Dialysis
JF-Expert Member
- Sep 22, 2021
- 325
- 677
Ule mzoga wa chattleMwanasiasa yeyote - wa upinzani au CCM - atakayeenda kinyume na Magufuli na Umagufuli hawezi kupata uungwaji mkono wa wananchi. Sad but true truth.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ule mzoga wa chattleMwanasiasa yeyote - wa upinzani au CCM - atakayeenda kinyume na Magufuli na Umagufuli hawezi kupata uungwaji mkono wa wananchi. Sad but true truth.
Leo kulikuwa na tukio la Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao Mbowe. Lilikuwa ni tukio linaluhusu zaidi ushiriki wa watanzania.
Cha ajabu na masikitiko makubwa, hakukuwa na muitikio wa wananchi. Watu hawana habari na Mbowe kama hakijatokea kitu.
Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.
Ajabu sanaYaani mtu hai akatubu kwa mtu mfu???
Kimsingi mwandishi wa huu uzi ni maiti inayotembea.Leo kulikuwa na tukio la Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao Mbowe. Lilikuwa ni tukio linaluhusu zaidi ushiriki wa watanzania.
Cha ajabu na masikitiko makubwa, hakukuwa na muitikio wa wananchi. Watu hawana habari na Mbowe kama hakijatokea kitu.
Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.
View attachment 2181905
View attachment 2181907
Inabidi aanzishe kundi la watu wasiojulikana ili aendane na umagufuli.Mwanasiasa yeyote - wa upinzani au CCM - atakayeenda kinyume na Magufuli na Umagufuli hawezi kupata uungwaji mkono wa wananchi. Sad but true truth.
mwenyekiti mwanae huyo wann au kulikua na shughuli yakifamilia au ndo join the chain maeneo ya mikocheni
mwanae kushoto huyo wann tena kwenyekazi za chama
Mbowe anazidi kunenepa komandoo wake anazidi kupungua/ kukonda. Kwa mujibu wa picha.
Hizi propaganda zako,pereka kwa Putin,kama watu walijazana mahakamani wakati yupo jera,sembuse sasa hv yupo nje?Leo kulikuwa na tukio la Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao Mbowe. Lilikuwa ni tukio linaluhusu zaidi ushiriki wa watanzania.
Cha ajabu na masikitiko makubwa, hakukuwa na muitikio wa wananchi. Watu hawana habari na Mbowe kama hakijatokea kitu.
Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.
View attachment 2181905
View attachment 2181907
Mbowe ni mzee hivyo ni sahihi kunenepa. Kijana tena komandoo kunenepa ni fedheha.
Mbulukengeza!!Chama kimekufa Meku, Mbowe anavuna aibu ya karne [emoji23][emoji23]
Hamna utapia mlo hapa mjini, na kunenepa ni dalili ya uzembe.Nilimaanisha utapia mlo.
Mbowe haamini misukule kana nyinyi mbavyoamini. Nakushauri kakojie kwenye hilo kaburi utakuwa umejijengea heshimaLeo kulikuwa na tukio la Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao Mbowe. Lilikuwa ni tukio linaluhusu zaidi ushiriki wa watanzania.
Cha ajabu na masikitiko makubwa, hakukuwa na muitikio wa wananchi. Watu hawana habari na Mbowe kama hakijatokea kitu.
Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.
View attachment 2181905
View attachment 2181907
Wakuu naanza kuamini pale watu wakianza kukutengeneza mchongo(propaganda) za uhasama na kejeli au..Leo kulikuwa na tukio la Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao Mbowe. Lilikuwa ni tukio linaluhusu zaidi ushiriki wa watanzania.
Cha ajabu na masikitiko makubwa, hakukuwa na muitikio wa wananchi. Watu hawana habari na Mbowe kama hakijatokea kitu.
Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.
View attachment 2181905
View attachment 2181907
Ata pambuzika tu.😁PUMBAVU
huyo Magufuli tushamsahau mmebaki mnashabikia mfuHiyo ndio hali halisi ya Mbowe na Chadema mtaani...aya endeleeni kujifurahisha mtandaoni.
aliyesema chadema itakufa kabla ya 2020 kafa yeye na kasahulika nyangau weweLeo kulikuwa na tukio la Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao Mbowe. Lilikuwa ni tukio linaluhusu zaidi ushiriki wa watanzania.
Cha ajabu na masikitiko makubwa, hakukuwa na muitikio wa wananchi. Watu hawana habari na Mbowe kama hakijatokea kitu.
Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.
View attachment 2181905
View attachment 2181907
sama,Saluti kwa ukonga imemstaafisha mbowe siasa rasmi