Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mazingira yamewapa maarifa hayo
Wewe nani kakupa maarifa uliyonayo
Mbona kama mnamumunya maneno hawa watu itakuwa walipewa manual ya mwili wa binadamu na aliyeuumba. Na walishatudokeza kwa wala kama tusile nguruwe... Hii pia nilishajiuliza why ila kadri wanasanyansi wanavyofanya utafiti hasa wa kuja kupandikiza viungo vya ndani kutoka kwa nguruwe au kutumia damu ya nguruwe ndivyo navyozidi kujiweka mbali na huyu kiumbee.chanzo.Wanawake wa kiisrael ndio wanawake wanaojua malezi bora kwa watoto
Mbona kama mnamumunya maneno hawa watu itakuwa walipewa manual ya mwili wa binadamu na aliyeuumba. Na walishatudokeza kwa wala kama tusile nguruwe... Hii pia nilishajiuliza why ila kadri wanasanyansi wanavyofanya utafiti hasa wa kuja kupandikiza viungo vya ndani kutoka kwa nguruwe au kutumia damu ya nguruwe ndivyo navyozidi kujiweka mbali na huyu kiumbee.
Hawa jamaa wana sirii
Swali langu hukulijibu, wewe maarifa ulonayo umeyatoa wapi?!Mbona kama mnamumunya maneno hawa watu itakuwa walipewa manual ya mwili wa binadamu na aliyeuumba. Na walishatudokeza kwa wala kama tusile nguruwe... Hii pia nilishajiuliza why ila kadri wanasanyansi wanavyofanya utafiti hasa wa kuja kupandikiza viungo vya ndani kutoka kwa nguruwe au kutumia damu ya nguruwe ndivyo navyozidi kujiweka mbali na huyu kiumbee.
Hawa jamaa wana sirii
Ni lini mkuu watoto wa Mao zedong [ China ] walijikomba kwa watoto wa Abraham [ Israel ] ?🤔Wana dunia,
Hapo zamani nilikuwa nashangaa sana jinsi Amerika anavyojikomba kwa taifa la Israel, lakini kadiri muda unavyopita ndivyo nami nazidi kudhania kuna jambo la siri viongozi wa juu wa Amerika wanajua juu ya taifa hili kongwe. Je kitu gani hichoo?
Kwa ufupi raia wa Amerika kama watu wa Ujerumani wanafamu fika kuwa wana wa Israel ni kama mafuriko huwezi kuwazuia- miaka hiyo ya nyuma pale walipokuwa wakimbizi wakikimbia serikali ya kinazi huko Ulaya taasisi nyingi za Marekani walifanya kuwabagua katika kazi za serikali. Hivyo wana wa Israel wakawa wanafanya uigizaji - HOLLYWOOD ile kufumba na kufumbua macho wakashangaa wamepata ukwasi mwingi sana.
Kitu kingine sio Marekani tu bali pamoja na mataifa makubwa yanayofuatia ya Urusi na Uchina kila kukicha kujikomba komba. Tumeona urusi ilivyopiga breki baada ya kutoa tarifa ya kukashifu taifa teule katika vita yake na ukraine. Pia china sasa pesa zake kila kukicha amatafuta campuni za kiisrael awekeze.
Ingawa ata ukisoma agano la kale waweza pata ukakasi kwamba mbona kama wana ubaguzi mbona wanapendelewa, labda kutokana na ufupi wa akili zetu twashindwa kuona mpango wa aliye juu.
Ni hayo tu mazeee
Kwa hiyo wewe mtu mwenye ngozi nyeusi [ MTANZANIA ] na Tanzania yako hamjabarikiwa na huyo Mungu ni waisrael pekee tu ?🤔Wengi tunasoma Bible na kuona ni kama hadithi, zile ahadi za Mungu kwa uzao wa Ibrahim, yaani Waisrael, ni halisi kabisa.
Yale maneno aloambiwa Ibrahim, na yale alotamka Yakobo kwa wanawe 12 ni ROHO zinazoishi.
Yale maneno ni Roho.
Maarifa yangu yametokana na mila na desturi nilizozikuta sijui mababu zangu walipozipata maana hawajasema.Swali langu hukulijibu, wewe maarifa ulonayo umeyatoa wapi?!
Hoja yangu nimeijenga katika mazingira
Hata huko kwenye dini kwa kisa cha Ester kinatosha kulinda hoja yangu kwamba kujipenyeza kwa wanasiasa(watawala) imewapa sehemu ya kuwa hapo walipo.
Nchi 14 barani Afrika wamepinga Israel kuwa mwanachama wa AU ikiwemo TZ juzi kati,unahisi hizo nchi zote hawajui hilo jambo ni wewe tu ndie ujue ewe Mtumishi?
Nyama yake si salama lakiniSio hatari anaendana sana na binadamu, kuanzia ngozi na viungo kedekede
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Ukoloni wa fikra ni tatizo. Zinduka muafrika[emoji2211]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] muueEmancipate yourself from mental slavery, none but yourself can free your mind
Bado kapumbazwa kifikira na ngano za waroman [emoji16]Pole ndugu,hata Mimi mwanzoni nilihua Israel ni Taifa teule,lakini baada ya kuunua ukweli, Ile ni nchi ya kigaidi,hakuna cha uteule wala Mungu pale.
Who said something like your entire community being in chain control? Slavery is a matter of choice brother, keys to unleash your chains lays in your hands/ mind. You have an option, considering the above comments from multiple sources you should be able to read between the lines, not everyone is a slave to the system.You can not free yourself while all of your community are in chain, there is no good
VizuriMaarifa yangu yametokana na mila na desturi nilizozikuta sijui mababu zangu walipozipata maana hawajasema.
Tofauti na waisraeli ambao wameweka waxi kabisa nani aliowapa mfumo wa kuishi.
Aiseee kazi ipo , sasa China anawekeza mpaka Tanzania itakuwa ajabu kuwekeza Israel?Wana dunia,
Hapo zamani nilikuwa nashangaa sana jinsi Amerika anavyojikomba kwa taifa la Israel, lakini kadiri muda unavyopita ndivyo nami nazidi kudhania kuna jambo la siri viongozi wa juu wa Amerika wanajua juu ya taifa hili kongwe. Je kitu gani hichoo?
Kwa ufupi raia wa Amerika kama watu wa Ujerumani wanafamu fika kuwa wana wa Israel ni kama mafuriko huwezi kuwazuia- miaka hiyo ya nyuma pale walipokuwa wakimbizi wakikimbia serikali ya kinazi huko Ulaya taasisi nyingi za Marekani walifanya kuwabagua katika kazi za serikali. Hivyo wana wa Israel wakawa wanafanya uigizaji - HOLLYWOOD ile kufumba na kufumbua macho wakashangaa wamepata ukwasi mwingi sana.
Kitu kingine sio Marekani tu bali pamoja na mataifa makubwa yanayofuatia ya Urusi na Uchina kila kukicha kujikomba komba. Tumeona urusi ilivyopiga breki baada ya kutoa tarifa ya kukashifu taifa teule katika vita yake na ukraine. Pia china sasa pesa zake kila kukicha amatafuta campuni za kiisrael awekeze.
Ingawa ata ukisoma agano la kale waweza pata ukakasi kwamba mbona kama wana ubaguzi mbona wanapendelewa, labda kutokana na ufupi wa akili zetu twashindwa kuona mpango wa aliye juu.
Ni hayo tu mazeee