Mbowe aachiwa huru na wenzake watatu baada ya DPP kuwasilisha hati ya kutotaka kuendelea na kesi

Mbowe aachiwa huru na wenzake watatu baada ya DPP kuwasilisha hati ya kutotaka kuendelea na kesi

Huku ni kuchezea rasilimali za umma na pesa za walipa kodi.

Unarndesha Criminal session kwa pesa nyingi unalipa mawakili wa serikali, jaji na watumishi wa mahakama.

Kama ushahidi ulikuwa hautoshi kuwatia hatiani watuhiwa Nolle prosequi ilitakiwq iwe entered mapema kabla ya utetezi kupangwa.

Jaji alipitia majalada yake na kuona kuwa ushahidi uliotolewa umeonyeshawa watuhumiwa wanakesi ya kujibu.

Leo hii Dpp bila aibu anawachia watuhumiwa wenye kesi ya kujibu? Ina maana alidanganya ili alipwe pesa za walipa kodi kuendesha kesi ya uongo? Jaji alipitia majalada yenye kesi ya uongo?

Wote wapige chini kazi.
Unaelewa unachosema?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Ukiona tv imebadilisha sauti au muonekano wa picha Fahamu kuwa kuna energy imetumika.
 
DPP akitoa kesi na mshitakiwa akiachiwa huru aweza kukamatwa tena na kushitakiwa upya- hivyo usiwe msahalifu. Pole wewe maana utakosa mihogo na mahindi ya kuchoma pale mahakamani
Kesi ndio imeshafutwa hivyo!Hapo ni mwendo wa Katiba mpya kwenda mbele!
 
DPP alithibitisha Mbowe ana kesi ya kujibu na mahakama ikatoa uamuzi, yaani ushahidi wa Mbowe kujihusisha na ugaidi ulitosha, na mahakama akaona Mbowe ana kesi ya kujibu, nakala ya UAMUZI ipo.

Kabla ya kujitetea ili hukumu itoke imsafishe, akatuma viongozi wa dini wamuombee msamaha, ila kumbukumbu za mahakama kupitia uamuzi wake, iliona Mbowe, kwa ushahidi uliotolewa, alijihusisha na ugaidi.

DPP alikuwa tayari kummaliza Mbowe, ashukuru tu viongozi wa dini
Penal code ipi inayotoa option ya viongozi wa dini kumaliza kesi?
 
DPP alithibitisha Mbowe ana kesi ya kujibu na mahakama ikatoa uamuzi, yaani ushahidi wa Mbowe kujihusisha na ugaidi ulitosha, na mahakama akaona Mbowe ana kesi ya kujibu, nakala ya UAMUZI ipo.

Kabla ya kujitetea ili hukumu itoke imsafishe, akatuma viongozi wa dini wamuombee msamaha, ila kumbukumbu za mahakama kupitia uamuzi wake, iliona Mbowe, kwa ushahidi uliotolewa, alijihusisha na ugaidi.

DPP alikuwa tayari kummaliza Mbowe, ashukuru tu viongozi wa dini
Wewe ni maamuma ni Bora ukae kimya.
 
Kisheria sio sahihi kuiondoa kesi wakati mahakama imeona mtuhumiwa tayari ana kesi ya kujibu...
Mahakama sio msemaji na akili za watanzania

Kama ni gaidi tunajua pia kama sio gaidi tunajua

Watu wamefurahi Rais kuachana na mambo ambayo jamii haiungi mkono

Mzee dunia imebadilika sana Ogopa kitu inayoitwa disclaimers

Hadhira ina mtazamo wake nowadays. Hata hivyo karibu kila kitu mambo ni hayo hayo mathalani kwenye soka mashabiki wakikukataa hata kocha akikupenda mpaka kufa utatoka tu

Sasa Rais (anaeipa mahakama amri) ni nani ni nani wapingane na hadhira?
 
Tuliwaambia toka mwanzo kuwa hakuna kesi..mkashupaza shingo, sasa imefikia mahali watu waanze kujitetea,wawaite kina Sirro na Samia kizimbani..mmepanick mmekimbia kesi. Mkamtuma shehe wenu ajifanye anaomba kesi ifutwe. Mbowe alishasema hataki msamaha wala huruma mpaka ukweli ujulikane. Aibu tupu kwa maccm 🚮🚮🚮
Viongozi wa dini walitumwa na Mbowe, akiwemo yule askofu wa chadema, KKKT Karagwe
 
Mukuu hebu iweke kwa lugha rahisi tuelewe sisi layman
Huwezi kufungua kesi ya madai kwenye shauri ambalo final decree haijatolewa. Kumbuka bado nole prosequie is not bar for subsequent proceedings basing on the same fact , hivyo wakikamatwa tena hawawezi kuweka P.O ya autrefois acquit ,autrefois convict au res subjudice , kulikuwa na mswada wa kubadilisha hicho kifungu cha nole kiwe bar sikumbuki kama mswada huo umesainiwa kuwa sheria
 
Viongozi wa dini walitumwa na Mbowe, akiwemo yule askofu wa chadema, KKKT Karagwe
Mbowe alishaweka wazi toka kipindi kile Zitto anajifanya anamuombea msamaha kuwa hayuko tayari kuomba msamaha wala huruma ya Rais. Akasema yupo tayari kufia gerezani. Mmeona maji yanazidi unga mkamtuma shehe wenu ajifanye anaomba msamaha. We are too smart for that...Poleni maccm
 
Mukuu hebu iweke kwa lugha rahisi tuelewe sisi layman
Mukuu hebu iweke kwa lugha rahisi tuelewe sisi layman
91.-(1) Katika kesi yoyote ya jinai na katika hatua yoyote ile kabla ya hukumu au uamuzi, kama itakavyokuwa, Mkurugenzi wa Mashtaka anaweza kuweka nolle prosequi, aidha kwa kueleza mahakamani au kwa kuiambia mahakama husika kwa maandishi kwa niaba ya Jamhuri kuwa mwenendo hautaendelea; na baada ya hapomtuhumiwa ataachiwa mara moja kuhusiana na shtaka ambalo nolle prosequi imewekwa na kama amepelekwa gerezani atatakiwa kuachiwa, au kama yuko chini ya dhamana wadhamini wake watakoma kuwa wadhamini; lakini kuachiwa huko kwa mtuhumiwa hakutachukuliwa kama kizuizi kwa mashtaka mengine ya baadaye dhidi yake kwa kutumia maelezo hayo hayo.

1646460593737.gif
 
A

afadhali wewe umetambua hilo maana
  1. alikamatwa
  2. akashitakiwa...
Wewe unadhani Hangaya alikuwa anafurahi kila akiingia mitandaoni anakutaa na hashtag za Mbowe sio gaidi
 
Back
Top Bottom