Mbona wanajikomba kwa Israel

Mbona wanajikomba kwa Israel

Kiwanda cha iPhone na development ama R&D center ya iPhone ni vitu viwili tofauti.

Kiwanda kinazalisha end products kutokana na technology ambayo inatoka mahali pengine. R&D center inafanya kazi ya utafiti ama uchunguzi na uvumbuzi wa bidhaa na teknolojia mpya.

Kama umeshawahi kutumia ama kuziona bidhaa za Apple kama iPhone, mara nyingi utakutana na maneno "Designed by Apple in California". China inafanya assembling tu.
Kwa hiyo teknolojia yote ya Intel ni ya muisrael na sio U.SA?🤔
 
Ni jamii na Taifa ambalo ukifuatilia Historia yao unashawishika kusema lazima KUTAKUWA NA NGUVU NYUMA YAO ISIYO YA KIBINADAMU. Hata kabla ya uswahiba na Marekani au Ulaya hii jamii ilishaonyesha ni ya kipekee sana.
Tukija kwenye Maandiko yanayosema atakayekubariki nitambariki na atakayekulaani nitamlaani , mfano ujerumani likiwa Taifa lenye nguvu duniani chini ya Hitler walipowaua wayahudi zaidi ya Million 6- JE NINI KILITOKEA(ujerumani ilianguka vibaya).

Baada ya Waisrael kunyanyaswa sana huko Ulaya hadi Marekani aliwakaribisha na kuwapa sehemu ya kuishi na wengi wakakimbilia huko(USA), kwanini leo tusiamini kuwa ndio maana Marekani imebarikiwa kuwa Tajiri na nguvu kuliko yote duniani.

Kwanini tusiamini Kuanguka kwa Idi Amin wa Uganda ni sababu alivyowateka Waisrael hadi walipookolewa ktk Operation ya Makomando wa Israel.

Baada ya Nyerere kuvunja uhusiano wa kidiplomasia na Israel na kuwaondoa waisrael waliokuwa wametusaidia kuanzisha jkt kwanini tusiamini kwamba ndiyo sababu ya kudumaa kwa uchumi wetu tofauti na wenzetu wa Kenya ambao uhusiano wao uliimarika siku hadi siku na hata Israel kuwa ni Taifa mojawapo lililowekeza Kenya.

Hii mifano ni tone tu ktk mifano hai iliyopo kuhusu hawa jamaa tangu karne na karne kabla hata ya ujio wa Yesu. Hakuna aliyeweka uadui na Israel akasimama.

Hivyo wazungu kumkumbatia sio wajinga, hata nchi nyingi za Kiarabu zilishaamua kujiepusha kuwa na migogoro na Israel.
Samahani hivi katika yale makabila yao 12 wewe upo kabila gani?🤔
 
Wewe si ulisema profile na jina langu ni kutoka China au umekosa hoja ?🤔 Hayo yote ya china kujifunza falsafa za Kijamaa za kirusi yote hayo nayajua na pia kuhusu Nyerere pia nafahamu sijui lengo lako ni nini hasa maana ni Kama unanifundisha vitu ninavyovifahamu au unadhani mimi kujiita mjamaa wa kisasa nimejiita kimakosa?🤔
Rudi darasani
 
Mchina amekuwa akinunua tech Israel kwa muda mrefu tu, na wala si kitu cha kushangaza.

Mojawapo ya tech hizo ni semiconductors. Kuna wakati Marekani na Urusi hufuata tech Israel, kwanini iwe ajabu kwa Mchina?


Ashindwe kwenda taiwan akimbilie Israel, nitajie tech 5 ambazo israel anazo china hana.
 
Nchi 14 barani Afrika wamepinga Israel kuwa mwanachama wa AU ikiwemo TZ juzi kati,unahisi hizo nchi zote hawajui hilo jambo ni wewe tu ndie ujue ewe Mtumishi?
Umefikiri mbali sana. Fikiria kwenye jamii yako inayokuzunguka hayupo muisrael hapo. Hata tukipinga ukweli ni kwamba kuna watu wamebarikiwa na wengine wamelaaniwa. Kuna watu ukijumuika nao katika maisha ujue umeshakwama na kuna watu ukijumuika nao umeshafanikiwa.

1. Si kila aliye na macho yanaona lakini kuna baadhi wanaona.

2. Pia si watu wote tunaona umbali unaofanana; Kuna watu wanaona leo, wengine kesho na wengine kesho kutwa.
Labda swali rahisi sana kwetu sote ni kuwa huyu mtu aliyebuni smartphones aliiona leo yetu miaka mingapi nyuma?

3. Hivi unafikiri hao viongozi wa nchi hizo kubwa ni wajinga? na sviongozi wetu wa Afrika ndiyo waelevu? Hao viongozi mfano wachina wanaona mbele zaidi ndiyo maana pia wametutangulia kwa mambo mengi.
 
Umefikiri mbali sana. Fikiria kwenye jamii yako inayokuzunguka hayupo muisrael hapo. Hata tukipinga ukweli ni kwamba kuna watu wamebarikiwa na wengine wamelaaniwa. Kuna watu ukijumuika nao katika maisha ujue umeshakwama na kuna watu ukijumuika nao umeshafanikiwa.

1. Si kila aliye na macho yanaona lakini kuna baadhi wanaona.

2. Pia si watu wote tunaona umbali unaofanana; Kuna watu wanaona leo, wengine kesho na wengine kesho kutwa.
Labda swali rahisi sana kwetu sote ni kuwa huyu mtu aliyebuni smartphones aliiona leo yetu miaka mingapi nyuma?

3. Hivi unafikiri hao viongozi wa nchi hizo kubwa ni wajinga? na sviongozi wetu wa Afrika ndiyo waelevu? Hao viongozi mfano wachina wanaona mbele zaidi ndiyo maana pia wametutangulia kwa mambo mengi.
Kwa hiyo wewe mtu mweusi [ mwafrika ]umelaaniwa Ila huyo muisrael kabarikiwa huyu Mungu wa namna hii wenye ubaguzi ni Mungu wakipumbavu hajapata kutokea😡
 
Makabila 12 bila shaka yanawahusu Israel. Mimi nipo kwenye kabila za Tanzania.
Je na wewe ndiwe HOLOFERNE yule kamanda mkuu wa Mfalme NEBUKADNEZA
Mimi ni MTANZANIA mwafrika mwenye ngozi nyeusi hizo hadithi za watu wa mashariki ya kati hazinuhusu . Ndio maana nikakuuliza wewe ambaye unajihusisha nazo wakati hautambuliki hata kwenye 1 la hayo 12 ya waisrael🤣
 
Ni jamii na Taifa ambalo ukifuatilia Historia yao unashawishika kusema lazima KUTAKUWA NA NGUVU NYUMA YAO ISIYO YA KIBINADAMU. Hata kabla ya uswahiba na Marekani au Ulaya hii jamii ilishaonyesha ni ya kipekee sana.
Tukija kwenye Maandiko yanayosema atakayekubariki nitambariki na atakayekulaani nitamlaani , mfano ujerumani likiwa Taifa lenye nguvu duniani chini ya Hitler walipowaua wayahudi zaidi ya Million 6- JE NINI KILITOKEA(ujerumani ilianguka vibaya).

Baada ya Waisrael kunyanyaswa sana huko Ulaya hadi Marekani aliwakaribisha na kuwapa sehemu ya kuishi na wengi wakakimbilia huko(USA), kwanini leo tusiamini kuwa ndio maana Marekani imebarikiwa kuwa Tajiri na nguvu kuliko yote duniani.

Kwanini tusiamini Kuanguka kwa Idi Amin wa Uganda ni sababu alivyowateka Waisrael hadi walipookolewa ktk Operation ya Makomando wa Israel.

Baada ya Nyerere kuvunja uhusiano wa kidiplomasia na Israel na kuwaondoa waisrael waliokuwa wametusaidia kuanzisha jkt kwanini tusiamini kwamba ndiyo sababu ya kudumaa kwa uchumi wetu tofauti na wenzetu wa Kenya ambao uhusiano wao uliimarika siku hadi siku na hata Israel kuwa ni Taifa mojawapo lililowekeza Kenya.

Hii mifano ni tone tu ktk mifano hai iliyopo kuhusu hawa jamaa tangu karne na karne kabla hata ya ujio wa Yesu. Hakuna aliyeweka uadui na Israel akasimama.

Hivyo wazungu kumkumbatia sio wajinga, hata nchi nyingi za Kiarabu zilishaamua kujiepusha kuwa na migogoro na Israel.
Hakuna hata myahudi mmoja alouliwa na HITLER
Zilikua njama zakutafta sababu zawale UMBWA kupelekwa ME kama zinavyotafutwa sababu zakupelekwa tena mfano wa WAYAHUDI wengine pale RWANDA
Hamjaamka tuuu nahakuna siku EU na US imekua nauadui na ISRAEL
Bila ISRAEL hii DUNIA ingekua kama peponi yaaani !!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo teknolojia yote ya Intel ni ya muisrael na sio U.SA?🤔
Teknolojia ya Intel inatokana na team ya wavumbuzi wengi ambao wanamiliki patents (hati miliki) za teknolojia walizovumbua. Hizo teknolojia zinavumbuliwa kwenye kampuni mbalimbali pamoja na Research & Development centers za Intel.

Kinachofanywa na Intel ni uwekezaji wa hizo R&D centers pamoja na ununuzi wa hizo tech ili kuzitumia kwenye bidhaa zake.
 
Nadhani unapaswa kuwa wewe ili huo utumwa wa mabwana zako Israel utoke
Ivi ivi unajua karl marx alikuwa ni myahudi!! Yaani mojawapo ya first thinker wa falsafa za ujamaa, falsafa zilizopitwa na wakati unazokomaa nazo zilizoachwa na Uchina na kumumiza Mrusi. Alafu alafu unawachukulia poa. Ni kama nyoka aliye mistake mkia wake na kuanza kuumeza.
 
Ashindwe kwenda taiwan akimbilie Israel, nitajie tech 5 ambazo israel anazo china hana.
Swali lako linakosa taarifa nyingi sana.

Tech zinavumbuliwa, zinawekewa patents, pia zinauzwa kila siku. Unaweza kuwa na tech ambayo hukuivumbua bali umenunua kwa mtu mwingine.

Patent ya kwanza ya USB flash drive ilikuwa ya Israel lakini leo karibu dunia nzima inatengeneza USB flash drives.

Swali lako lingekuwa sahihi sana kama lingeuliza kuhusu hati miliki ya tech na si kwa mtindo wa nani ana hiki ambacho mwingine hana.
 
China gani hiyo iliyoacha ujamaa?🤔 Labda ungeniambia Urusi ndio ningekuelewa
Ivi ivi unajua karl marx alikuwa ni myahudi!! Yaani mojawapo ya first thinker wa falsafa za ujamaa, falsafa zilizopitwa na wakati unazokomaa nazo zilizoachwa na Uchina na kumumiza Mrusi. Alafu alafu unawachukulia poa. Ni kama nyoka aliye mistake mkia wake na kuanza kuumeza.
 
Teknolojia ya Intel inatokana na team ya wavumbuzi wengi ambao wanamiliki patents (hati miliki) za teknolojia walizovumbua. Hizo teknolojia zinavumbuliwa kwenye kampuni mbalimbali pamoja na Research & Development centers za Intel.

Kinachofanywa na Intel ni uwekezaji wa hizo R&D centers pamoja na ununuzi wa hizo tech ili kuzitumia kwenye bidhaa zake.
Kwa hiyo mmiliki wa teknolojia ya Intel ni muisrael?🤔
 
Kwa hiyo wewe mtu mweusi [ mwafrika ]umelaaniwa Ila huyo muisrael kabarikiwa huyu Mungu wa namna hii wenye ubaguzi ni Mungu wakipumbavu hajapata kutokea😡
Huyo Mungu na yule anayeamuru watu waue wenzao eti kumpigania ni yupi Mungu wa kweli.
 
Back
Top Bottom