Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Umeona ulivyokua huna akili wewe taarifa hiyo umeionea hapa na ukasema hao ni simba ila unamuuliza huyo jamaa kwamba alishawahi kufika ulaya Kwa hizo habari alizosema wakati unajua kupata habari. Miaka hii yenye teknolojia kubwa sio lazima uwe sehemu ya tukio kweli aliowaita mbumbumbu aheshimiweHapa hapa
Kwanza hujui kuandika kwa ufasahaUmeona ulivyokua huna akili wewe taarifa hiyo umionea hapa na ukasema hao ni simba ila unamuuliza huyo jamaa kwamba alishawahi kufika ulaya Kwa hizo habari alizosema kweli aliowaita mbumbumbu aheshimiwe
Hii hapa page ya Instagram ya Yanga, hakuna popote walipoonekana wachezaji na benchi la ufundi la Yanga wakiwa ndani ya uwanja wa Mkapa kabla ya tarehe ya mechi ambayo ilipigwa October 19. Hiyo post ya kuonekana wapo uwanjani ni siku ya mechi tarehe 19. Njoo na picha au video yako ikionesha Yanga walipewa nafasi ya kufanya pitch visiting siku moja kabla ya mechiNikupatie uthibitisho?!
Nikisema huna akili nitakosea?!
Wewe ndio unatakiwa utafute uthibitisho ili uniprove wrong. Pitia page ya Yanga Instagram kabla ya match 1st round utaona.
Mzee Mimi sikujibu tena nimegundua kichwani kwako ni zero baada ya kuona unamuuliza jamaa umeshawahi kufika ulaya Karne hii kifupi we ni mbumbumbu sikujibu tenaKwanza hujui kuandika kwa ufasaha
Kwa hiyo mimi na wewe ambaye hana akili ni wewe
Halafu pili nilimuuliza alishawahi kufika ulaya ilatakiwa ajibu ndio au hapana
Hapa inaonesha jinsi ambavyo huna akili maana huwezi kujibu swali
Tatu team kufanya mazoezi siku moja kabla ya mechi husika ni jambo la Dunia nzima kasoro mashabiki wa utopolo ndio wanaoshangaa
Mimi sijawahi kutunga kanuni
Kama wewe una akili timamu naomba unijibu je unaruhusiwa kufanya mazoezi siku moja kabla ya mechi husika au huruhusiwi ?
HahahahahaMzee Mimi sikujibu tena nimegundua kichwani kwako ni zero baada ya kuona unamuuliza jamaa umeshawahi kufika ulaya Karne hii kifupi we ni mbumbumbu sikujibu tena
Kama umewaza hivyo waza kwamba kwa udogo wa kanuni kwanini yanga wasingepuuza na kuwaacha Simba wafanye hizo hisia za uwanja.YAANI KWANINI YANGA WASINGEPUUZA TU.Jiulize kulikuwa na ulazima GANI wa kuwazuia.Na kama walihisi kuna uchawi nani hasa ni mchawi.Maana sisi tumeona mabasi.Watanzania jifunzeni haki.HALAFU HAPA SIO ULAYA.SOKA LETU KIVYETUVYETU.Sijawahi kuona timu za ulaya kulalamika eti kufanya pitch feeling au mazoezi siku 1 kabla ya mchezo
Yaani eti labda weekend hii ni mech ya Man u na Arsenal, Arsenal afike pale Old Trafford kufanya mazoezi
Au labda Babda Barca vs Madrid
Madrid aende Sportfy Stadium kufanya pitch feeling
Hii ni kanuni ndogo
Sasa Kwa mfano man u ana ugeni gani Uingereza hadi ahangaike kufanya pitch feeling
Simba wameogopa mechi ila eti Kwa sababu hawakufanya mazoezi hiyo siyo kweli
Simba hana ugeni pitch ya Benjamin Mkapa
Imeandikwa 'usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake maana atajiona mwenye hekima kuliko wewe"Sijawahi kuona timu za ulaya kulalamika eti kufanya pitch feeling au mazoezi siku 1 kabla ya mchezo
Yaani eti labda weekend hii ni mech ya Man u na Arsenal, Arsenal afike pale Old Trafford kufanya mazoezi
Au labda Babda Barca vs Madrid
Madrid aende Sportfy Stadium kufanya pitch feeling
Hii ni kanuni ndogo
Sasa Kwa mfano man u ana ugeni gani Uingereza hadi ahangaike kufanya pitch feeling
Simba wameogopa mechi ila eti Kwa sababu hawakufanya mazoezi hiyo siyo kweli
Simba hana ugeni pitch ya Benjamin Mkapa
Yanga walipogomea kusogezwa muda wa mchezo ulikuwa ni ushujaa.Simba wanafanya mambo ya kitoto na ambayo hayavumiliki hata kidogo. Yaani uwanja wa Mkapa wanacheza kila siku, halafu leo hii wagomee mechi kwa sababu ya kipuuzi kama hii kweli!!!
Yanga waligomaje na wakati walienda uwanjani kwa muda sahihi waliopangiwa kwenye ratiba! Wasingefika ndiyo ungesema wamegoma/wamesusa.Yanga walipogomea kusogezwa muda wa mchezo ulikuwa ni ushujaa.
Utaratibu lazima ufuatwe,tuache kutetea uhuni,Sheria au Kanuni ziliwekewa nini sasa kama jitu litatoka kwake likaamua kufanya linavyopenda yeye?Simba wanafanya mambo ya kitoto na ambayo hayavumiliki hata kidogo. Yaani uwanja wa Mkapa wanacheza kila siku, halafu leo hii wagomee mechi kwa sababu ya kipuuzi kama hii kweli!!!
Hizi kanuni na taratibu zilianza jana?Round ya kwanza hazikuwepo wakati nyie mlipokuwa wenyeji.Rahisi tu, kama sio muhimu kanuni hiyo iondolewe,wanachofanya Simba ni kusimamia kanuni jambo ambalo naliunga mkono
Hizi kanuni na taratibu zilianza jana?Round ya kwanza hazikuwepo wakati nyie mlipokuwa wenyeji.Utaratibu lazima ufuatwe,tuache kutetea uhuni,Sheria au Kanuni ziliwekewa nini sasa kama jitu litatoka kwake likaamua kufanya linavyopenda yeye?
Kama mlipenda sana mechi ichezwe msingewahujumu wenzenu.
Kama mna hamu na mechi sana chezeni hata na Yanga Queens mtani