Mzee wa fitna
JF-Expert Member
- Nov 15, 2015
- 341
- 188
Nmecheka mno[emoji3]Mchawi godoro tuu. Kama una magodoro mazuri unahama muda wowote
Security. Imagine unahamia huku uswazi kwetu cantre imejaa maboksi ya 60'' OLED tv, home theatre,mazagazahga kibao huku vibaka wa kitaa wanashuhudiaipi hyo mkuu
Vipi kuhusu uchafu kama mjumbe mmoja alivyosema hapo juu?Kwenye ule uzi wako wa deep web nilikukera[emoji23][emoji23].
Wanahama usiku kwa sababu za kiusalama
Majirani hasa wezi,wachora ramani wasione mali zinazoingia ndani ya nyumba na zinazotoka
Kwahiyo ni mazoea tu?Hakuna sababu ya maana ..
Nimekusoma mkuu atleast nimepata mwanga fulaniMkuu hapo kuna mambo mengi, isipokua hakuna sababu moja ya msingi inayowafanya watu wapende kuhama usiku.
Mfano kuna wengine hawataki kujulikana kua wanahama, wengine ni imani za kishirikina zinawasumbua, wengine hawataki vyombo vyao vya ndani majirani wavione, wengine wanakuaga na madeni kwahio wanaamua kuhama usiku ili majirani wasije kuwapa taarifa wanaomdai na mengineyo mengi.
Moja wapo ni ipi?Kuhama usiku kunaraha yake bana tuulize sisi wakongwe wa kuhama usiku.
Security. Imagine unahamia huku uswazi kwetu cantre imejaa maboksi ya 60'' OLED tv, home theatre,mazagazahga kibao huku vibaka wa kitaa wanashuhudia
Wasumbufu sana haoPia wale wa masafa kidogo njiani wavaa nyeupe wengi wengi wanaweza kukuongezea gharama za uhamaji
Security. Imagine unahamia huku uswazi kwetu cantre imejaa maboksi ya 60'' OLED tv, home theatre,mazagazahga kibao huku vibaka wa kitaa wanashuhudia
Kwahiyo ni mazoea tu?
Sasa kwanini mtu asikubaliane na hali yake? Maana usiku nao una hatari zakeIssue kubwa ni uchafu na baadhi ya vitu kachakaa. Wewe unakuta mtu ana kisofa kochi chake kimechakaa mpaka basi sasa kukitoa mchana anaona nouma.
Kingine,Vyombo vilivyopitwa na wakati, maplastiki kibao, chupa za maji nyingi utafikiri muuza gongo. Vigodoro vilivyochoka full mafua.
Yaani kwa kifupi ni kuficha uchafu na umaskini.