Morogoro ndio zaidi. Mi naona zinalipa.Sidhani kama una mkoa una gesti nyingi kuzidi mkoa wa Singida.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Morogoro ndio zaidi. Mi naona zinalipa.Sidhani kama una mkoa una gesti nyingi kuzidi mkoa wa Singida.
Sio kweli nimeishi morogoro na nimefika kahamaMorogoro ndio zaidi. Mi naona zinalipa.
SingidA mjini wAmetia fora nimeishi pale miAka mitatu ni mwendo wa kumwAgA laziSidhani kama una mkoa una gesti nyingi kuzidi mkoa wa Singida.
Newala apa napoishi mm iyo uwongoHujafika Newala, gesti hadi kanisani
kuna condom vyumbani?Jamani mji wa kahama una lodge na Guests house nyingi Sana...kulikoni ..
Ndo kusema ni mji wa kibiashara Sana kuliko mji wowote Kanda ya Ziwa...
Na madada powa nao hawako nyuma ni wengi wa kutosha ukicheza vibaya umeondoka nao...na hivi Trump anaenda kukomesha mchakato wa Msaada wa ARV kupitia UNSAID na NGO's...apo ndo patakuwa patamu.
Kasulu nilienda guest Kali mpya 15,000Mji wa Kasulu ni zaidi
Hata Kahama Lodge ya 15k ni mpya zote kama una guest house yako chakavu inabidi uwauzie matajiri waibomoe wajenge mpya ndo wateja watakuja maana ushindani ni mkubwaKasulu nilienda guest Kali mpya 15,000
Mji muhimu wa kibiashara huo.Jamani mji wa kahama una lodge na Guests house nyingi Sana...kulikoni ..
Ndo kusema ni mji wa kibiashara Sana kuliko mji wowote Kanda ya Ziwa...
Na madada powa nao hawako nyuma ni wengi wa kutosha ukicheza vibaya umeondoka nao...na hivi Trump anaenda kukomesha mchakato wa Msaada wa ARV kupitia UNSAID na NGO's...apo ndo patakuwa patamu.
Ndo kuliko mji wowote Kanda ya Ziwa...
Na madada powa nao hawako nyuma ni wengi wa kutosha ukicheza vibaya umeondoka nao...na hivi Trump anaenda kukomesha mchakato wa Msaada wa ARV kupitia UNSAID na NGO's...apo ndo patakuwa patamu.
Watu wanatoka Kigoma kwenda kutafuta usingizi wa mchana Kasulu na kurudi Kgm
Monester ndo Nini kateksitaKanisani tena!
Inamaana 'monesteri' zinageuzwa 'gest', hii imekaaje hii?
Uko sahihi kabisa, kuanzia soko la Sofiya hadi huko soko kuu na stendi ni guest houses za kumwagaMji wa Kasulu ni zaidi
Haaaaa true kwa mashemegiii misalimie pale pumaSidhani kama una mkoa una gesti nyingi kuzidi mkoa wa Singida.