Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
Hee, sijaona watu wamealikwa kwenye shughuli muhimu sababu wameoa. Wanaonekana muhimu sababu wana hela, wana vyeo na wana umaarufu.Unaheshimika bwana ukiwa umeoa, unaacha kuonekana muhuni. Unaonekana unajua wajibu. Huulizi kwanini kuna nafasi huwezi kupata kama hujaoa?