mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,682
- 10,801
TAARIFA RASMI KUTOKA MENEJA WA UWANJAThibitisha kama walifanya mazoezi. Hilo ni takwa la kikanuni, ina maana waliyoiweka hawakujua faida yake sio?
Last match, Yanga walifanya pitch visiting. Na hakukuwa na bugdha na unaweza hata wewe ulikuwa hujui kwasababu Simba haikutaka kutengeneza 'Tension' hiyo.
Kwanini sasa?
Meneja wa uwanja alikuwa tayari kuwaruhusu na kuwafungulia geti Simba SC ili wakafanye mazoezi kwamujibu wa kanuni ila aliposika sauti ya mbuzi kutoka ndani ya moja basi akakataa kuwafungulia kwa masharti ya kuomba kushushwa wale mbuzi na waganga ambao inasemekana walikuwa wanapelekwa kuchinjwa kwa ajili ya kuendesha ibada kuelekea mechi husika ikiambatana na uchinjwaji wa hao mbuzi.
Sera ya LATRA inasemaje katika ubebaji wa wanyama?
Mvutano ulianzia pale klabu ya Simba haikuwa tayari kushusha wale mbuzi na waganga na zaidi kukataa kuingia wachezaji peke yake.
Gordon Mahona: Meneja wa Uwanja