DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Nafikiri ukiachana na kanuni Ila nafikiri mshaelewa kuwa mambo Fulani lazima yatangulie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wewe ndio umezaliwa Leo.nini yaani unauliza mtu ulaya ameenda lini wakati smartphone anayoUlaya umeenda lini mpaka utupe habari za ulaya ?
Kwa hiyo ukiona ugali kwenye simu ndo ushakula ?Mzee wewe ndio umezaliwa Leo.nini yaani unauliza mtu ulaya ameenda lini wakati smartphone anayo
Wewe unathibitisha vipi simba walienda Jana kwenye kufanya mazoezi wakazuiwaKwa hiyo ukiona ugali kwenye simu ndo ushakula ?
Nikupatie uthibitisho?!Tupe uthibitisho Yanga akifanya pitch visiting kwenye last match
Kwani ni mimi nimesema Simba wamezuiliwa au wao ndio wamesema wamezuiliwa ?Wewe unathibitisha vipi simba walienda Jana kwenye kufanya mazoezi wakazuiwa
"ila"..."eti" ...zimezidi hadi uzi unaonekana wa hovyohovyo.Sijawahi kuona timu za ulaya kulalamika eti kufanya pitch feeling au mazoezi siku 1 kabla ya mchezo
Yaani eti labda weekend hii ni mech ya Man u na Arsenal, Arsenal afike pale Old Trafford kufanya mazoezi
Au labda Babda Barca vs Madrid
Madrid aende Sportfy Stadium kufanya pitch feeling
Hii ni kanuni ndogo
Sasa Kwa mfano man u ana ugeni gani Uingereza hadi ahangaike kufanya pitch feeling
Simba wameogopa mechi ila eti Kwa sababu hawakufanya mazoezi hiyo siyo kweli
Simba hana ugeni pitch ya Benjamin Mkapa
Watajua wenyewe, kwani wlizuiwa?Nauliza Azam juzi alifanya hiyo pitch visit?
Tuna goma ili siku nyingine mjifunze kuheshimu kanuni na sheria za soka utopolo nyinyi.Simba wanafanya mambo ya kitoto na ambayo hayavumiliki hata kidogo. Yaani uwanja wa Mkapa wanacheza kila siku, halafu leo hii wagomee mechi kwa sababu ya kipuuzi kama hii kweli!!!
Mtacheza leo nawaambia. Mtake msitake.Tuna goma ili siku nyingine mjifunze kuheshimu kanuni na sheria za soka utopolo nyinyi.
Hatuchezi na kanuni inatulinda. Mnaletq ushamaba wenu hapa.Mtacheza leo nawaambia. Mtake msitake.
Walikuambia wapi hao simbaKwani ni mimi nimesema Simba wamezuiliwa au wao ndio wamesema wamezuiliwa ?
Hata wewe ukiniambia ni mwanaume sitobisha
Kwenye taarifa yao kwa umma kwani we hujaiona ?Walikuambia wapi hao simba
Hiyo taarifa ya imma umeionea kupitia wapiKwenye taarifa yao kwa umma kwani we hujaiona ?
Hapa hapaHiyo taarifa ya imma umeionea kupitia wapi