Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
Hee, sijaona watu wamealikwa kwenye shughuli muhimu sababu wameoa. Wanaonekana muhimu sababu wana hela, wana vyeo na wana umaarufu.Unaheshimika bwana ukiwa umeoa, unaacha kuonekana muhuni. Unaonekana unajua wajibu. Huulizi kwanini kuna nafasi huwezi kupata kama hujaoa?
Ndiyo maana ya marketingNaendelea kukusanya data kila siku.
Ukikaa na wanaume huwezi ukasikia wakimshauri mwanaume mwenzake kuoa mara kwa mara lakini kinyume chake
wanawake wamekuwa washauri wakuu wa vijana waliofikia umri wa kuoa kwamba oa oa ♫︎♫︎♫︎♫︎ kama wimbo sasa sijui kwa nn wao ndio washauri wakuu siku hizi.
Utaskia wanasema oa kijana umri unaenda.
Oa maisha ni hayahaya.
Oa utakuja kuitwa babu na watoto wako.
Oa utakuja kuzaa watoto wasiokuwa kuwa na akili.
Oa utakuja kusomesha uzeeni
Oa watukuja kukugongea mke wako.
Oa utakufa uache watoto wadogo.
Oa uendeleze kizazi eti kitapotea.
Utaishije mwenyewe huo ni uchoyo.
Oa ukifa upate wa kukulilia
Mbona wanakuja kwa kasi sana.
Ukijipenda mwenyewe watu wanaonaje sijui.
Jitathmini mwenyewe kwanza ewe kijana.
Mambo ni mawili tu kuoa au kuolewa.....usipooa kuolewa ni lazma.Hebu get off your high horses. Wanaume mnachekesha sana! Kama hamtaki kuoa si muache tuuu. Kutwa kuongeaongea around ndoa weee kutuchosha! Asiyetaka kuoa asioe. Waonyeni watoto wenu wa kiume wasioe! Baasss. Sio mnatuomba kutuoa wenyewe halafu kuja kutusimangasimanga mtandaoni nyuma ya keyboard.
Hutaki kuoa kula nyama nyamaza.
Evelyn Salt njoo umalizie mi nimeanza
😛😛😛😛 Teh teh...Mambo ni mawili tu kuoa au kuolewa.....usipooa kuolewa ni lazma.
Wanajiona sijui nani yaani!! Si waache tu waolewe tujue moja!!!Hebu get off your high horses. Wanaume mnachekesha sana! Kama hamtaki kuoa si muache tuuu. Kutwa kuongeaongea around ndoa weee kutuchosha! Asiyetaka kuoa asioe. Waonyeni watoto wenu wa kiume wasioe! Baasss. Sio mnatuomba kutuoa wenyewe halafu kuja kutusimangasimanga mtandaoni nyuma ya keyboard.
Hutaki kuoa kula nyama nyamaza.
Evelyn Salt njoo umalizie mi nimeanza
Marahaba. Huwezi kuwa raisi wa nchi ukiwa muhuni muhuni hujaoaHee, sijaona watu wamealikwa kwenye shughuli muhimu sababu wameoa. Wanaonekana muhimu sababu wana hela, wana vyeo na wana umaarufu.
Ni sheria gani inakataza mtu asiye kuwa na mke kutogombea?Marahaba. Huwezi kuwa raisi wa nchi ukiwa muhuni muhuni hujaoa
Ya jamhuri ya muungano wa TANGANYIKA AND ZANZIBAR.Ni sheria gani inakataza mtu asiye kuwa na mke kutogombea?
Katiba ya nchi in fact ni zote dunianiNi sheria gani inakataza mtu asiye kuwa na mke kutogombea?
Katiba haina sharti hiloKatiba ya nchi in fact ni zote duniani
Nipe kifungo cha Sheria.Ya jamhuri ya muungano wa TANGANYIKA AND ZANZIBAR.
Utajiju, mimi sio mwanasheriaKatiba haina sharti hilo
Ndio usiropoke vitu huvijuiUtajiju, mimi sio mwanasheria
Uache uhuni, ndio uoeNdio usiropoke vitu huvijui