Mbona wanawake ndio wanaongoza kwa kushauri wanaume kuoa?

Mbona wanawake ndio wanaongoza kwa kushauri wanaume kuoa?

Naendelea kukusanya data kila siku.
Ukikaa na wanaume huwezi ukasikia wakimshauri mwanaume mwenzake kuoa mara kwa mara lakini kinyume chake

wanawake wamekuwa washauri wakuu wa vijana waliofikia umri wa kuoa kwamba oa oa ♫︎♫︎♫︎♫︎ kama wimbo sasa sijui kwa nn wao ndio washauri wakuu siku hizi.

Utaskia wanasema oa kijana umri unaenda.
Oa maisha ni hayahaya.
Oa utakuja kuitwa babu na watoto wako.

Oa utakuja kuzaa watoto wasiokuwa kuwa na akili.
Oa utakuja kusomesha uzeeni
Oa watukuja kukugongea mke wako.
Oa utakufa uache watoto wadogo.
Oa uendeleze kizazi eti kitapotea.
Utaishije mwenyewe huo ni uchoyo.
Oa ukifa upate wa kukulilia

Mbona wanakuja kwa kasi sana.
Ukijipenda mwenyewe watu wanaonaje sijui.

Jitathmini mwenyewe kwanza ewe kijana.
Ndiyo maana ya marketing
 
Hebu get off your high horses. Wanaume mnachekesha sana! Kama hamtaki kuoa si muache tuuu. Kutwa kuongeaongea around ndoa weee kutuchosha! Asiyetaka kuoa asioe. Waonyeni watoto wenu wa kiume wasioe! Baasss. Sio mnatuomba kutuoa wenyewe halafu kuja kutusimangasimanga mtandaoni nyuma ya keyboard.

Hutaki kuoa kula nyama nyamaza.

Evelyn Salt njoo umalizie mi nimeanza
 
Hebu get off your high horses. Wanaume mnachekesha sana! Kama hamtaki kuoa si muache tuuu. Kutwa kuongeaongea around ndoa weee kutuchosha! Asiyetaka kuoa asioe. Waonyeni watoto wenu wa kiume wasioe! Baasss. Sio mnatuomba kutuoa wenyewe halafu kuja kutusimangasimanga mtandaoni nyuma ya keyboard.

Hutaki kuoa kula nyama nyamaza.

Evelyn Salt njoo umalizie mi nimeanza
Mambo ni mawili tu kuoa au kuolewa.....usipooa kuolewa ni lazma.
 
Hebu get off your high horses. Wanaume mnachekesha sana! Kama hamtaki kuoa si muache tuuu. Kutwa kuongeaongea around ndoa weee kutuchosha! Asiyetaka kuoa asioe. Waonyeni watoto wenu wa kiume wasioe! Baasss. Sio mnatuomba kutuoa wenyewe halafu kuja kutusimangasimanga mtandaoni nyuma ya keyboard.

Hutaki kuoa kula nyama nyamaza.

Evelyn Salt njoo umalizie mi nimeanza
Wanajiona sijui nani yaani!! Si waache tu waolewe tujue moja!!!
 
Kuna mmoja alimwambia mdogo wangu wa kiume kuwa wakati amelala usiku, BWANA wa majeshi alimtokea na akamwambia kuwa yeye ndiye mume wake mtarajiwa.
 
Back
Top Bottom