Buyuni Kwetu
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 2,120
- 2,153
Ni kweli unayosema lakini CCM haiwezi kuzuia Mungu anachoamua kukifanya 17032021Ccm inaweza kumfanya mtu yeyete hapa nchini inachotaka!
Hangaya angeamua kumfunga Mbowe angemfunga bila shida yeyote
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Epusha ukoo wako na aibu ndogo ndogo kama hizi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unapanic nini sasa?
Sisi ccm ndio baba zenu! Tunawafanya tutakavyo! Kama weka ndani mwaka mzima, achia huru kisha unaanza kushangilia!
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Kuna makamanda hili suala hawajaliona kabsa umekamatwa na umeambiwa una kes ya kujibu kabla hujajitetea mtu aseme nimekusamehe ni sawa ukimfumania mkeo alafu usimuulize kitu ujifanye umemsamehe bila hata kumpiga kofi moja ni dharau sana hyoYeah lakini with conditions kitu ambacho Mh.Mbowe hawezi kukifanya kabisa hata mwanasiasa yoyote makini.
Yaani utendewe kosa wewe afu upige goti kuomba msamaha..inakuja kweli hiyo.
Yaani ni kwamba ukiomba msamaha ina maana ulifanya hicho kitendo na busara za DPP anakuachia lakini kuna makubaliano mtaafikiana wewe na mahakama tena ya kisheria ndipo unaachiwa. Wengi wanadhani unatoka tu as simple as that hapana.
Baada ya hapo utarudi mtaani bila nguvu ya kisiasa maana wewe mi muharifu mwenye msamaha wa DPP...muda wowote akijiskia anaifufua kesi.
Waiweke tusherehekeeHivi kutakuwa na kumbukizi?
Critically trueToeni propaganda hapa..hao walitumwa kuomba msamaha ili ionekane ni Rais kawasamehe.
Lakin ukweli ni kwamba, serikali ilikuwa inaenda kuaibika sasa
Aibu ni kumwacha mwenyekiti anasota jela mwaka mzima alafu waliomfunga wanaamua kumwachia kisha mnaanza kushangiliaEpusha ukoo wako na aibu ndogo ndogo kama hizi.
Na anaweza kukufanya hata wewe dakika chache zijazo ila gaidi kukaa ndani mwaka mzima si mpango wa MunguNi kweli unayosema lakini CCM haiwezi kuzuia Mungu anachoamua kukifanya 17032021
Gaidi kasota rumande mwaka 1 ila pia funza wanamsubiriYule mfu anayeoza kule mwache funza wamlizie
Kamata weka ndani mwaka mzima, achia huru! ShangiliaaBashite. Sita alikuharibu alipokuubikiri
kavu kavu. Huna akiri baada ya mwaka hangaya kaufyata kwa akili yake mbowe angempigia magoti hangaya kajisiriba kinyesi
Wana hasira hao balaaaWaiweke tusherehekee
Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) leo Ijumaa amewasilisha hati ya kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Rushwa na Uujumu Uchumi, Dar es Salaam.
Hangaya mmoja mbowe 500Makamasi katoa hangaya kila aendako anahesabiwa shetani lucif
eri muuwaji
Bila shaka anataka useme Jamuhuri ndiyo wameshinda.Kama huku siyo kushindwa nipe definition mpya ya kushindwa.
Kama kawaida yako, wewe ulikuwepo hapa JF na bandiko #2. Tukueleweje?Mungu wa mbinguni awabariki nyote.
Leo kuna Ibada ya Njia Ya Msalaba aliyopitia Bwana wetu Yesu Kristo kuelekea kwenye ukombozi wa Wana wa Mungu.
Ni imani yangu Simon wa Kirene atatuongoza!
Updates;
Nawatakia Chadema wote Ibada njema ya Njia ya Msalaba.
Mungu ni MWEMA wakati wote.
Jumaa kareem.
The End.