johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hawa Watoto akina Erythrocyte 😂😳nani kasema ivo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa Watoto akina Erythrocyte 😂😳nani kasema ivo?
Sawa..sijazoea majungu mkuu...asanteHawa Watoto akina Erythrocyte 😂
Majungu siyo mtajiSawa..sijazoea majungu mkuu...asante
Unayajua majanga wewe au unaropoka tuu?Hii ndio Taarifa mpya ya Usiku huu, kwamba Jiji la Arusha limekumbwa na mafuriko makubwa sana, huko Kisongo hali ni mbaya zaidi, unaambiwa magari na nguzo za umeme zinasombwa kirahisi tu.
Sasa sijui tuendelee kuiombea Nchi hii au tumwachie tu Mungu?
Mafuriko Arusha hadi maji yanakatiza mjini na kusomba magari! Hii kwangu ni mpya kidogo.
Kiukweli namuomba Mungu aamue mwenyewe atavyo, na kama hili linatokana na mkono wa Mungu basi atukuzwe lakini kama ni Mkono wa mtu basi alaaniwe.
======
Mvua kubwa inanyesha Arusha usiku huu wa Alhamisi Aprili 11, 2024 mpaka muda huu wa saa nane bado mvua ni kubwa. Magari, pikipiki pamoja na mifugo vinasombwa na maji hasa eneo la Kisongo.
🤣🤣🤣🥴 Barikiwa sanaMajungu siyo mtaji
Eid Mubarak
Usisahau kwa mrombo.Kisongo na Duka bovu na Ngaramtoni mafuriko ni kawaida tu
Hanang nako?Siyo Jiwe, yeye kaisha fariki baada ya Watanzania kumlilia Mungu, sema Bashite ndiye kaja na laana
MUNGU KACHUKIZWA NA CCMHii ndio Taarifa mpya ya Usiku huu, kwamba Jiji la Arusha limekumbwa na mafuriko makubwa sana, huko Kisongo hali ni mbaya zaidi, unaambiwa magari na nguzo za umeme zinasombwa kirahisi tu.
Sasa sijui tuendelee kuiombea Nchi hii au tumwachie tu Mungu?
Mafuriko Arusha hadi maji yanakatiza mjini na kusomba magari! Hii kwangu ni mpya kidogo.
Kiukweli namuomba Mungu aamue mwenyewe atavyo, na kama hili linatokana na mkono wa Mungu basi atukuzwe lakini kama ni Mkono wa mtu basi alaaniwe.
======
Mvua kubwa inanyesha Arusha usiku huu wa Alhamisi Aprili 11, 2024 mpaka muda huu wa saa nane bado mvua ni kubwa. Magari, pikipiki pamoja na mifugo vinasombwa na maji hasa eneo la Kisongo.
Vipi akina Pambalu na yule askofu 'mwanamapinduzi' wameshaonekana huko?Hii ndio Taarifa mpya ya Usiku huu, kwamba Jiji la Arusha limekumbwa na mafuriko makubwa sana, huko Kisongo hali ni mbaya zaidi, unaambiwa magari na nguzo za umeme zinasombwa kirahisi tu.
Sasa sijui tuendelee kuiombea Nchi hii au tumwachie tu Mungu?
Mafuriko Arusha hadi maji yanakatiza mjini na kusomba magari! Hii kwangu ni mpya kidogo.
Kiukweli namuomba Mungu aamue mwenyewe atavyo, na kama hili linatokana na mkono wa Mungu basi atukuzwe lakini kama ni Mkono wa mtu basi alaaniwe.
======
Mvua kubwa inanyesha Arusha usiku huu wa Alhamisi Aprili 11, 2024 mpaka muda huu wa saa nane bado mvua ni kubwa. Magari, pikipiki pamoja na mifugo vinasombwa na maji hasa eneo la Kisongo.
MfukuzeniDuu Arusha yetu nayo? Mbona kaja na mibalaa yake huyu.
Mimi nilimaliza elimu ya sekondari meishoni 1990s,nilisoma environmental nini sijui,wakisema huko mbele (Leo) kutakua na mvua nyingi na mafuriko au ukame wa kupitiliza,kina Cha Bahar kitapanda na visiwa kuzamaNdio kiama au?! Kuna nabii alitabir dar kumezwa na maji..