?