Mbona wanawake wakijiweza kidogo tu kiuchumi wakalingana na wanaume wanakuwa na dharau?

Siku zote mahusiano mazuri ni yale ambayo kila mmoja katika mahusiano hayo anayahitaji. Inapotokea unaona mwenzako anauelekeo wa kutoyahitaji kubaliana na hiyo hali mapema na usonge mbele na anayehitaji mahusiano na wewe. Ukitumia fomula hii hutahangaika hata kuomba ushauri.

Kanuni nyingine hakikisha unakuwa na mwanamke unayemmudu sio anayekummudu.
 
Uhakika
 
Mimi kwa mtazamo wangu hapo huyo manzi alishakuacha sema hakukuambia tuu direct...sasa huyo manzi hayupo mjini analeta dharau hizo je akija mjini itakuaje...ukiwekeza sana kwa wanawake una hati hati ya kupoteza mali(fedha,muda) na kupata maumivu sana...
 
Nmekuelewa
 
Kijana wa Bodaboda kashampakia MKONGO huyo,achana nae hakuna namna.
 
Just imagine wana snap then akipata shida changamoto anakupigia nikamwbia yule mnae ji snap hawezi kukusaidia?

Akaja juu nikamwambia wewe amua chochote siwezi kuwa na mwanamke jeuri na asie na heshima
Mwanamke akishaanza kuleta jeuri achana nae kuna mtu kamshika masikio,atakusumbua.
 
Move on, mzee. Tena kwa amani tu. Huyo kashavuka ligi yako, so take your L with grace. Wanawake wengi huwachukulia poa sana wanaume wanaowashobokea.
 
Ndo nipo kwenye huo mchakato naomba mungu anisaidie nivuke salama
We husimtafute tena ipo siku atakutafuta mwenyewe akiwa ameshapigika na kufilisika, Vijana wengi walitokea kwenye maisha duni wakipata pesa wanakuwa na dharau kwasababu pesa kazipatia ukubwani kwao walikuwa hakuna vijisenti vya kubadilishia mboga na wazazi wake walikuwa hawana vipesa vya kuwatoa out watoto wao

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Siwezi kufanya ata status nmemute nasubiri week 2 nifute na number kabisa
 
Umemaliza kila kitu hapa boss [emoji119]
 
Na ukiweka mimba usihudumie mpka mtoto aje dunian ujihakikishie Ni wako ...baada ya Apo mlipe fidia ya miezi tisa
 
Hapo kwenye boda boda wake ndio kosa lilipoanzia.
Piga chini tafuta mwanamke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…