Mbowe ahusishwa na UFISADI wa kuimaliza NSSF

Mbowe ahusishwa na UFISADI wa kuimaliza NSSF

Au ndo Maana anachimba Mkwara mzito ili waogope Kumdai?

Only a fool,if not drunk,could come up with such an assumption.Anachimba mkwara kwa nani ali asidaiwe?Hata kwa akili ya kilevi ungeweza kufahamu kuwa kama mdaiwa anachimba mkwara basi atakuwa anaibua hasira za mdai kuhakikisha deni linalipwa haraka pengine hata kabla ya muda uliokubaliwa.Hivi huko mtaani unapokutana na mtu anayekudai unakimbilia kumchimbia mkwara au kumwonyesha heshima ya hali ya juu ili asikumbushie deni?
 
Si ungeuliza hapo barazani? Au wambea wako waliondoka ghafla ulivyotokea.

Sasa kama ameshindwa kulipa mbona huyo anayemdai asichukue hatua dhidi yake? Au mnamuogopa?

Na zaidi, ilikuwaje mpaka aliyetoa mkopo akubali kuchukua dhamana ambayo haitoshi kulipa deni na riba? Tunashukuru kwa taarifa hii kwa sababu uozo na uzembe kama huo ndio umetufikisha hapa.

Kitendo cha mtu kutoa hela halafu anashindwa kuzidai na pia anachukua dhamana ambayo haitoshelezi hakivumiliki. Lazima ashughulikiwe mara moja.

Hakuna mchezo aliocheza Mh. Mbowe. Ungekuwepo mngemchafua na kumuaibisha. Zimebaki story za barazani!

Uchakachuaji wa Taarifa. Tunachotaka kujua ni kweli au la?
 
Kwanza hakuna mtu anaitwa Mbowe Jr. Mwenyekiti wa Chadema ni Freeman Mbowe na si Mbowe Jr.

Samahani sana kama jina Mbowe Jr. limezuwa mtafaruk, nilikuwa nna maanisha kama ulivyoniweka sawa, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe. Sawa?
 
Kama waliokwambia habari hizo hawakukupa jawabu unategemea nini kutoka hapa?



Usipojuwa wewe au kukataa kwako hakubadilishi suwala. Kama una habari yoyote ni kutueleza na kama umekasirika tema moto lakini swali lisipojibiwa kutakuwa na shaka> Ni ushauri tu.
 
- Kama amekopa ni ishus za benki aliyokopa, sasa huku kwenye siasa yamekujaje? au?

FMeS!

Kumbuka huyo ni public figure, na ni dhahiri anafaa awe mfano wa kuigwa, sasa kama kweli ka deni ka biashara kanamshinda kulipa haka ka nchi si atakaweka rehani pindi atapoupata u Rais (wishful thinking).
 
Why not ask yourself?Na kama tayari umesha-conclude kuwa ulichoambiwa ni ukweli,what's your point in asking the question in the first place?

I think it is the right place isn't where great thinkers like you are, am I not right?
 
Nimesikia kibarazani kuwa Mbowe Jr., Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania, alikopa fedha nyingi huko akiba ya uzeeni na sasa kashindwa kuzilipa na mali alizoweka dhamana hazitoshi kulipa deni hilo na riba yake? Naomba wajuzi mtujuze, ni kweli hii?

Au wanamzulia? au kuna ka-mchezo alicheza?


kudaiwa ni ujanja bw mdogo, nani mjanja asie daiwa??? wenye mawe wote wanadaiwa kwa taarifa yako kitendo cha ww kushangaa mtu kudaiwa inaonyesha ni jinsi gani ulivo f.a.l.a.....
 
Kumbuka huyo ni public figure, na ni dhahiri anafaa awe mfano wa kuigwa, sasa kama kweli ka deni ka biashara kanamshinda kulipa haka ka nchi si atakaweka rehani pindi atapoupata u Rais (wishful thinking).
Sasa kama una ushahidi kuwa Mbowe ana deni la kibiashara aliloshindwa kulipa uweke hapa. Au bora zaidi upeleke kwenye magazeti ya Rostum. Nina hakika watafurahi kuiweka habari hiyo front page. Siyo kuingia JF na kufanya character assassination by innuendo.
 
Unaishi nchi gani?Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema 2010 alikuwa Mbowe?Katika kutapatapa kwenu mjigeuza Sheikh Yahya kutabiri kuwa Mbowe atagombea urais mwaka 2015.

Na kinachowawasha ni kipi hasa?The alleged creditors hawajasema lolote,na mnafahamu fika kuwa hiyo ingekuwa kete turufu kwa watu kama Makamba na Tambwe Hiza...nyie vimbelembele mnakuja na crazy assessments zenu!

Hivi kuuliza isha kuwa kimbelembele? Si ujibu kama kweli au si kweli? Ili na sisi tupate kuuliza maswali ya nyongeza!
 
Mmezoea viongozi ambao wanaogopa kusema ukweli na kutoa majibu. Unachotaka kujua ni;

Mbowe Hotel Limite (sio Freeman Mbowe) ilikopa kutoka NSSF shilingi milioni 15 mwaka 1990. Dhamana ya mkopo huo ilikuwa ni nyumba.

Kutokana na kupanda kwa bei za vifaa vya ujenzi na ukiritimba wa kununua fedha za kigeni kipindi hicho Mbowe Hotel Ltd ilishindwa kufanikisha mradi iliyoombea mkopo. NSSF walikataa kuisaidia Mbowe Hotel Limited kwa sababu wanazozijua wao badala yake wakaenda mahakamani na kupata hukumu ya upande mmoja ili walipwe. Katika kumkomoa Mh. Freeman Mbowe, Mbunge walidiriki hata kupindisha sheria ili afungwe huku wakijua kabisa si yeye aliyekopa (muulize mwanasheria wenu wa chama kuhusu tofauti ya kampuni na mtu binafsi). Hilo halikufanikiwa.

Kwa kuamini kwamba watamkomoa Mh. Mbowe deni hilo likaachwa likue ili eti wapate hela nyingi au lishindwe kulipika liwe mtaji wa kisiasa.

Mbowe Hotel Limited mpaka sasa imelipa sh. Mil 80 ikiwa ni deni na riba lakini bado NSSF wanataka walipwe zaidi.

Kilichopo ni pande zote mbili kukubaliana sheria inasema nini na nini kifanyike. Hili suala liko wazi na hakuna cha kuficha. Mh. Freeman Mbowe hana anachoficha na hakuna mnachoita dhuluma, ufisadi wala wizi.

Karibu.
 
Sasa kama una ushahidi kuwa Mbowe ana deni la kibiashara aliloshindwa kulipa uweke hapa. Au bora zaidi upeleke kwenye magazeti ya Rostum. Nina hakika watafurahi kuiweka habari hiyo front page. Siyo kuingia JF na kufanya character assassination by innuendo.

Nimeuliza swali, jibu swali!
 
Acheni akili za mazezeta zijulikane na tutambuane yupi zezeta na yupi mzima. Hivi ktk dunia ya sasa kukopa ni jambo geni? Au nyie ni ma-risk averse? Hata kama mbowe amekopa we inakuhusu nini? Unafikiri ye ni fisadi hadi asikope coz mafisadi wakihitaji pesa wanachota serikalini na jk anawachekea na kusema akiwashtaki nchi itatisikika coz wana nguvu. Duu hv kuna mtu ana nguvu kumzidi rais? Me nadhani yeye ndio akishikwa nchi itatikisika. Mbowe we endelea kukopa na uendeshe mambo yako km kawaida achana na mazezeta hawa wafe na umaskin wao kisa kuogopa kukopa.
 
Tuache majungu jamani, kwa nini hizi kashfa zinakuja katika kipindi hiki ambacho CDM ikiwa chini ya kamanda Mbowe? Nadhani hicho kibaraza kilikuwa ni cha kina Tambwe Hiza na Makamba.
Hizo ni propaganda ili mjue kuwa mbowe naye siyo msafi labda alikopa fedha ili ahonge uchaguzi uliopita. Na kwa taarifa yenu kama ingelikuwa ni kweli CCM wangehakikisha banki hiyo inamdhalilishaa Mbowe ili nae aonekane hafai kama ambavyo anaimba wenzake hawafai majukwaani!
Habari hii naiweka kama jungu tu.
 
Mmezoea viongozi ambao wanaogopa kusema ukweli na kutoa majibu. Unachotaka kujua ni;

Mbowe Hotel Limite (sio Freeman Mbowe) ilikopa kutoka NSSF shilingi milioni 15 mwaka 1990. Dhamana ya mkopo huo ilikuwa ni nyumba.

Kutokana na kupanda kwa bei za vifaa vya ujenzi na ukiritimba wa kununua fedha za kigeni kipindi hicho Mbowe Hotel Ltd ilishindwa kufanikisha mradi iliyoombea mkopo. NSSF walikataa kuisaidia Mbowe Hotel Limited kwa sababu wanazozijua wao badala yake wakaenda mahakamani na kupata hukumu ya upande mmoja ili walipwe. Katika kumkomoa Mh. Freeman Mbowe, Mbunge walidiriki hata kupindisha sheria ili afungwe huku wakijua kabisa si yeye aliyekopa (muulize mwanasheria wenu wa chama kuhusu tofauti ya kampuni na mtu binafsi). Hilo halikufanikiwa.

Kwa kuamini kwamba watamkomoa Mh. Mbowe deni hilo likaachwa likue ili eti wapate hela nyingi au lishindwe kulipika liwe mtaji wa kisiasa.

Mbowe Hotel Limited mpaka sasa imelipa sh. Mil 80 ikiwa ni deni na riba lakini bado NSSF wanataka walipwe zaidi.

Kilichopo ni pande zote mbili kukubaliana sheria inasema nini na nini kifanyike. Hili suala liko wazi na hakuna cha kuficha. Mh. Freeman Mbowe hana anachoficha na hakuna mnachoita dhuluma, ufisadi wala wizi.

Karibu.

Kumbe si kweli!

Sasa hiyo Mbowe Hotels Limited ina milikiwa na nani? Au wanatumia tu jina la Mbowe kumpakazia?

Vijiweni kuna mambo, wao tumebishana sana, wanasema Mbowe mimi nawaambia si Mbowe CCM wanampakazia tu, kwa kuwa yuko juu, wanamuogopa.

Au yeye ndie mmiliki wa hiyo Mbowe Hotels Limited?
 
hii topic haina hata maana zaidi ya kuonyesha ujuha kalulu wa watanzania, mchango wangu ni kutoa tu kumbukumbu kwamba mbowe ni mfanyabiashara na kukopa ndio sifa ya biashara hakuna mtu labda fisadi tu anayeweza kufanya biashara kubwa na za maana kwa hela yake. Hivi ndivyo ilivyo dunia nzima na ni positive kwake kama anaaminiwa na wakopeshaji kumbuka serikali ya kikwete imenyimwa fedha na wakopeshaji wangi tu wakiwemo NMB waliokataa ku trade nao kwenye T.bills kwa kuwa wamepoteza sifa ya kukopesheka. Natumaini umeliona hilo huyu hakopeshwi kama personal loans zetu za milioni kumi kumi za kununulia magari ama kuezekea nyumba zetu kinachokopeshwa ni biashara yake kama legal entity inayoweza kukopa na kufanya biashara kama mtu yoyote yule.
 
Back
Top Bottom