Mbona wanajikomba kwa Israel

Mbona wanajikomba kwa Israel

bahati93

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2015
Posts
1,334
Reaction score
2,463
Wana dunia,

Hapo zamani nilikuwa nashangaa sana jinsi Amerika anavyojikomba kwa taifa la Israel, lakini kadiri muda unavyopita ndivyo nami nazidi kudhania kuna jambo la siri viongozi wa juu wa Amerika wanajua juu ya taifa hili kongwe. Je kitu gani hichoo?

Kwa ufupi raia wa Amerika kama watu wa Ujerumani wanafamu fika kuwa wana wa Israel ni kama mafuriko huwezi kuwazuia- miaka hiyo ya nyuma pale walipokuwa wakimbizi wakikimbia serikali ya kinazi huko Ulaya taasisi nyingi za Marekani walifanya kuwabagua katika kazi za serikali. Hivyo wana wa Israel wakawa wanafanya uigizaji - HOLLYWOOD ile kufumba na kufumbua macho wakashangaa wamepata ukwasi mwingi sana.

Kitu kingine sio Marekani tu bali pamoja na mataifa makubwa yanayofuatia ya Urusi na Uchina kila kukicha kujikomba komba. Tumeona urusi ilivyopiga breki baada ya kutoa tarifa ya kukashifu taifa teule katika vita yake na ukraine. Pia china sasa pesa zake kila kukicha amatafuta campuni za kiisrael awekeze.

Ingawa ata ukisoma agano la kale waweza pata ukakasi kwamba mbona kama wana ubaguzi mbona wanapendelewa, labda kutokana na ufupi wa akili zetu twashindwa kuona mpango wa aliye juu.

Ni hayo tu mazeee
 
Naomba kutochangia katika IMANI. Nitazungumzia uhalisia.

Wayahudi kama jamii nyingine kama Indians waliamua kuwekeza kwenye multinational companies na kujipenyeza kwa wanasiasa hilo tu lilitosha kupenyeza ajenda zao hakuna kitu so special kwao ndio maana hata wanazi walipotaka kuwafuta hakukuwa na aliens waliokuja kuwaokoa.

Mfano mdogo: familia ya Bush kwa sasa usitegemee itadondoka kama wakiendelea kuendelea na mifumo ya dunia
 
Wana dunia,

Hapo zamani nilikuwa nashangaa sana jinsi Amerika anavyojikomba kwa taifa la Israel, lakini kadiri muda unavyopita ndivyo nami nazidi kudhania kuna jambo la siri viongozi wa juu wa Amerika wanajua juu ya taifa hili kongwe. Je kitu gani hichoo?

Kwa ufupi raia wa Amerika kama watu wa Ujerumani wanafamu fika kuwa wana wa Israel ni kama mafuriko huwezi kuwazuia- miaka hiyo ya nyuma pale walipokuwa wakimbizi wakikimbia serikali ya kinazi huko Ulaya taasisi nyingi za Marekani walifanya kuwabagua katika kazi za serikali. Hivyo wana wa Israel wakawa wanafanya uigizaji - HOLLYWOOD ile kufumba na kufumbua macho wakashangaa wamepata ukwasi mwingi sana.

Kitu kingine sio Marekani tu bali pamoja na mataifa makubwa yanayofuatia ya Urusi na Uchina kila kukicha kujikomba komba. Tumeona urusi ilivyopiga breki baada ya kutoa tarifa ya kukashifu taifa teule katika vita yake na ukraine. Pia china sasa pesa zake kila kukicha amatafuta campuni za kiisrael awekeze.

Ingawa ata ukisoma agano la kale waweza pata ukakasi kwamba mbona kama wana ubaguzi mbona wanapendelewa, labda kutokana na ufupi wa akili zetu twashindwa kuona mpango wa aliye juu.

Ni hayo tu mazeee
Amka toka kwenye hadithi za bunuasi
 
Naomba kutochangia katika IMANI. Nitazungumzia uhalisia.
Wayahudi kama jamii nyingine kama Indians waliamua kuwekeza kwenye multinational companies na kujipenyeza kwa wanasiasa hilo tu lilitosha kupenyeza ajenda zao hakuna kitu so special kwao ndio maana hata wanazi walipotaka kuwafuta hakukuwa na aliens waliokuja kuwaokoa.
Mfano mdogo: familia ya Bush kwa sasa usitegemee itadondoka kama wakiendelea kuendelea na mifumo ya dunia
Nani aliwapa maarifa hayo
 
History inajirudia, Wanaitumia Israhell kwa maslahi yao yakiwemo kufanya ufisadi na mauwaji nk coz ni watu ambao wameachowa laana na mitume tokea enzi, alaf hapo hapo wanaipa protection lakini pia wanafaham mwisho wao utakua vipi pia wao wenyewe wanajifaham mwisho wao ndio maana kitu kidogo wanakua na wasiwasi sana ila haitowasaidia na kubadilisha ukweli

Time is running
 
Nani aliwapa maarifa hayo
Mifumo yao ya malezi ndio chanzo.Wanawake wa kiisrael ndio wanawake wanaojua malezi bora kwa watoto,kwa kuwajengea watoto positivity spirit watoto tangu wadogo na hii ndio imewashape hadi ukubwani kuwa vile.Hadi sasa Hakuna muisrael ombaomba hata kama wapo ni asilimia kiduchu sana.Hii ni kutokana na mifumo yao ya malezi na uchumi,wamelelewa kuwa wafanyabiashara ndo watu wanaofunzwa ujasiliamali na uchumi ikiwemo uwekezaji tangu wadogo Sana. Na wao ndio waasisi wa formula zote za kufanikiwa zinatumiwa na wachina, wahindi, hata wachaga, wakinga,wote wameiga mfumo wa kiyahudi wa kufanikiwa katika biashara.
Wao ndio wanaotawala duniani kupitia mifumo yote ya uchumi ikiwemo mabenki, hollywood umiliki wa kampuni kubwa za music na filamu, viwanda,tafiti kubwa za sayansi,ujenzi,nk.
Nadokeza kwa uchache mfumo wao wa malezi kwa watoto.

1.Mungu kwanza
2.Kusaidiana wao kwa wao
3.Kukopeshana bila riba
4.kupeana tenda wao kwa wao
5.ufunzwa elimu ya pesa tangu wadogo na kujengewa nidhamu ya pesa mfano mgawanyo wa pesa ya matumizi, sadaka, akiba, nk.
6.Uaminifu hapa ndipo watu weupe utupiga gap la kufanikiwa.
Hata wachaga na wakinga hapa ndipo utupigia gap weka ndugu yako kwenye biashara yako kwenye biashara yako usikilizie mrejesho.

7.
 
miaka hiyo ya nyuma pale walipokuwa wakimbizi wakikimbia serikali ya kinazi huko Ulaya taasisi nyingi za Marekani walifanya kuwabagua katika kazi za serikali. Hivyo wana wa Israel wakawa wanafanya uigizaji - HOLLYWOOD ile kufumba na kufumbua macho wakashangaa wamepata ukwasi mwingi sana.
Sasa hivi wamejaa kwenye mataifa mengi ya ulaya na Marekani tena wakiwa na nyadhifa za juu maana wanahesabiwa kama watu wa mataifa hayo ukiacha wachache wanaotunza mila na tamaduni za kiyahudi, kwa hiyo maamuzi mengi dhidi ya Israel hufanywa na walowezi ambao wameshikilia sehemu kubwa zenye ushawishi za mataifa ya Magharibi na Kiongozi yoyote akijifanya ana misimamo atafanyiwa figisu za maana au auwawe. Hawa jamaa hawanaga masihkara linapokuja suala la usalama wao. Taasisi nyingi za kipelelezi au uundanja wa silaha wamejaza watu wao, Congress ya US wamejaa, CIA wapo na kwingineko Duniani.

Kuna watu wanalalamika kwamba kwenye sepember 11 wahayudi wote walikimbia twin towers kabla hazijalipuliwa.

Rejea pia walilipua meli ya US (USS LIBERTY) kwa mashambulizi ya ndege na boti za kivita licha ya kuwa na bendera ya US katika ghuba ya Misri ili kuishawishi US kuingia vitani kana kwamba imelipuliwa na Misri, KATIKA TUKIO HILI WANAJESHI 34 WA us WALIPOTEZA MAISHA. na hakuna hatua iliyochukuliwa maana kila aliyejaribu kuhoji kwa ushahidi aliuawa.

Pitia YUTUBE kuna documentaries za kutosha kuhusu hili tukio
 
Mifumo yao ya malezi ndio chanzo.Wanawake wa kiisrael ndio wanawake wanaojua malezi bora kwa watoto,kwa kuwajengea watoto positivity spirit watoto tangu wadogo na hii ndio imewashape hadi ukubwani kuwa vile.Hadi sasa Hakuna muisrael ombaomba hata kama wapo ni asilimia kiduchu sana.Hii ni kutokana na mifumo yao ya malezi na uchumi,wamelelewa kuwa wafanyabiashara ndo watu wanaofunzwa ujasiliamali na uchumi ikiwemo uwekezaji tangu wadogo Sana. Na wao ndio waasisi wa formula zote za kufanikiwa zinatumiwa na wachina, wahindi, hata wachaga, wakinga,wote wameiga mfumo wa kiyahudi wa kufanikiwa katika biashara.
Wao ndio wanaotawala duniani kupitia mifumo yote ya uchumi ikiwemo mabenki, hollywood umiliki wa kampuni kubwa za music na filamu, viwanda,tafiti kubwa za sayansi,ujenzi,nk.
Nadokeza kwa uchache mfumo wao wa malezi kwa watoto.

1.Mungu kwanza
2.Kusaidiana wao kwa wao
3.Kukopeshana bila riba
4.kupeana tenda wao kwa wao
5.ufunzwa elimu ya pesa tangu wadogo na kujengewa nidhamu ya pesa mfano mgawanyo wa pesa ya matumizi, sadaka, akiba, nk.
6.Uaminifu hapa ndipo watu weupe utupiga gap la kufanikiwa.
Hata wachaga na wakinga hapa ndipo utupigia gap weka mtoto wa ndugu yako kwenye biashara yako ule mabua.

7.
Hiyo namba 6 ungeiandika kwa herufi kubwa Boss. Umenena vyema kabisa.
 
Back
Top Bottom