Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 12,823
- 21,210
It's a natural phenomenon. Nothing else.It is a sign that we have to change...kuna mahala mambo hayako sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It's a natural phenomenon. Nothing else.It is a sign that we have to change...kuna mahala mambo hayako sawa
Sio kuwa kuna bwawa lililojengwa na Magufuli limefunguliwa maana halikufanyiwa EIA?Mbona mambo ya kawaida mvua zikiwa kubwa matokeo ni haya, maana hata nchi matajiri duniani USA, Saudi Arabia na Australia hizi nchi kubwa na miuondombinu bora lakini juzi tu mafuriko makubwa ni hali halisi ya mazingira. Kujipanda tu watu wawe salama mengine yatapita tu.
Mbeya nako kaingia mwamba?Kaingia na gundu mwamba
bashiteChadema walaumiwe kwa mafuriko hayo
Poleni watalii!Hii ndio Taarifa mpya ya Usiku huu, kwamba Jiji la Arusha limekumbwa na mafuriko makubwa sana, huko Kisongo hali ni mbaya zaidi, unaambiwa magari na nguzo za umeme zinasombwa kirahisi tu.
Sasa sijui tuendelee kuiombea Nchi hii au tumwachie tu Mungu?
Mafuriko Arusha hadi maji yanakatiza mjini na kusomba magari! Hii kwangu ni mpya kidogo.
Kiukweli namuomba Mungu aamue mwenyewe atavyo, na kama hili linatokana na mkono wa Mungu basi atukuzwe lakini kama ni Mkono wa mtu basi alaaniwe.
======
Mvua kubwa inanyesha Arusha usiku huu wa Alhamisi Aprili 11, 2024 mpaka muda huu wa saa nane bado mvua ni kubwa. Magari, pikipiki pamoja na mifugo vinasombwa na maji hasa eneo la Kisongo.
Fanya utafiti kabla hujakurupusha hilo liubongo lako lililojaa ma**Kwenye hili mkuu nakuunga mkono 100%
Arusha ina watu wa hovyo sana, watukanaji ni wao, siasa za visasi ni wao, gongo ni wao, madawa ya kulevya ni wao, matambiko ni wao, ushoga umeshamiri kule, na mpaka sasa bado hata hawaamini kwamba mwenye kufanya hivyo ni Mungu ili pengine atoe funzo
Wao wamekazania kumsimanga Makonda utadhani hata wakati wa Hanang alikuweko huko, Rufiji nako sijui alienda lini huko
Hovyo sana hao wachaga
Poleni sana arusha wing.
Nmeona ka ist kamebebwa na maji
Kwamba Arusha nzima imepata mafuriko mpk ujudge hivyo?Kwenye hili mkuu nakuunga mkono 100%
Arusha ina watu wa hovyo sana, watukanaji ni wao, siasa za visasi ni wao, gongo ni wao, madawa ya kulevya ni wao, matambiko ni wao, ushoga umeshamiri kule, na mpaka sasa bado hata hawaamini kwamba mwenye kufanya hivyo ni Mungu ili pengine atoe funzo
Wao wamekazania kumsimanga Makonda utadhani hata wakati wa Hanang alikuweko huko, Rufiji nako sijui alienda lini huko
Hovyo sana hao wachaga
Nani kasema serikali imeleta laana?Serikali haijaleta laana.Tutaelewana tu.🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mkuu Kimavi kiko na wazazi wako walioshindwa kukulea kwa maadili ambayo yangekuweka katika hali ya kuheshimu viongozi wa nchi yako,poor youMakonda ana kimavi siyo cha dunia hii
🤣🤣🤣🤣 Hii HapanaKuna ile clip ya mchungaji fulani alisema dar kufikia 23 mwezi wa nne itazama yote.
Nipo hapa nasubiri kupiga mbizi