Mbona wanawake ndio wanaongoza kwa kushauri wanaume kuoa?

Mbona wanawake ndio wanaongoza kwa kushauri wanaume kuoa?

proton pump

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2017
Posts
6,814
Reaction score
10,104
Naendelea kukusanya data kila siku.
Ukikaa na wanaume huwezi ukasikia wakimshauri mwanaume mwenzake kuoa mara kwa mara lakini kinyume chake

wanawake wamekuwa washauri wakuu wa vijana waliofikia umri wa kuoa kwamba oa oa ♫︎♫︎♫︎♫︎ kama wimbo sasa sijui kwa nn wao ndio washauri wakuu siku hizi.

Utaskia wanasema oa kijana umri unaenda.
Oa maisha ni hayahaya.
Oa utakuja kuitwa babu na watoto wako.

Oa utakuja kuzaa watoto wasiokuwa kuwa na akili.
Oa utakuja kusomesha uzeeni
Oa watukuja kukugongea mke wako.
Oa utakufa uache watoto wadogo.
Oa uendeleze kizazi eti kitapotea.
Utaishije mwenyewe huo ni uchoyo.
Oa ukifa upate wa kukulilia

Mbona wanakuja kwa kasi sana.
Ukijipenda mwenyewe watu wanaonaje sijui.

Jitathmini mwenyewe kwanza ewe kijana.
 
Naendelea kukusanya data kila siku.
Ukikaa na wanaume huwezi ukasikia wakimshauri mwanaume mwenzake kuoa mara kwa mara lakini kinyume chake

wanawake wamekuwa washauri wakuu wa vijana waliofikia umri wa kuoa kwamba oa oa ♫︎♫︎♫︎♫︎ kama wimbo sasa sijui kwa nn wao ndio washauri wakuu siku hizi.

Utaskia wanasema oa kijana umri unaenda.
Oa maisha ni hayahaya.
Oa utakuja kuitwa babu na watoto wako.

Oa utakuja kuzaa watoto wasiokuwa kuwa na akili.
Oa utakuja kusomesha uzeeni
Oa watukuja kukugongea mke wako.
Oa utakufa uache watoto wadogo.
Oa uendeleze kizazi eti kitapotea.
Utaishije mwenyewe huo ni uchoyo.
Oa ukifa upate wa kukulilia

Mbona wanakuja kwa kasi sana.
Ukijipenda mwenyewe watu wanaonaje sijui.

Jitathmini mwenyewe kwanza ewe kijana.
Epuka kukaa na watu wa nanma hiyo watakufanya ushindwe kukaa kwa amani hao ni watu wanapenda kukuona ukiteseka
 
IMG-20241008-WA0057.jpg
 
Afu wenye maisha magumu ndiyo huwa wanapenda sana kutoa ushauri.
Sijui ni kwanini watu wengi ambao hawajafanikiwa huwa wanapenda kucheka sana watu wengine wanaoanguka au kujadili maisha ya watu

Siku moja nilipa duka moja la mkinga Fulani anauza duka yeye na familia yake na ndugu amewaajili hawana muda kabisa kujadili maisha ya mtu muda wote watu bize wateja ni wengi wakikaa wametulia wanajadili kuhusu oda za wateja
 
Unapozungumzia Mahusiano /Ndoa familia haya mambo kwa mwanamke yanachukua 70% kama sio 80%

Mwanamke ndoa inamjenga ,inampa utambulisho (identity) na pia inampa prestige hasa anapokuwa na watoto ambao wanamuita mama .

Mwanamke kukushauri kuoa au kupata mtoto anakuwa yupo sahihi kabisa .

Neno "mke wa MTU " lina uzito mkubwa kuliko "mme wa MTU "

So ikiwa utapata kutafakari hayo mambo unaweza kuelewa kwa kina.
 
Kwanini wanawake wanaunga zaidi mkono ndoa ukilinganisha na wanaume

1. Ndoa inalinda zaidi masilahi ya mwanamke. Wajibu wa mwanaume unatambulika kisheria na anashurutishwa kuutimiza tofauti na wajibu wa mwanamke ambapo ni hiyari ya mwanamke kutimiza, vile vile ndoa inapovunjika mwanamke analipwa fidia ya muda aliotumia katika ndoa lakini mwanaume halipwi fidia ya muda wake kwenye ndoa iyo iyo.

2. Ndoa ni ajira ya kudumu kwa mwanamke. Endapo mwanamke maisha yakimpiga knock out basi ndoa inaweza kuwa kimbilio lake.

3. Ubora wa mwanamke haudumu kwa muda mrefu. Mwanamke anakua kwenye kilele chake cha ubora kuanzia anapovunja ungo mpaka late 20s, anapoingia 30s ubora wake kuanzia uzuri mpaka uwezo wa kuzaa unaingia kwenye declining stage, kwaiyo ni lazima akukuluke amalizane na mambo yote hapo kwenye 20s.

4. Njia ya mkato kufanikiwa kimaisha. Kwa sasa wanawake walio wengi duniani kote wamegeuza talaka, child support na mirathi ya mume kuwa miradi ya kibiashara. Mwanamke akiitumia ndoa kimkakati inaweza kumpa utajiri.
 
Back
Top Bottom