ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Sijawahi kuona timu za ulaya kulalamika eti kufanya pitch feeling au mazoezi siku 1 kabla ya mchezo
Yaani eti labda weekend hii ni mech ya Man u na Arsenal, Arsenal afike pale Old Trafford kufanya mazoezi
Au labda Babda Barca vs Madrid
Madrid aende Sportfy Stadium kufanya pitch feeling
Hii ni kanuni ndogo
Sasa Kwa mfano man u ana ugeni gani Uingereza hadi ahangaike kufanya pitch feeling
Simba wameogopa mechi ila eti Kwa sababu hawakufanya mazoezi hiyo siyo kweli
Simba hana ugeni pitch ya Benjamin Mkapa
Yaani eti labda weekend hii ni mech ya Man u na Arsenal, Arsenal afike pale Old Trafford kufanya mazoezi
Au labda Babda Barca vs Madrid
Madrid aende Sportfy Stadium kufanya pitch feeling
Hii ni kanuni ndogo
Sasa Kwa mfano man u ana ugeni gani Uingereza hadi ahangaike kufanya pitch feeling
Simba wameogopa mechi ila eti Kwa sababu hawakufanya mazoezi hiyo siyo kweli
Simba hana ugeni pitch ya Benjamin Mkapa