Mbowe ahusishwa na UFISADI wa kuimaliza NSSF

Mbowe ahusishwa na UFISADI wa kuimaliza NSSF

kada achana nae huyu pimbi.

nimemuuliza mkutano wa kwanza wa Chadema ulifanyika wapi Dar? hajui, mimi nitamwambia nani alizungumza na MTEI hotuba yake ilisema nini haijui, alikuja na na gari gani, jukwaa lilikuwa wapi?

Mwanakijiji nataka kukuthibitishia naijua vyema Chadema kuliko wewe.muulize hayo Maswali MBOWE NAJUA WEWE na kitila hamjui chochote.

nakupa kidogo tu.Jukwaa la Chadema lilikuwa upande wa kaskazini karibu ya barabara ya mkunguni na lumumba mnazi mmoja. hili nakupa kukuonesha kuwa wewe umepanda gari usilolijua. muulize Mbowe atakwambia Chinga anasema UKWELI.

ukitaka nitakupa na hotuba yote ya mzee Mtei.mkutano ulitawaliwa na wachagga wauza mabaa wengi ulikuwa kama wa kikabila ni sawa na Kilimanjaro development Association. wewe endelea kumlinda Mbowe kwenye viti maalum wanapewa wachagga tu
.

WAFUASI TU HAWA, WANASHIKISHWA KITU WASICHOKIJUA !

"NJE NDANI STYLE HIYO"..WATU SIO KWAMBA WANAIPONDA CHADEMA, BALI WANAIJUA NJE NDANI NA NINI NIA YAO".
 
NOt everyone else kwa sababu Rostam Azizi analowa sasa hivi na hii issue ya uraia bubu wake... inabidi uqualify your statement kinda off... wakati nikikutoa kwenye mada tartibu na kuonyesha superiority yangu over all of watetezi wa mafisadi!

sasa hiyo ndio habari ya mbowe mkikuyu, si umetupromise kwamba you are just getting started, sasa mbona unaloa wewe mwenyewe ?? tunasubiri kwa hamu tena naomba niombe msemo wako, na mimi leo naenda kuchukua pop corn naweka kwenye microwave zibabuke kidogo nije kusoma what you have to say kuhusu mbowe kuwa mkikuyu ! kwa kwa kwa kwahahaaaaaaa !
 
kada achana nae huyu pimbi.

nimemuuliza mkutano wa kwanza wa Chadema ulifanyika wapi Dar? hajui, mimi nitamwambia nani alizungumza na MTEI hotuba yake ilisema nini haijui, alikuja na na gari gani, jukwaa lilikuwa wapi?

Mwanakijiji nataka kukuthibitishia naijua vyema Chadema kuliko wewe.muulize hayo Maswali MBOWE NAJUA WEWE na kitila hamjui chochote.

nakupa kidogo tu.Jukwaa la Chadema lilikuwa upande wa kaskazini karibu ya barabara ya mkunguni na lumumba mnazi mmoja. hili nakupa kukuonesha kuwa wewe umepanda gari usilolijua. muulize Mbowe atakwambia Chinga anasema UKWELI.

ukitaka nitakupa na hotuba yote ya mzee Mtei.mkutano ulitawaliwa na wachagga wauza mabaa wengi ulikuwa kama wa kikabila ni sawa na Kilimanjaro development Association. wewe endelea kumlinda Mbowe kwenye viti maalum wanapewa wachagga tu.

Kuita watu pimbi ndiko nilitaka uende na sasa endelea na explosion wakati bosi wako akitafuta pa kwenda na huo uraia na elimu zake fake!
 
Mbona kamuacha Grace Kiwelu na Muhonga? hujui kama nao wake zake?

Chinga,
hawa wafuasi wa CHADEMA wamekuja kudandia treni kwa mbele na hawajui treni lenyewe (chadema) linakoelekea, hawajui hata historia ya chama chao, mwenyekiti wao........yaani tabu tupu !
 
sasa hiyo ndio habari ya mbowe mkikuyu, si umetupromise kwamba you are just getting started, sasa mbona unaloa wewe mwenyewe ?? tunasubiri kwa hamu tena naomba niombe msemo wako, na mimi leo naenda kuchukua pop corn naweka kwenye microwave zibabuke kidogo nije kusoma what you have to say kuhusu mbowe kuwa mkikuyu ! kwa kwa kwa kwahahaaaaaaa !

kitchen imekuwa moto kuliko ulivyotegemea enhee!

what happened kwenye original argument yako? umekosa ya kusema kuhusu deni la Mbowe.... pole sana ... next time njoo ukiwa umejiandaa au endeleza uanachama darhotwire.....!
 
kitchen imekuwa moto kuliko ulivyotegemea enhee!

what happened kwenye original argument yako? umekosa ya kusema kuhusu deni la Mbowe.... pole sana ... next time njoo ukiwa umejiandaa au endeleza uanachama darhotwire.....!

CHADEMA HUIJUI, MWENYEKITI WAKO MBOWE HUMJUI NA HII ZAWADI YAKO !
Ulidhani nitasema ooh sijasema kwamba mbowe sio mkikuyu, sijui alisema chinga eeh, well i didnt ! NOW YOU ARE BURNING YOUR OWN SELF !

9049_chefs_hat_mascot_cartoon_character_holding_a_knife_and_fork.jpg



KITCHEN HAKUJAWA KWA MOTO, NDIO KWANZA NIMEVAA MAGWANDA YANGU, UMA NA SIJUI KIJIKO HIKO SIJUI NINI NINAVYO TAYARI !OPPS KISU !
DARHOTWIRE MBONA NIPO TOKEA ZAMANI LAKINI SIPO ACTIVE, KOSA LIKO WAPI ? HIYO NI PERSONAL LIFE YANGU BINTI, UNANINI UNACHOTAKA KWANGU ? UNANIFUATILIA HADI HUKO ? BASI PIA NITAANZA KUTOA COMMENTS KWA MICHUZI NA NITATUMIA JINA LANGU LA KADAMPINZANI NADHANI UTAFURAHI, HAYA LETE HABARI ZA MBOWE MKIKUYU !
 
CHADEMA HUIJUI, MWENYEKITI WAKO MBOWE HUMJUI NA HII ZAWADI YAKO !
Ulidhani nitasema ooh sijasema kwamba mbowe sio mkikuyu, sijui alisema chinga eeh, well i didnt ! NOW YOU ARE BURNING YOUR OWN SELF !

9049_chefs_hat_mascot_cartoon_character_holding_a_knife_and_fork.jpg


DARHOTWIRE MBONA NIPO TOKEA ZAMANI LAKINI SIPO ACTIVE, KOSA LIKO WAPI ? HIYO NI PERSONAL LIFE YANGU BINTI, UNANINI UNACHOTAKA KWANGU ? UNANIFUATILIA HADI HUKO ?

Lazima nikufuatilie kila ulipo ili uweke balance kwenye JF ambayo unadai kuwa ni ya chadema, otherwise sina chochote nachotaka kwako zaidi ya kusoma somewhere kuwa unahitaji mchumba na inabidi nijilengeshe ......lol
 
WAFUASI TU HAWA, WANASHIKISHWA KITU WASICHOKIJUA !

"NJE NDANI STYLE HIYO"..WATU SIO KWAMBA WANAIPONDA CHADEMA, BALI WANAIJUA NJE NDANI NA NINI NIA YAO".

Kitila mkumbo mwenzake kamaliza mabucha yote na nyama ile ile. alikuwa mfuasi wa Mrema kwenye TLP sio NCCR kipindi ambacho hadi kina Ngawaiya walimshtukia mrema na kumkimbia.

lakini Bwana Mkumbo kitila msomi wa phd akafuata mkumbo huyo ni Mwalimu wa chuo kikuuu cha Dar-es-salaam alienda kibubusa TLP.
Ngawaiya pamoja na uchagga na n,k alimkimbia MREMA, lakini bwana KITILA akawa kada wa Mrema, nadhani alikuwa ni graduate pekee mfuasi wa Mrema.

Mwanakijiji.

una nini hadi watu wakose usingizi? si mwanasiasa na wala huijui siasa , huna elimu, huna pesa na si mwandishi.

nashangaa unaona Balile kapata sana kuwa Habari corporation, kwangu mimi Balile ni bomu kama wewe si mwandishi mahiri, mwandishi atatoka Tanzania Daima?gazeti lenye ofisi kwenye Dangulo(mbowe club)?

Mwanakijiji wenzako wako marekani wanatutumia pesa bongo, wewe uko majuu unatuomba tulioko huku, vipi siku ukikutana na oprah si utatoa machozi ya damu kwa kuomba usaidiwe?

sio Mbaya Mbowe kukupa dola elfu mbili lakini usigeuke kuwa Mtumwa.

Mbowe ni binadamu hana dhamana, kuna watu kama Tambwe Hizza na Kaburu waliwadanganya watu kama wewe, wengine wakawa hawasemi wala kuzikana kwa ajili ya siasa. walipooona maslahi yao yako safi wamekwenda CCM bila kutizama athari kubwa walioicha.

wewe unajifanya Mwandishi who knows inawezekana ukaja Bongo ukapata ajira gazeti la Mwananchi lakini kujiweka kuwa wewe ni mtu wa Mbowe tu utafikiri unapumuliwa mgongoni haifai.usimwamini binadamu mwenzako kupita kiasi.
 
Lazima nikufuatilie kila ulipo ili uweke balance kwenye JF ambayo unadai kuwa ni ya chadema, otherwise sina chochote nachotaka kwako zaidi ya kusoma somewhere kuwa unahitaji mchumba na inabidi nijilengeshe ......lol

BASI POA TUSAHAU YOTE NILIYOSEMA KUHUSU MBOWE, NA HII NDIO SIMU YANGU
phone.jpg


CALL ME NOW BABY !opps, lol ! si unaziona hizo namba hapa wee piga bana ! chungulia kwa makini utaziona tu bana, kama huzioni basi WALAUMU RICHMOND WAWASHE UMEME !
 
......

wewe unajifanya Mwandishi who knows inawezekana ukaja Bongo ukapata ajira gazeti la Mwananchi lakini kujiweka kuwa wewe ni mtu wa Mbowe tu utafikiri unapumuliwa mgongoni haifai.usimwamini binadamu mwenzako kupita kiasi.

inaonekana wewe ugomvi wako ni dhidi ya Mwanakijiji na wala sio swala la Mbowe. Haya mambo ya kupumuliwa mgongoni ni nia yako hii thread ihamishwe ili uanze kulialia hapa...

Sasa hata utukane matusi ya nguoni bado hujapata sababu ya kuanza rants zako za kulialia bila sababu kuwa inahamishwa kwa vile ni ya Mbowe wakati inaonyesha kabisa kuwa ni paranoia zako dhidi ya Mkjj anayewapa hell mafisadi day and night!
 
Kitila mkumbo mwenzake kamaliza mabucha yote na nyama ile ile. alikuwa mfuasi wa Mrema kwenye TLP sio NCCR kipindi ambacho hadi kina Ngawaiya walimshtukia mrema na kumkimbia.

lakini Bwana Mkumbo kitila msomi wa phd akafuata mkumbo huyo ni Mwalimu wa chuo kikuuu cha Dar-es-salaam alienda kibubusa TLP.
Ngawaiya pamoja na uchagga na n,k alimkimbia MREMA, lakini bwana KITILA akawa kada wa Mrema, nadhani alikuwa ni graduate pekee mfuasi wa Mrema.

Mwanakijiji.

una nini hadi watu wakose usingizi? si mwanasiasa na wala huijui siasa , huna elimu, huna pesa na si mwandishi.

nashangaa unaona Balile kapata sana kuwa Habari corporation, kwangu mimi Balile ni bomu kama wewe si mwandishi mahiri, mwandishi atatoka Tanzania Daima?gazeti lenye ofisi kwenye Dangulo(mbowe club)?

Mwanakijiji wenzako wako marekani wanatutumia pesa bongo, wewe uko majuu unatuomba tulioko huku, vipi siku ukikutana na oprah si utatoa machozi ya damu kwa kuomba usaidiwe?

sio Mbaya Mbowe kukupa dola elfu mbili lakini usigeuke kuwa Mtumwa.

Mbowe ni binadamu hana dhamana, kuna watu kama Tambwe Hizza na Kaburu waliwadanganya watu kama wewe, wengine wakawa hawasemi wala kuzikana kwa ajili ya siasa. walipooona maslahi yao yako safi wamekwenda CCM bila kutizama athari kubwa walioicha.

wewe unajifanya Mwandishi who knows inawezekana ukaja Bongo ukapata ajira gazeti la Mwananchi lakini kujiweka kuwa wewe ni mtu wa Mbowe tu utafikiri unapumuliwa mgongoni haifai.usimwamini binadamu mwenzako kupita kiasi
.

Unajua watu walifikiri watu CHADEMA hawaijui, lakini wasubiri tu wakati muafaka utafika, KAMA WATAKUMBUKA NENO NILILOKUWA NATUMIA MARA KWA MARA LIMELIGHT, LEO WAPO WAO KWENYE LIMELIGHT NA WAKATI UKIFIKA "SISI" TUTAKUWA KWENYE LIMELIGHT !..........nimecheka mengi sana mkuu uliyosema !
 
Kuita watu pimbi ndiko nilitaka uende na sasa endelea na explosion wakati bosi wako akitafuta pa kwenda na huo uraia na elimu zake fake!

Rostam hana elimu fake. tafuta jingine.muulize Kitila mkumbo au omba debate kati ya MBOWE VS Rostam au Mkumbo vs Roastam.

kijana ni oxford university. wenzako wanajua kuwekeza kwenye elimu. wewe umeenda marekani unarudi huna PESA wala Elimu mwenzako Roastam ana vyote.

peleka bakuli lako kijana atakusaidia.

unajua huwa nafurahi sana kuona mwanakijiji unapotokea msiba anajipa jukumu la kuchukua daftari la ubani, sijui kwa vile zile pesa za msibani hazina AUDITING?
 
inaonekana wewe ugomvi wako ni dhidi ya Mwanakijiji na wala sio swala la Mbowe. Haya mambo ya kupumuliwa mgongoni ni nia yako hii thread ihamishwe ili uanze kulialia hapa...

Sasa hata utukane matusi ya nguoni bado hujapata sababu ya kuanza rants zako za kulialia bila sababu kuwa inahamishwa kwa vile ni ya Mbowe wakati inaonyesha kabisa kuwa ni paranoia zako dhidi ya Mkjj anayewapa hell mafisadi day and night!

HELLOW, CAN YOU HEAR ME NOW >?.. UTAMALIZA DOLLAR BANA WEWE !

psp_phone_1.jpg
 
BASI POA TUSAHAU YOTE NILIYOSEMA KUHUSU MBOWE, NA HII NDIO SIMU YANGU
phone.jpg


CALL ME NOW BABY !opps, lol ! si unaziona hizo namba hapa wee piga bana ! chungulia kwa makini utaziona tu bana, kama huzioni basi WALAUMU RICHMOND WAWASHE UMEME !

Thanks GOD hapa umeme bado uko maana huko bongo kuna mgao unaanza so nimepata namba!......lol
 
Unajua watu walifikiri watu CHADEMA hawaijui, lakini wasubiri tu wakati muafaka utafika, KAMA WATAKUMBUKA NENO NILILOKUWA NATUMIA MARA KWA MARA LIMELIGHT, LEO WAPO WAO KWENYE LIMELIGHT NA WAKATI UKIFIKA "SISI" TUTAKUWA KWENYE LIMELIGHT !..........nimecheka mengi sana mkuu uliyosema !

Kada inaonekana una tafsiri nyingi sana za limelight... of all things hii ndiyo all sisiemu can bring?!
 
Rostam hana elimu fake. tafuta jingine.muulize Kitila mkumbo au omba debate kati ya MBOWE VS Rostam au Mkumbo vs Roastam.

kijana ni oxford university. wenzako wanajua kuwekeza kwenye elimu. wewe umeenda marekani unarudi huna PESA wala Elimu mwenzako Roastam ana vyote.

peleka bakuli lako kijana atakusaidia.

unajua huwa nafurahi sana kuona mwanakijiji unapotokea msiba anajipa jukumu la kuchukua daftari la ubani, sijui kwa vile zile pesa za msibani hazina AUDITING?

Hawajui lolote hawa mkuu, kazi yao kudandia treni kwa mbele ! treni lenyewe bovu !

old-train_1_lg.gif
 
Rostam hana elimu fake. tafuta jingine.muulize Kitila mkumbo au omba debate kati ya MBOWE VS Rostam au Mkumbo vs Roastam.

kijana ni oxford university. wenzako wanajua kuwekeza kwenye elimu. wewe umeenda marekani unarudi huna PESA wala Elimu mwenzako Roastam ana vyote.

peleka bakuli lako kijana atakusaidia.

Inaonekana unamjua sana Rostam kuliko report za bunge na yeye mwenyewe alichoamua kuonyesha... by the way usijikombe sana kwa Kitila Mkumbo maana ameokoka huyo na ni mume wa mke mmoja tu!

unajua huwa nafurahi sana kuona mwanakijiji unapotokea msiba anajipa jukumu la kuchukua daftari la ubani, sijui kwa vile zile pesa za msibani hazina AUDITING?

hicho kigari cha Rostam Azizi ulichonunuliwa mbona kitakutokea puani karibuni wananchi wakianza kudai pesa zao alizokwibwa huyu mwizi?!
 
inaonekana wewe ugomvi wako ni dhidi ya Mwanakijiji na wala sio swala la Mbowe. Haya mambo ya kupumuliwa mgongoni ni nia yako hii thread ihamishwe ili uanze kulialia hapa...

Sasa hata utukane matusi ya nguoni bado hujapata sababu ya kuanza rants zako za kulialia bila sababu kuwa inahamishwa kwa vile ni ya Mbowe wakati inaonyesha kabisa kuwa ni paranoia zako dhidi ya Mkjj anayewapa hell mafisadi day and night!

KUPUMULIWA MGONGONI NI LUGHA BWANA MWANAKJJ KUWA MTU USIMUAMINI KIASI CHA KUPITA, WENGI WAMELIZWA KWA KUWAAMINI WATU KWA KUPITA KIASI. SAMAHANI KAMA HUKUELEWA KISWAHILI NI LUGHA YENYE MAFUMBU MENGI,kuna mengine MBISHI kama shipa si matusi ni maneno tuu.

kama nina ugomvi na Mwanakijiji vipi wewe unamjibia? amekutuma au anatumia jina lako? yeye yupo hapa kama kaguswa atajibu.
 
Back
Top Bottom