Mbona ulaya hawalalamikii hizi Pitch feeling

Mbona ulaya hawalalamikii hizi Pitch feeling

Tupe uthibitisho Yanga akifanya pitch visiting kwenye last match
Nikupatie uthibitisho?!
Nikisema huna akili nitakosea?!

Wewe ndio unatakiwa utafute uthibitisho ili uniprove wrong. Pitia page ya Yanga Instagram kabla ya match 1st round utaona.
 
Wewe unathibitisha vipi simba walienda Jana kwenye kufanya mazoezi wakazuiwa
Kwani ni mimi nimesema Simba wamezuiliwa au wao ndio wamesema wamezuiliwa ?
Hata wewe ukiniambia ni mwanaume sitobisha
 
Sijawahi kuona timu za ulaya kulalamika eti kufanya pitch feeling au mazoezi siku 1 kabla ya mchezo

Yaani eti labda weekend hii ni mech ya Man u na Arsenal, Arsenal afike pale Old Trafford kufanya mazoezi

Au labda Babda Barca vs Madrid
Madrid aende Sportfy Stadium kufanya pitch feeling

Hii ni kanuni ndogo
Sasa Kwa mfano man u ana ugeni gani Uingereza hadi ahangaike kufanya pitch feeling

Simba wameogopa mechi ila eti Kwa sababu hawakufanya mazoezi hiyo siyo kweli

Simba hana ugeni pitch ya Benjamin Mkapa
"ila"..."eti" ...zimezidi hadi uzi unaonekana wa hovyohovyo.
 
Simba wanafanya mambo ya kitoto na ambayo hayavumiliki hata kidogo. Yaani uwanja wa Mkapa wanacheza kila siku, halafu leo hii wagomee mechi kwa sababu ya kipuuzi kama hii kweli!!!
Tuna goma ili siku nyingine mjifunze kuheshimu kanuni na sheria za soka utopolo nyinyi.
 
Back
Top Bottom