Mahabaaaaa...Alipo mjukuu babu hachezi mbali...shkamoo babu kipenzi [emoji136]
Nadhani alikuwa katika harakati za kupambana na mashogaHuyo aliyesimama nae hapo ni sisi ( Kiumeni ) au wao ( Kikeni? )
Sawa kaka...tukutane kesho kwenye mechi za mzunguko wa ligi kuu Tzee [emoji41]
Huyu si ndiye designer mpya wa Wema baada ya Martin Kadinda?Huyo aliyesimama nae hapo ni sisi ( Kiumeni ) au wao ( Kikeni? )
Nadhani alikuwa katika harakati za kupambana na mashoga
Jamaniiiiiiiii! Usije ukanitoa bure tu [emoji24] [emoji23]Mahabaaaaa...
Na vile nilivyo na roho safi, nimepunguza mahari.
Basibasi kaka,yaishe...najua nimegusa pabaya hahahaSasa naona unataka ' Kunitibua na Kunikera ' Dada yangu Picha Kitambaa.
Huyu si ndiye designer mpya wa Wema baada ya Martin Kadinda?
Noel sijui...
Basibasi kaka,yaishe...najua nimegusa pabaya hahaha
Kumbe Nifah unatubastola twa nguvuHahahaaaaaaa hii JF bhana? Tukibebishana malalamiko yanazidi...oooh tumezidi kuitana my love,my love.
Tumekaa kimya sasa tupo kiprofessional zaidi mara kuna danger katika mapenzi yetu.
Jamani...The Bold's tupo kama mnavyoona hapo
*Fumbo mfumbie mjinga mwerevu atang'amua
[emoji444] *Na kapicha ketu nimekapost [emoji444]
[emoji444] *Wasiotupenda itawakost [emoji444]
Ha ha ha haaa, usifanye maskhara na Athumani kichwa wazi kabisa.Mkuyenge umembadilisha Mtu ' totally '.
Nakuona nakuona Toto la kichaga, mmetishaHahahaaaaaaa hii JF bhana? Tukibebishana malalamiko yanazidi...oooh tumezidi kuitana my love,my love.
Tumekaa kimya sasa tupo kiprofessional zaidi mara kuna danger katika mapenzi yetu.
Jamani...The Bold's tupo kama mnavyoona hapo
*Fumbo mfumbie mjinga mwerevu atang'amua
[emoji444] *Na kapicha ketu nimekapost [emoji444]
[emoji444] *Wasiotupenda itawakost [emoji444]
Hahahahahaaa Braza limekufika haaaaapa. (In soudy brown voice). Naona jeshi umetekwa na toto whiteJiwe limerushwa gizani alafu nimejikuta nasema "yalaaaaaaa" (limenipata)
Hahahah shemeji una mambo sana aisee...
The Bolds tuko gado kabisa shemeji and stronger and more in love kuliko kipindi chochote kile...
The thing is sasa hivi muda mwingi tunakuwa tuko pamoja so maongezi yetu tunayafanya face to face and hai-make sense tukichit chat humu majukwaani muda wote wakati tuko wote hapo tulipo... tofauti na mwanzoni ambapo tulikuwa tunaonana mara chache kwa hiyo kila tukikutana kwenye nyuzi yoyote lazima makhaba na kubebishana kuwe on fleek.. [emoji23] [emoji23]
To make a long story short... Ni kwamba huu ni mwezi wa pili tuko wote pamoja.!! Nyumba moja, chumba kimoja, kitanda kimoja, shuka moja and oooohh yeaaahh mwili mmoja.. [emoji4]
Ulitaka usaminishe supu tuShemeji nifah hii picha ingekua nzuri zaidi kama ingekua imeishia juu kidogo ya mgongo. Ingawa ata sijui kwa nini nimewaza hivyo