Mbona sasa hivi matangazo ya kampuni za BETTING yameshamiri sana?

Kwahiyo Wizara itoe tuzo kwa mwanahabari mtu anayefanya mambo kinyume na standards za jamii?..This is Bongo but hilo haliwezekani.

Geah Habib sio Mbovu kama ulivyomsema hapa.

I'm out.
 
Kwahiyo Wizara itoe tuzo kwa mwanahabari mtu anayefanya mambo kinyume na standards za jamii?..This is Bongo but hilo haliwezekani.

Geah Habib sio Mbovu kama ulivyomsema hapa.

I'm out.
Hakuna cha am out, rudi hapa tumalizane kwanza.

Ipo hivi. Mfano kuna mtu ni mwizi anaiba na kuua watu ila anatoa sana misaada kwa masikini na kusaidia miradi ya maendeleo utampa tuzo ya raia bora tu kwasababu anakufurahisha kwa yale anayofanya ili aonekane kuwa ana mazuri ila akakuficha kuhusu haiba yake ya matendo nyuma ya pazia au kizani?!

Point yangu sijamlenga huyu mtangazaji m'moja wapo wengi na huwa wanatangaza wakiwa kundi. So nimemtaja kama mshirika.
 
Yaani hadi zile redio zilizoheshimika ukifungua tu waatangaza makamari yao ati kuna mil 10 leo inakusubiri bonyeza 4 nenda....weka 1000 tu na mijinga inaweka.....

Nendeni mkabeti kama Mancity win n und unaona matokeo, haya mambo ya kuwa wajinga. Eti halloo uko wapi umeonaa salioo ndio kama hujui mjini shule wao ndio wanaanza tangaza lak 2 zimeingia umeziona ndioo, fasta wanakata asije kuharubu.

Amkeni hakuna slope ya maisha kwa buku hasa mnaopewa hela ya chakula na waume zenu mnabetia mkome nasema mtalaaniwa. Kila rediioo zimekuwa kero ndio maaana utitri wa redio kila siku.

Observations is also allowed
 
Kama redio moja leo iko huku ....amearibu kabisa ati wahi haraka kuna mil 900 mwezi huu zinakusubiri weweww yaan moto unakusubiiri ami jiandae
900M
MNALIPWS NGAPI MSHAHARA AISEE
 
Habari wakuu.

Hali ya sasa katika redio stesheni za hapa Tanzania imekua ya kukera sana, kutwa kucha ni matangazo ya kamari redioni pia redio stesheni zimekua zinachezesha kamari (wenyewe wanaita bahati nasibu).

Mfano: Mchongo pesa.

Hakuna tena "radha" ya kufatilia vipindi vya redio.

Wizara ya Habari chini ya serikali ya Samia Suluhu imehalalisha wananchi wake kucheza kamari kutwa kucha ili kujipatia kipato cha njia ya kubahatisha.

Hizi kamari zinachochea watu kutowaza namna ya kujiongezea kipato wamekaa kutegemea kubahatika na hiyo michezo kila siku.

Serikali ikaamua kuhalalisha kamari nchini kwa kupunguza kodi kutoka asilimia 20% hadi 10% ilihali vitu vya msingi wameongeza kodi kandamizi kwa wananchi wake mfano TOZO za miamala, kodi ya jengo kila ununuapo LUKU hata kama ni mpangaji utailipa tu inderect.

Serikali ya Samia Suluhu kwanini mmebariki haya mambo ya kipuuzi yaendelee kushamiri nchini?

Haya hizo kodi kandamizi mnazokusanya hatuoni cha maana mnachofanya zaidi ya kununuliana mavieiti kila kukicha!
 
Lini kamari iliharamishwa na SERIKALI zilizopita??
 
Na vipindi vyao vimekosa maana/maudhui yaani kila dakika wanapigia chapuo kamali zao, kuna hao rfa hadi watangazaji wanataka kulia kisa pakua mkwanja. **** chota mihela, na hawa voda na makamali yao meeeeeeeeeeeeeengi,, sina nia ya kuharibu biashara za watu lakin hiz kamali hazina maana kwa nchi yetu. Serikali hili nalo mkalitazame
 
Wa

Ngoja wapigwe
Kufikia 2018 nilikuwa nimetumia tsh13, 700, 000 kwa ajili ya betting na pesa niliyokula ni 6,573,000 na kuanzia 2019 hadi 2022 nimetumia 370,000 na nimekula 4000.kimsingi kamali ni umasikin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…