Mbona wanajikomba kwa Israel

Mbona wanajikomba kwa Israel

Mazingira yamewapa maarifa hayo
Wewe nani kakupa maarifa uliyonayo

chanzo.Wanawake wa kiisrael ndio wanawake wanaojua malezi bora kwa watoto
Mbona kama mnamumunya maneno hawa watu itakuwa walipewa manual ya mwili wa binadamu na aliyeuumba. Na walishatudokeza kwa wala kama tusile nguruwe... Hii pia nilishajiuliza why ila kadri wanasanyansi wanavyofanya utafiti hasa wa kuja kupandikiza viungo vya ndani kutoka kwa nguruwe au kutumia damu ya nguruwe ndivyo navyozidi kujiweka mbali na huyu kiumbee.

Hawa jamaa wana sirii
 
Mbona kama mnamumunya maneno hawa watu itakuwa walipewa manual ya mwili wa binadamu na aliyeuumba. Na walishatudokeza kwa wala kama tusile nguruwe... Hii pia nilishajiuliza why ila kadri wanasanyansi wanavyofanya utafiti hasa wa kuja kupandikiza viungo vya ndani kutoka kwa nguruwe au kutumia damu ya nguruwe ndivyo navyozidi kujiweka mbali na huyu kiumbee.

Hawa jamaa wana sirii

Nguruwe ni hatari kiafya
 
Mbona kama mnamumunya maneno hawa watu itakuwa walipewa manual ya mwili wa binadamu na aliyeuumba. Na walishatudokeza kwa wala kama tusile nguruwe... Hii pia nilishajiuliza why ila kadri wanasanyansi wanavyofanya utafiti hasa wa kuja kupandikiza viungo vya ndani kutoka kwa nguruwe au kutumia damu ya nguruwe ndivyo navyozidi kujiweka mbali na huyu kiumbee.

Hawa jamaa wana sirii
Swali langu hukulijibu, wewe maarifa ulonayo umeyatoa wapi?!
Hoja yangu nimeijenga katika mazingira
Hata huko kwenye dini kwa kisa cha Ester kinatosha kulinda hoja yangu kwamba kujipenyeza kwa wanasiasa(watawala) imewapa sehemu ya kuwa hapo walipo.
 
Wana dunia,

Hapo zamani nilikuwa nashangaa sana jinsi Amerika anavyojikomba kwa taifa la Israel, lakini kadiri muda unavyopita ndivyo nami nazidi kudhania kuna jambo la siri viongozi wa juu wa Amerika wanajua juu ya taifa hili kongwe. Je kitu gani hichoo?

Kwa ufupi raia wa Amerika kama watu wa Ujerumani wanafamu fika kuwa wana wa Israel ni kama mafuriko huwezi kuwazuia- miaka hiyo ya nyuma pale walipokuwa wakimbizi wakikimbia serikali ya kinazi huko Ulaya taasisi nyingi za Marekani walifanya kuwabagua katika kazi za serikali. Hivyo wana wa Israel wakawa wanafanya uigizaji - HOLLYWOOD ile kufumba na kufumbua macho wakashangaa wamepata ukwasi mwingi sana.

Kitu kingine sio Marekani tu bali pamoja na mataifa makubwa yanayofuatia ya Urusi na Uchina kila kukicha kujikomba komba. Tumeona urusi ilivyopiga breki baada ya kutoa tarifa ya kukashifu taifa teule katika vita yake na ukraine. Pia china sasa pesa zake kila kukicha amatafuta campuni za kiisrael awekeze.

Ingawa ata ukisoma agano la kale waweza pata ukakasi kwamba mbona kama wana ubaguzi mbona wanapendelewa, labda kutokana na ufupi wa akili zetu twashindwa kuona mpango wa aliye juu.

Ni hayo tu mazeee
Ni lini mkuu watoto wa Mao zedong [ China ] walijikomba kwa watoto wa Abraham [ Israel ] ?🤔
 
Wengi tunasoma Bible na kuona ni kama hadithi, zile ahadi za Mungu kwa uzao wa Ibrahim, yaani Waisrael, ni halisi kabisa.

Yale maneno aloambiwa Ibrahim, na yale alotamka Yakobo kwa wanawe 12 ni ROHO zinazoishi.

Yale maneno ni Roho.
Kwa hiyo wewe mtu mwenye ngozi nyeusi [ MTANZANIA ] na Tanzania yako hamjabarikiwa na huyo Mungu ni waisrael pekee tu ?🤔
 
Swali langu hukulijibu, wewe maarifa ulonayo umeyatoa wapi?!
Hoja yangu nimeijenga katika mazingira
Hata huko kwenye dini kwa kisa cha Ester kinatosha kulinda hoja yangu kwamba kujipenyeza kwa wanasiasa(watawala) imewapa sehemu ya kuwa hapo walipo.
Maarifa yangu yametokana na mila na desturi nilizozikuta sijui mababu zangu walipozipata maana hawajasema.

Tofauti na waisraeli ambao wameweka waxi kabisa nani aliowapa mfumo wa kuishi.
 
Nchi 14 barani Afrika wamepinga Israel kuwa mwanachama wa AU ikiwemo TZ juzi kati,unahisi hizo nchi zote hawajui hilo jambo ni wewe tu ndie ujue ewe Mtumishi?

Kwanini wawe AU wakati wapo Middle East huko siwajiunge na waarabu huko,,kwanza hatuwataki wasijetulea balaa Africa hawachelewi kujigawia maeneo na kusema yao!
 
You can not free yourself while all of your community are in chain, there is no good
Who said something like your entire community being in chain control? Slavery is a matter of choice brother, keys to unleash your chains lays in your hands/ mind. You have an option, considering the above comments from multiple sources you should be able to read between the lines, not everyone is a slave to the system.
 
Ukimsikia Lucifer hao jamaa ndio mawakala wake kweli kweli, japo siamini katika uwepo wake, nnachomaanisha ni uwakilishi wa roho katili iliyojivika ngozi ya kondoo kwa ngano za dini za kihistoria.

Waizrael ni kama wale wezi kwa kutumia suti, magari makali na utapeli kwa kiwango cha 5G ya China. Hamna watu hapo, namna Magufuli alisema “Kwangu tajiri anaweza fanywa chochote” ndivyo Hitler alivyokuwa akiamini dhidi ya hawa wahuni.

Ukiwa swala then ukamchekea na kumsifia simba basi hujui ulitendalo.
 
Wana dunia,

Hapo zamani nilikuwa nashangaa sana jinsi Amerika anavyojikomba kwa taifa la Israel, lakini kadiri muda unavyopita ndivyo nami nazidi kudhania kuna jambo la siri viongozi wa juu wa Amerika wanajua juu ya taifa hili kongwe. Je kitu gani hichoo?

Kwa ufupi raia wa Amerika kama watu wa Ujerumani wanafamu fika kuwa wana wa Israel ni kama mafuriko huwezi kuwazuia- miaka hiyo ya nyuma pale walipokuwa wakimbizi wakikimbia serikali ya kinazi huko Ulaya taasisi nyingi za Marekani walifanya kuwabagua katika kazi za serikali. Hivyo wana wa Israel wakawa wanafanya uigizaji - HOLLYWOOD ile kufumba na kufumbua macho wakashangaa wamepata ukwasi mwingi sana.

Kitu kingine sio Marekani tu bali pamoja na mataifa makubwa yanayofuatia ya Urusi na Uchina kila kukicha kujikomba komba. Tumeona urusi ilivyopiga breki baada ya kutoa tarifa ya kukashifu taifa teule katika vita yake na ukraine. Pia china sasa pesa zake kila kukicha amatafuta campuni za kiisrael awekeze.

Ingawa ata ukisoma agano la kale waweza pata ukakasi kwamba mbona kama wana ubaguzi mbona wanapendelewa, labda kutokana na ufupi wa akili zetu twashindwa kuona mpango wa aliye juu.

Ni hayo tu mazeee
Aiseee kazi ipo , sasa China anawekeza mpaka Tanzania itakuwa ajabu kuwekeza Israel?
 
Back
Top Bottom