Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Tunaitaka serikali itueleze imekuwaje wajenge Mbege Dam bila kufanyia EIA? Tunatoa siku tatu 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaitaka serikali itueleze imekuwaje wajenge Mbege Dam bila kufanyia EIA? Tunatoa siku tatu 😂😂😂
Bora hata ulivyokoment maana nilikuwa nakutafuta sikuoni, nikajua ni ile yako 😅Hivi haikuwa na mtu ndani?
Njiro imenyesha mvua kubwa sana.Bora hata ulivyokoment maana nilikuwa nakutafuta sikuoni, nikajua ni ile yako 😅
Njiro si ushuani maji mmeyaelekeza yakaelekezeka.Njiro imenyesha mvua kubwa sana.
Lakini maji yamepita,, tumeamka nje pako salama.
😂😂😂 ningekuwa nimo ndani kuna defence mechanism moja mwal flan alinifunza. Ningeijaribu 🥹🥹
Ila kama haumo basii tena, kinaenda.
Arusha haiko mlimani bashee iko chini ila imezungukwa na milima.kwamromboo,unga ltd,ngaranaro,usariver,sehemu kubwa iko tambarareMji uliopo milimani unapata mafuriko? Wafunge na kuomba toba. Kuna balaa hapo. Si bure.
Makonda anakaribishwa.Hii ndio Taarifa mpya ya Usiku huu, kwamba Jiji la Arusha limekumbwa na mafuriko makubwa sana, huko Kisongo hali ni mbaya zaidi, unaambiwa magari na nguzo za umeme zinasombwa kirahisi tu.
Sasa sijui tuendelee kuiombea Nchi hii au tumwachie tu Mungu?
Mafuriko Arusha hadi maji yanakatiza mjini na kusomba magari! Hii kwangu ni mpya kidogo.
Kiukweli namuomba Mungu aamue mwenyewe atavyo, na kama hili linatokana na mkono wa Mungu basi atukuzwe lakini kama ni Mkono wa mtu basi alaaniwe.
======
Mvua kubwa inanyesha Arusha usiku huu wa Alhamisi Aprili 11, 2024 mpaka muda huu wa saa nane bado mvua ni kubwa. Magari, pikipiki pamoja na mifugo vinasombwa na maji hasa eneo la Kisongo.
😂😂😂 acha basi hizo mambo.Njiro si ushuani maji mmeyaelekeza yakaelekezeka.
Defence gani hiyo tufundishe huenda tukaisaidia jamii.
Pole mkuu! Unateseka ukiwa wapi?Fanya utafiti kabla hujakurupusha hilo liubongo lako lililojaa ma**
Arusha ni wachaga tu wapo umo?
Siyo Jiwe, yeye kaisha fariki baada ya Watanzania kumlilia Mungu, sema Bashite ndiye kaja na laanaUtasikia Magufuli kaleta mafuriko
Mama kapotea sana, nadhani kuna watu wanamshauri vibaya ili aharibu.Tunamshukuru Samia kutuletea laana Arusha!
Ni baada ya Bashite kupelekwa hukoVipi huko nako Magufuli alijenga bwawa bila kufuata ushauri wa wataalamu?
Muuaji kama makonda hastahili heshima yoyote yule anachostahili ni hukumu ya kunyongwa hadi afe. Wewe nawe una kimavi ndiyo maana maisha yamekushinda hadi umeishia kuwa chawa ili mkono uende kinywani. Ungekuwa na maisha bora usingekuwa chawa masikini wa akili na mali weweMkuu Kimavi kiko na wazazi wako walioshindwa kukulea kwa maadili ambayo yangekuweka katika hali ya kuheshimu viongozi wa nchi yako,poor you
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu Kimavi kiko na wazazi wako walioshindwa kukulea kwa maadili ambayo yangekuweka katika hali ya kuheshimu viongozi wa nchi yako,poor you
Ila mkuu sijui kwanini huwa naona kama una akili sana kama Bashite, big up mkuuSio kuwa kuna bwawa lililojengwa na Magufuli limefunguliwa maana halikufanyiwa EIA?
Kamnyonge sasa,keyboard warrior,kama unaushahidi wa tuhuma zake peleka mahakamaniMuuaji kama makonda hastahili heshima yoyote yule anachostahili ni hukumu ya kunyongwa hadi afe. Wewe nawe una kimavi ndiyo maana maisha yamekushinda hadi umeishia kuwa chawa ili mkono uende kinywani. Ungekuwa na maisha bora usingekuwa chawa masikini wa akili na mali wewe
Wewe nenda kamlambe makalio ndiyo unachoweza tuKamnyonge sasa,keyboard warrior,kama unaushahidi wa tuhuma zake peleka mahakamani