To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
AmiinYarab salama. Huo ni utabiri pengine haitokuwa hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmiinYarab salama. Huo ni utabiri pengine haitokuwa hivyo
Depal njoo ujifunze kitu, usijifanye uliielewa sana fizikia ukageuza gari kuwa meli.
Ukisikia Mafuriko ya namna hiyo yanatokea Arusha au Kilimanjaro ujue ni laana kwasababu kwa nature au landscape ya mikoa hiyo haipaswi kupata mafuriko ya namna hiyo since mikoa ipo chini ya milima kwahiyo maji yanaflow tu
EIA haikufatwa uko Arusha?😂😂😂😂😂😂Usitumie kichwa kubebea kamasi
Sirudi ila nilielewaComment uliielewa?? Rudi ukasome upya
Arusha nzima sio mradi, ila Bwawa la Julius Nyerere ni mradiEIA haikufatwa uko Arusha?😂😂😂😂😂😂
A degree is not a skill is just a printed manila sheet 🤣🤣🤣🤣🤣🪑🪑🪑💺💺💺🎶🎶Watu wa ajabu sana hao halafu unakuta eti mtu ana degree au PHD.
Watu wa Dar wakorofi sanaSirudi ila nilielewa
Hapo Mbeya ndio mliwahamisha Wasafwa na mifugo yao kwenda Rufiji Ili mtawale 😄😄Nilishtuka sana kuona mbeya tupo kwenye list
🤣🤣🤣🤣 we sema kweli?🥴Hapo Mbeya ndio mliwahamisha Wasafwa na mifugo yao kwenda Rufiji Ili mtawale 😄😄
Dar ya kisongo labda, nipo chuganianiWatu wa Dar wakorofi sana
Vijana wa Leo wanaoamini Wanyakyusa ndio Wazawa wa Mbeya Mjini 😂😂🤣🤣🤣🤣 we sema kweli?🥴
😳nani kasema ivo?Vijana wa Leo wanaoamini Wanyakyusa ndio Wazawa wa Mbeya Mjini 😂😂