Yoso
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 954
- 1,417
Hasa Dumila kimji kidogo saizi ya Chalinze ama Mlandizi lkn kina Guest nyingi mara 3 zaidi ya Mlandizi ama Chalinze.Morogoro ndio zaidi. Mi naona zinalipa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hasa Dumila kimji kidogo saizi ya Chalinze ama Mlandizi lkn kina Guest nyingi mara 3 zaidi ya Mlandizi ama Chalinze.Morogoro ndio zaidi. Mi naona zinalipa.
Weeeeeeee achana na moro kabisa kwenye ni balaaaaSio kweli nimeishi morogoro na nimefika kahama
Kahama huwa najilia tu binamu yangu basi .. maana kuna waya hapoJamani mji wa kahama una lodge na Guests house nyingi Sana...kulikoni ..
Ndo kusema ni mji wa kibiashara Sana kuliko mji wowote Kanda ya Ziwa...
Na madada powa nao hawako nyuma ni wengi wa kutosha ukicheza vibaya umeondoka nao...na hivi Trump anaenda kukomesha mchakato wa Msaada wa ARV kupitia UNSAID na NGO's...apo ndo patakuwa patamu.
Huyo moro hajapajua mpaka zimekuwa kero gestWeeeeeeee achana na moro kabisa kwenye ni balaaaa
Yani ukishuka tuu stand Kila boda ana lodge yake iyo utaamua ww uende wapiSidhani kama una mkoa una gesti nyingi kuzidi mkoa wa Singida.
Ni makazi ya watawa.Monester ndo Nini kateksita
Anhaa nilijua kile kichuma cha kutunzia ekarist takatifuNi makazi ya watawa.
Hapana. Kwa kingereza inaandikwa:'monastery' yaani makazi ya watawa.Anhaa nilijua kile kichuma cha kutunzia ekarist takatifu
Yaani kila baada ya nyumba mbili kuna gesti, nilishangaa sana aiseeYani ukishuka tuu stand Kila boda ana lodge yake iyo utaamua ww uende wapi
Kahama ni mji wa wahamiaji na wengi wao ni masela. Kusipokuwa na guest bouses nyingi masela watadinyia wapi mkuu?Jamani mji wa kahama una lodge na Guests house nyingi Sana...kulikoni ..
Ndo kusema ni mji wa kibiashara Sana kuliko mji wowote Kanda ya Ziwa...
Na madada powa nao hawako nyuma ni wengi wa kutosha ukicheza vibaya umeondoka nao...na hivi Trump anaenda kukomesha mchakato wa Msaada wa ARV kupitia UNSAID na NGO's...apo ndo patakuwa patamu.
Washenzi Sana wale, afu mamlaka za Kahama zinaona powa tu madada powa kahama kujiuza peupe...yahani kahama kwakweli madadapowa ni majanga.Kuna sehemu inaitwa club chiller kuelekea phantom kule nyuma upande wa kushoto, aise wanawake wanakuita eti ukalale nao,jaman uwii
daah! Hatari sana mkuu.Washenzi Sana wale, afu mamlaka za Kahama zinaona powa tu madada powa kahama kujiuza peupe...yahani kahama kwakweli madadapowa ni majanga.