Mbona malalamiko mengi kwenye nyumba za kuficha Bati (Hidden Roof), Mafundi wanakosea nini hadi zinavuja?

Mbona malalamiko mengi kwenye nyumba za kuficha Bati (Hidden Roof), Mafundi wanakosea nini hadi zinavuja?

Kama wachina wakijitosa kwenye ufundi ujenzi wa mtaani watapata masoko sana. Wanajua kunyoosha nyumba na kila detail inakuwa imepatiwa. Bongo kweny kona za kuta kwa mfano hawawezi kunyoosha. Ukija kwenye vigae vya chooni au bafuni ni kichekesho.
Japo VETA wana kozi za Ufundi ujenzi, Vijana awataki kusoma.... ata kwenye Fenicha pia ni majanga. Wachina wana vyuo wanasomea ndo maana ata Gereji zao za magari hapa nchini wapo makini sana na uhaminifu juu. Ukienda Gereji za Kina fundi Iddi Itabidi na wewe uwe saidia fundi😁😁Ukiwaachia gari Lisaa tu, Wamechakubadilishia Betri mala wametoa Masega etc, na pengine Gari isipone na wakaiongezea tatizo.... ipo haja ya Serikali kuenforce hili iwe kuwa kama ujasomea kazi ya aina fulani basi usiifanye na iwapo ukaifanya kwa kutaka wewe, ukisababosha hasara Jera. Mamia ya Watanzania kila siku vifaa vyao vya Umeme na Electronics vina haribiwa badala ya kutengenezwa na mafundi Magumashi .... angalia ule Utitiri wa mafundi Simu pale Kariakoo ..... 99% ni waganga njaa tu.... Wamemaliza darasa la Saba na awajapitia Chuo chochote kile na ata pale TCRA ilipo amua kuwafundisha for free awataki .... mtu kaishia darasa la Saba ajui ata waya wa Neutral wa Umeme unakaa upande gani kwenye wall socket ana force kurepear Iphone ya 2.5M ambayo walioiunda wengine wana PHD za Electronics. Serikali inatakiwa kuja na regulation ya mafundi Mchundo kama vile inavyofanya kwa Engineers na Technicians wengine kuwa chini ya Regulators kama vile Engineers Regulatory Board, Bodi ya Wahasibu,Bodi ya Wataalam wa Mahabara etc.
 
Aseee..nahusi magundi nod tatizo siyo nyumba
 
Watu wengi hukimbilia hidden roof kukwepa gharama za nyumba za kawaida yani (mgongo wa tembo) matokeo yake hukutana na gharama mara mbili baada ya kutokea kuvuja n.k.

Ukweli ni kwamba Hidden roof hubeba bati chache na mbao pia huwa chache.

Nyumba yoyote ili bora inahitaji budget yakuelewe sio kwamba mafundi wengi hawajui kutengeneza Hidden roof but budget yako ndo inapelekea low quality.

Ili mtu apate nyumba ya Hidden roof isiyo changamoto inabidi awe na ramani ya nyumba, ujue gharama za ramani hiyo andaa mahitaji, tafuta fundi mzuri ujenge.

Jambo la mwisho ni usimamizi wakati wa ujenzi hapo ndo watu huibiwa vifaa (materials) na hutokea low quality.
Uongo acha kuwatetea kiujumla mafundi wa huo mfumo ni wachache wengi wao wanachungulia kwa majirani na kujazana ujinga huko mtaani yaan hawataki kula shule ....ufundi ni neno pana sio kwamba mtu akiwa tu fundi kujenga ukuta anajua kila kitu No tuna mengi ya kujifunza kabla ya kufanya maamuzi mkuu
 
View attachment 2924216
Kumekuwa na malalamiko mengi kuwa nyumba za kuficha Bati maarufu kama Contemporary au Hidden Roof zina shida ya kuvuja sana, sasa wataalamu au mliofanikiwa kujenga hizo nyumba hebu tushauriane hapa mafundi maiko wetu hawa wanakosea wapi?

Maana nataka kubadili paa langu liwe Hidden ila kila nikiona malalamiko ya wadau na picha za baadhi ya nyumba zinavyotia balaa nakosa ujasiri wa kufanya hizo changes.
Kuna injinia mmoja alisema mabati flat yasiyo na mgongo ndio maalum kwa roof hizo.
 
View attachment 2924216
Kumekuwa na malalamiko mengi kuwa nyumba za kuficha Bati maarufu kama Contemporary au Hidden Roof zina shida ya kuvuja sana, sasa wataalamu au mliofanikiwa kujenga hizo nyumba hebu tushauriane hapa mafundi maiko wetu hawa wanakosea wapi?

Maana nataka kubadili paa langu liwe Hidden ila kila nikiona malalamiko ya wadau na picha za baadhi ya nyumba zinavyotia balaa nakosa ujasiri wa kufanya hizo changes.
Contemporary si shida kabisa...ila shida ni hao mafundi wa kufanya hiyo kazi na watu wengi wanapenda kukwepa gharama kwa wataalam wa ujenzi ..mwishowe wanaishia kugharamika zaidi
 
Japo VETA wana kozi za Ufundi ujenzi, Vijana awataki kusoma.... ata kwenye Fenicha pia ni majanga. Wachina wana vyuo wanasomea ndo maana ata Gereji zao za magari hapa nchini wapo makini sana na uhaminifu juu. Ukienda Gereji za Kina fundi Iddi Itabidi na wewe uwe saidia fundi😁😁Ukiwaachia gari Lisaa tu, Wamechakubadilishia Betri mala wametoa Masega etc, na pengine Gari isipone na wakaiongezea tatizo.... ipo haja ya Serikali kuenforce hili iwe kuwa kama ujasomea kazi ya aina fulani basi usiifanye na iwapo ukaifanya kwa kutaka wewe, ukisababosha hasara Jera. Mamia ya Watanzania kila siku vifaa vyao vya Umeme na Electronics vina haribiwa badala ya kutengenezwa na mafundi Magumashi .... angalia ule Utitiri wa mafundi Simu pale Kariakoo ..... 99% ni waganga njaa tu.... Wamemaliza darasa la Saba na awajapitia Chuo chochote kile na ata pale TCRA ilipo amua kuwafundisha for free awataki .... mtu kaishia darasa la Saba ajui ata waya wa Neutral wa Umeme unakaa upande gani kwenye wall socket ana force kurepear Iphone ya 2.5M ambayo walioiunda wengine wana PHD za Electronics. Serikali inatakiwa kuja na regulation ya mafundi Mchundo kama vile inavyofanya kwa Engineers na Technicians wengine kuwa chini ya Regulators kama vile Engineers Regulatory Board, Bodi ya Wahasibu,Bodi ya Wataalam wa Mahabara etc.
Ukija kwenye swala la electric car ni bomu kwa sababu mafundi wa zamani hawataki kusomea namna ya kutengeneza magari ya umeme wanataka shortcut

Mimi naendaga gsm kuangalia zile sofa za gsm aiseee kuna utofauti mkubwa sana na hizi za mafundi wa mtaani
 
Japo VETA wana kozi za Ufundi ujenzi, Vijana awataki kusoma.... ata kwenye Fenicha pia ni majanga. Wachina wana vyuo wanasomea ndo maana ata Gereji zao za magari hapa nchini wapo makini sana na uhaminifu juu. Ukienda Gereji za Kina fundi Iddi Itabidi na wewe uwe saidia fundi😁😁Ukiwaachia gari Lisaa tu, Wamechakubadilishia Betri mala wametoa Masega etc, na pengine Gari isipone na wakaiongezea tatizo.... ipo haja ya Serikali kuenforce hili iwe kuwa kama ujasomea kazi ya aina fulani basi usiifanye na iwapo ukaifanya kwa kutaka wewe, ukisababosha hasara Jera. Mamia ya Watanzania kila siku vifaa vyao vya Umeme na Electronics vina haribiwa badala ya kutengenezwa na mafundi Magumashi .... angalia ule Utitiri wa mafundi Simu pale Kariakoo ..... 99% ni waganga njaa tu.... Wamemaliza darasa la Saba na awajapitia Chuo chochote kile na ata pale TCRA ilipo amua kuwafundisha for free awataki .... mtu kaishia darasa la Saba ajui ata waya wa Neutral wa Umeme unakaa upande gani kwenye wall socket ana force kurepear Iphone ya 2.5M ambayo walioiunda wengine wana PHD za Electronics. Serikali inatakiwa kuja na regulation ya mafundi Mchundo kama vile inavyofanya kwa Engineers na Technicians wengine kuwa chini ya Regulators kama vile Engineers Regulatory Board, Bodi ya Wahasibu,Bodi ya Wataalam wa Mahabara etc.
Na ukitaka ujue watanzania wanapenda shortcut
Mtu Anakuambia contemporary house umwage zege huku huku kwenye comment
 
Sio kweli kuna watu wameweka na mvua zote za masika ya mwaka jana hakuna hata tone la maji yaliyoingia ndani
Kweli ukipata Fundi Mwenye kuijua kazi yake! Alivuji
 

Attachments

  • IMG_2652.jpeg
    IMG_2652.jpeg
    477.2 KB · Views: 31
  • IMG_2651.jpeg
    IMG_2651.jpeg
    472.8 KB · Views: 30
Ukimwaga zege sio contemporary house bali ni ghorofa
Nyumba ambayo utamwaga zege juu msingi wake, na nondo ni tofauti na contemporary house
Usiwe unapenda shortcut
Hahahaha😊 Ahsante kwa ushauri ✅️
 
Kwa maumivu MAKALI nilyopata na hidden roof, nashauri kwa unyenyekevu mkubwa kwa anayeanza maisha na pesa ya kujichanga kupitia maokoto mbalimbali, AJENGE NYUMBA YA KAWAIDA.
Asante mama wapambanaji tumekuelewa kwq unyenyekevu
 
hahahah

sio ndio wale mafundi maiko wanakwambia Gari zile BMW sio gari kabisa , anakwambia pita garage zote za Mjini namba D kibao za BMW zimepaki …ukimuuliza una ujuzi rasmi wa kutengeneza yale Magari anaishia kukutajia makanja nja wenzie wanaojifanya wajuaji

Tatizo letu ni umaskini na kupenda kuonekana wa kisasa

style mpya bado haijaenea na wewe pesa ya mawazo unakubali nyumba yako kugeuzwa kitengo cha mafunzo kwa vitendo cha VETA
Kabisa mkuu. Yaani wakikaa vijiweni unaweza usifanye jambo lako kwa kukatishwa tamaa nao. Halafu huwa wanatoa fact za kuambiana vijiweni. Mafundi maiko ni noma sana.

Binafsi najiweka rehani kwa anayehitaji fundi mzuri wa contemporary house. Anafanya kazi kwa weredi sana.
 
Wanapatikana wap hao mafundi
Wapo wanapatikana mkuu. Kwa faida ya wengi mpigie huyu jamaa anaitwa Mrema, 0719344455.
Huyo habahatishi kazi yake.
Instagram anatumia "mrema_brands_mapaa". Ni mmoja kati ya mafundi nimekutana nao hawana hadithi.
 
asilimia kubwa mafundi wanaotengeneza hidden roof wana ujuzi mdogo
wana bambia bambia tu jichanganye na fundi maiko
Mimi mwenyewe hapa nina msala wa kubadili paa la nyumba. Mafundi wengi hawawezi upauaji huu. Fundi wangu kanitia hasara sana
 
Ni kweli uezekaji wa namna hii una changamoto kwa mafundi wengi, lakini changamoto kubwa zaidi ipo kwa wenye nyumba wenyewe, ukiwapa gharama wanaona kubwa, badala yake wanatafuta fundi wa bei nafuu, matokeo yake anaharibu kazi.
 
Back
Top Bottom