Mbowe ajiuzulu nafasi ya Uenyekiti. Wana CHADEMA wengi hawana imani naye

Mbowe ajiuzulu nafasi ya Uenyekiti. Wana CHADEMA wengi hawana imani naye

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Mi najua wakati wa Magufuli alipitia wakati mgumu sana. Na Mama akaamua kwanza kumuonesha action kidogo. Jamaa akatepeta. Ni binadamu. Umri umeenda na ameshachoka. So akatepeta.

Wananchi wameona, wanaona. Mbowe wa jana siyo Mbowe wa leo ....ona, ona, ni kweli alipata maumivu. Wananchi, wana CHADEMA wengi walala hoi; wanaona jamaa ameshaungana na Zitto kwenye praise and worship.

Mbowe sasa amebaki kutupia mawe kivuli cha shetani, halafu anakaa pembeni na shetani anampa pole. Kisha anarudi tena nje anatupia mawe kivuli cha shetwain.

Mbowe angempisha Tundu Lissu kwenye Uenyekiti yeye abaki kuwa mshauri tu apumzike ale maisha. Ame toil sana sasa ni wakati wa ku enjoy life.
 
Mi najua wakati wa Magufuli alipitia wakati mgumu sana. Na mama akaamua kwanza kumuonesha action kidogo. Jamaa akatepeta. Ni binadamu. Umri umeenda na ameshachoka. So akatepeta

Wananchi wameona...wanaona. mbowe wa jana siyo mbowe wa leo .....ona , ona. ni kweli alipata maumivu.


Wananchi, wanachadema wengi walala hoi wanaona jamaa ameshaungana na Zitto. Kwenye praise and worship. Mbowe sasa amebaki kutupia mawe kivuli cha shetani... Halafu anakaa pembeni na shetani anampa pole..

Kisha anarudi tena nje anatupia mawe kivuli cha shetwain.... Mbowe angempisha Tundu Lissu kwenye Uenyekiti yeye abaki kuwa mshauri tu apumzike ale maisha. Ame toil sana sasa ni wakati wa ku enjoy life
Huna nia nzuri na nchi yetu.
 
Mi najua wakati wa Magufuli alipitia wakati mgumu sana. Na mama akaamua kwanza kumuonesha action kidogo. Jamaa akatepeta. Ni binadamu. Umri umeenda na ameshachoka. So akatepeta

Wananchi wameona...wanaona. mbowe wa jana siyo mbowe wa leo .....ona , ona. ni kweli alipata maumivu.


Wananchi, wanachadema wengi walala hoi wanaona jamaa ameshaungana na Zitto. Kwenye praise and worship. Mbowe sasa amebaki kutupia mawe kivuli cha shetani... Halafu anakaa pembeni na shetani anampa pole..

Kisha anarudi tena nje anatupia mawe kivuli cha shetwain.... Mbowe angempisha Tundu Lissu kwenye Uenyekiti yeye abaki kuwa mshauri tu apumzike ale maisha. Ame toil sana sasa ni wakati wa ku enjoy life

Musoma wameipa CHADEMA heshima yake. Hongereni Wana Musoma.
 
Hela itarudije? Acha ujinga, bora chama kife
 
Mi najua wakati wa Magufuli alipitia wakati mgumu sana. Na mama akaamua kwanza kumuonesha action kidogo. Jamaa akatepeta. Ni binadamu. Umri umeenda na ameshachoka. So akatepeta

Wananchi wameona...wanaona. mbowe wa jana siyo mbowe wa leo .....ona , ona. ni kweli alipata maumivu.


Wananchi, wanachadema wengi walala hoi wanaona jamaa ameshaungana na Zitto. Kwenye praise and worship. Mbowe sasa amebaki kutupia mawe kivuli cha shetani... Halafu anakaa pembeni na shetani anampa pole..

Kisha anarudi tena nje anatupia mawe kivuli cha shetwain.... Mbowe angempisha Tundu Lissu kwenye Uenyekiti yeye abaki kuwa mshauri tu apumzike ale maisha. Ame toil sana sasa ni wakati wa ku enjoy life
Wasingekua na imani nae nyomi ya mwanza isingekuwepo
 
Mi najua wakati wa Magufuli alipitia wakati mgumu sana. Na mama akaamua kwanza kumuonesha action kidogo. Jamaa akatepeta. Ni binadamu. Umri umeenda na ameshachoka. So akatepeta

Wananchi wameona...wanaona. mbowe wa jana siyo mbowe wa leo .....ona , ona. ni kweli alipata maumivu.


Wananchi, wanachadema wengi walala hoi wanaona jamaa ameshaungana na Zitto. Kwenye praise and worship. Mbowe sasa amebaki kutupia mawe kivuli cha shetani... Halafu anakaa pembeni na shetani anampa pole..

Kisha anarudi tena nje anatupia mawe kivuli cha shetwain.... Mbowe angempisha Tundu Lissu kwenye Uenyekiti yeye abaki kuwa mshauri tu apumzike ale maisha. Ame toil sana sasa ni wakati wa ku enjoy life
Asante mwenyekiti wetu kwa kukiendesha kikao na kufikisha maoni yetu, sasa mbona posho za kikao ulizo tuahidi unatuzungusha hautaki kutulipa? Wewe ni tapeli wa kisiasa.
 
Mtoa hoja umejipa usemaji wa CDM na pia usemaji wa wananchi!!!,nipe hapa kautafiti kako kuwa wananchi hawana imani na Chairman wa CDM?
 
Asante mwenyekiti wetu kwa kukiendesha kikao na kufikisha maoni yetu, sasa mbona posho za kikao ulizo tuahidi unatuzungusha hautaki kutulipa? Wewe ni tapeli wa kisiasa.
Mnapenda sana pesa. Mtaolewa mara nyingi nyingi.
 
Mbona wewe ulivuta ulizopewa na mabwana zako uendeshe kampeni dhidi ya Mbowe ambaye haumfikii kimaisha.
Ooooh...kumbe hapa issue ni Mbowe? 😁Umeumia sababu nimemsema Mbowe? Kama unampenda sana hutaki asemwe uwe unalala naye tu ndani asitoke nje kuhutubia...
 
Mi najua wakati wa Magufuli alipitia wakati mgumu sana. Na mama akaamua kwanza kumuonesha action kidogo. Jamaa akatepeta. Ni binadamu. Umri umeenda na ameshachoka. So akatepeta

Wananchi wameona...wanaona. mbowe wa jana siyo mbowe wa leo .....ona , ona. ni kweli alipata maumivu.


Wananchi, wanachadema wengi walala hoi wanaona jamaa ameshaungana na Zitto. Kwenye praise and worship. Mbowe sasa amebaki kutupia mawe kivuli cha shetani... Halafu anakaa pembeni na shetani anampa pole..

Kisha anarudi tena nje anatupia mawe kivuli cha shetwain.... Mbowe angempisha Tundu Lissu kwenye Uenyekiti yeye abaki kuwa mshauri tu apumzike ale maisha. Ame toil sana sasa ni wakati wa ku enjoy life
Naunga mkono hoja
P
 
Ooooh...kumbe hapa issue ni Mbowe? 😁Umeumia sababu nimemsema Mbowe? Kama unampenda sana hutaki asemwe uwe unalala naye tu ndani asitoke nje kuhutubia...
Uchizi unakusumbua, hauna uwezo wa kumuondoa Mbowe kwani wewe ni kinyangarakasha tu, tafuta jambo lenye tija kwako.
 
Uchizi unakusumbua, hauna uwezo wa kumuondoa Mbowe kwani wewe ni kinyangarakasha tu, tafuta jambo lenye tija kwako.
🤣 Utatokwa na povu sehemu zote za wazi za mwili....hata hujui kujenga hoja
 
Back
Top Bottom