Mbona ulaya hawalalamikii hizi Pitch feeling

TAARIFA RASMI KUTOKA MENEJA WA UWANJA
Meneja wa uwanja alikuwa tayari kuwaruhusu na kuwafungulia geti Simba SC ili wakafanye mazoezi kwamujibu wa kanuni ila aliposika sauti ya mbuzi kutoka ndani ya moja basi akakataa kuwafungulia kwa masharti ya kuomba kushushwa wale mbuzi na waganga ambao inasemekana walikuwa wanapelekwa kuchinjwa kwa ajili ya kuendesha ibada kuelekea mechi husika ikiambatana na uchinjwaji wa hao mbuzi.

Sera ya LATRA inasemaje katika ubebaji wa wanyama?

Mvutano ulianzia pale klabu ya Simba haikuwa tayari kushusha wale mbuzi na waganga na zaidi kukataa kuingia wachezaji peke yake.

Gordon Mahona: Meneja wa Uwanja
 
Mzee Nguya kutoka hapa mikindani alikuwepo kwenye basi mojawapo la simba wanae wanampigia Simu kumuulizia kama yupo salama bahati mzuri mzee wetu kajibu yupo vyema hajajeruhiwa popote pale wala hakuguswa...wenyeji wa mikindani bila shaka munamjua huyu mzee
 
Unaweza kuiona ya 'Kipuuzi'. Una haki hiyo.

Mechi iliyopita hiyo sababu ya 'kipuuzi', mliitaka na Simba ikaruhusu.

Kwanini upande wenu unakataa kwa kufikiri ni "Upuuzi'?
Ni Upuuzi kwa simba kugomea mechi ati kwa ajili ya kukataliwa pitch feeling.kwani huo uwanja imeshushwa leo au ni uwanja mgeni kwao?mbona kila kukicha wanajinasibu kuwa kwa makala hatoki mtu sasa leo imekuwaje?waache imani za kishirikina ni aibu kwao.
 
Yanga waligomaje na wakati walienda uwanjani kwa muda sahihi waliopangiwa kwenye ratiba! Wasingefika ndiyo ungesema wamegoma/wamesusa.
Waliopanga muda ndio waliobadilisha muda. Sasa iweje usitii mamlaka?
 
Umeandika vinini wewe? Ulizani simba watalala humohumo hadi saa ya game?
 
Simba hawajawahi kuzungumzia kwa MAKALA, Wao wanasema kwa MKAPA
 
Umeandika vinini wewe? Ulizani simba watalala humohumo hadi saa ya game?
Hilo jibu mngempa mwenye funguo za uwanja ambaye ni meneja,ambaye nyie wenyewe kwenye barua yenu mmekubali kwamba meneja hakuwa na taarifa.
 
Hapa kuna harufu ya kuwahi kufanyiana mambo ya kishirikina kwenye uwanja na wala siyo jengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…