Mbowe akataliwa Dar es Salaam! CHADEMA imekufa rasmi....

Mbowe akataliwa Dar es Salaam! CHADEMA imekufa rasmi....

Mbowe anazidi kunenepa komandoo wake anazidi kupungua/ kukonda. Kwa mujibu wa picha.
 
Leo kulikuwa na tukio la Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao Mbowe. Lilikuwa ni tukio linaluhusu zaidi ushiriki wa watanzania.

Cha ajabu na masikitiko makubwa, hakukuwa na muitikio wa wananchi. Watu hawana habari na Mbowe kama hakijatokea kitu.

Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.

Yaani mtu hai akatubu kwa mtu mfu???
 
Leo kulikuwa na tukio la Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao Mbowe. Lilikuwa ni tukio linaluhusu zaidi ushiriki wa watanzania.

Cha ajabu na masikitiko makubwa, hakukuwa na muitikio wa wananchi. Watu hawana habari na Mbowe kama hakijatokea kitu.

Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.

View attachment 2181905

View attachment 2181907
Kimsingi mwandishi wa huu uzi ni maiti inayotembea.
 
Mwanasiasa yeyote - wa upinzani au CCM - atakayeenda kinyume na Magufuli na Umagufuli hawezi kupata uungwaji mkono wa wananchi. Sad but true truth.
Inabidi aanzishe kundi la watu wasiojulikana ili aendane na umagufuli.
 
mwenyekiti mwanae huyo wann au kulikua na shughuli yakifamilia au ndo join the chain maeneo ya mikocheni

mwanae kushoto huyo wann tena kwenyekazi za chama

Mkuu hushangai Mwinyi na Ridhiwani unamshangaa Mbowe na mtoto wake?!
 
Mbowe anazidi kunenepa komandoo wake anazidi kupungua/ kukonda. Kwa mujibu wa picha.

Mbowe ni mzee hivyo ni sahihi kunenepa. Kijana tena komandoo kunenepa ni fedheha.
 
Leo kulikuwa na tukio la Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao Mbowe. Lilikuwa ni tukio linaluhusu zaidi ushiriki wa watanzania.

Cha ajabu na masikitiko makubwa, hakukuwa na muitikio wa wananchi. Watu hawana habari na Mbowe kama hakijatokea kitu.

Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.

View attachment 2181905

View attachment 2181907
Hizi propaganda zako,pereka kwa Putin,kama watu walijazana mahakamani wakati yupo jera,sembuse sasa hv yupo nje?
 
Leo kulikuwa na tukio la Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao Mbowe. Lilikuwa ni tukio linaluhusu zaidi ushiriki wa watanzania.

Cha ajabu na masikitiko makubwa, hakukuwa na muitikio wa wananchi. Watu hawana habari na Mbowe kama hakijatokea kitu.

Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.

View attachment 2181905

View attachment 2181907
Mbowe haamini misukule kana nyinyi mbavyoamini. Nakushauri kakojie kwenye hilo kaburi utakuwa umejijengea heshima
 
Leo kulikuwa na tukio la Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao Mbowe. Lilikuwa ni tukio linaluhusu zaidi ushiriki wa watanzania.

Cha ajabu na masikitiko makubwa, hakukuwa na muitikio wa wananchi. Watu hawana habari na Mbowe kama hakijatokea kitu.

Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.

View attachment 2181905

View attachment 2181907
Wakuu naanza kuamini pale watu wakianza kukutengeneza mchongo(propaganda) za uhasama na kejeli au..

Propaganda za Yule bwana wa matusi matusi na kejeli, unaweza sahau mustakhabali wa Nchi na kujiingiza kwenye uhasam bila kujua hatma yake.

Usisahau upinzani ulizimwa, na hivyo kupeleka wananchi kuanza kusahau pia.
Mh. Mbowe atarudi tu ulingoni, vyama vya siasa vitarudi ulingoni na ushiriki wa watu utarudi ulingoni. Nafikiri ni mapema sana tena sana kuona mkusanyiko wa watu ndio kiashiria cha tamati ya CHADEMA.

Chama cha CHADEMA bado kina nguvu hata kunyoa 'nyele' za CCM kama sio kufwagilia mbali nywele zao.
Ameshatubu.
 
Leo kulikuwa na tukio la Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao Mbowe. Lilikuwa ni tukio linaluhusu zaidi ushiriki wa watanzania.

Cha ajabu na masikitiko makubwa, hakukuwa na muitikio wa wananchi. Watu hawana habari na Mbowe kama hakijatokea kitu.

Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.

View attachment 2181905

View attachment 2181907
aliyesema chadema itakufa kabla ya 2020 kafa yeye na kasahulika nyangau wewe
 
Back
Top Bottom