Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Well said Mkuu!Huu mchezo wa mtalaamu wa siasa Mbowe nimuelewa sana kwanza ame-expose wapambe nuksi kwake na kwa Tundu Lissu lakini pia kajua kuteka attantion ya Taifa kwenye uchaguzi wa CHADEMA.
Ni dhahiri shairi mpango ulikuwa akae kando aingie Lissu ila kwa namna gani??unadhani Lissu angegombea na Odero ingekuwa story kubwa nchi hii au kuna ambaye angejisumbua kukesha anafuatilia uchaguzi?
Ndio maana alikuwa akitoa hotuba anasema kwa kujiamiin CHADEMA itakuwa imara zaidi ya Jana na tutavuka salama.
Ila machawa wa Mbowe MMM, Ntobi, Boniyai na Yeriko wamebaki uchi.
Ni maneno ya kizushi,wamshukiru Samia ni muungwana ila angekuwa yule Jamaa mwingine saizi Kibaraka angekuwa amekimbia Nchi.
Na mvua zimeanza kunyesha bamia litakubali sanaaHahahaaa. Jasusi uchwara amepigwa na kitu kizito. Sasa akaendelee kulima bamia kule Mbutu na kuabudu mizimu yake
Hangaya atupatie Tanganyika yetu, baba wa Tanganyika LissuHahahaaa. Jasusi uchwara amepigwa na kitu kizito. Sasa akaendelee kulima bamia kule Mbutu na kuabudu mizimu yake
Jasusi mbobevu mzee wa kuuza vijarida haamini macho yake. 😀😀😀
Afadhali akili zenu zinaanza kuwarudia japo kwa njia hii ya kinafiki...Huu mchezo wa mtalaamu wa siasa Mbowe nimuelewa sana kwanza ame-expose wapambe nuksi kwake na kwa Tundu Lissu lakini pia kajua kuteka attantion ya Taifa kwenye uchaguzi wa CHADEMA.
Ni dhahiri shairi mpango ulikuwa akae kando aingie Lissu ila kwa namna gani??unadhani Lissu angegombea na Odero ingekuwa story kubwa nchi hii au kuna ambaye angejisumbua kukesha anafuatilia uchaguzi?
Ndio maana alikuwa akitoa hotuba anasema kwa kujiamiin CHADEMA itakuwa imara zaidi ya Jana na tutavuka salama.
Ila machawa wa Mbowe MMM, Ntobi, Boniyai na Yeriko wamebaki uchi.
Mipango ilisukwa ikakaa sawa ili chama kipate mileages! Usiwalalumu hata wale kina Ntobi na Yericko. Wote ni sehemu ya mipango. Sema Wenje ndo sijamuelewa kabisa!Huu mchezo wa mtalaamu wa siasa Mbowe nimuelewa sana kwanza ame-expose wapambe nuksi kwake na kwa Tundu Lissu lakini pia kajua kuteka attantion ya Taifa kwenye uchaguzi wa CHADEMA.
Ni dhahiri shairi mpango ulikuwa akae kando aingie Lissu ila kwa namna gani?Unadhani Lissu angegombea na Odero ingekuwa story kubwa nchi hii au kuna ambaye angejisumbua kukesha anafuatilia uchaguzi?
Ndio maana alikuwa akitoa hotuba anasema kwa kujiamini CHADEMA itakuwa imara zaidi ya Jana na tutavuka salama.
Ila machawa wa Mbowe MMM, Ntobi, Boniyai na Yeriko wamebaki uchi.
View attachment 3209699
Ila Boniyai sio chawa mkuu. Amejikuta tu yupo upande ule.Huu mchezo wa mtalaamu wa siasa Mbowe nimuelewa sana kwanza ame-expose wapambe nuksi kwake na kwa Tundu Lissu lakini pia kajua kuteka attantion ya Taifa kwenye uchaguzi wa CHADEMA.
Ni dhahiri shairi mpango ulikuwa akae kando aingie Lissu ila kwa namna gani?Unadhani Lissu angegombea na Odero ingekuwa story kubwa nchi hii au kuna ambaye angejisumbua kukesha anafuatilia uchaguzi?
Ndio maana alikuwa akitoa hotuba anasema kwa kujiamini CHADEMA itakuwa imara zaidi ya Jana na tutavuka salama.
Ila machawa wa Mbowe MMM, Ntobi, Boniyai na Yeriko wamebaki uchi.
View attachment 3209699
Tasomewa albadili paleee, dah hangaya kapigwa na DjHakika mbowe ni genius. Kapiga mpunga wa nchimbi na.hangaya halafu did not meet.his.end of bargain.
Mkuu unajua Mbowe alimfanya Nini mwendazake? Ilikuwa kipindi kama hiki, kama hujui basi omba ujulishwe.Afadhali akili zenu zinaanza kuwarudia japo kwa njia hii ya kinafiki...
Maana yangu ni kuwa, usifikiri watu ni wajinga. Wanaelewa kila kitu....
Hii kitu haikuwa kama unavyofikiri. Huu ulikuwa ni mpambano halisi wala sio sanaa ya maigizo...
Isingekuwa Tundu Lissu kuwa na spirit ya kupambana, angegaragazwa na pesa za CCM/Samia mapema. Uovu ungeshinda...!
Freeman Mbowe alikuwa very serious na hakuwa na dhana hii unayoijenga hapa...
Ilikuwa ni rahisi tu kuelewa motive ya Freeman Mbowe kupitia mwenendo na kauli zake yeye binafsi pamoja na za wapambe wake huku akipata back up kubwa toka kwa CCM...
HAKUWA ANAMTAKA TUNDU LISSU. TENA ANGESHINDA ALIKUWA ANAANZISHA MKAKATI WA KUM - FRUSTRATE ILI AONDOKE CHADEMA NA KWA KUWA TUNDU LISSU NI MTU ASIYEKUBALI KUSHINDWA KWA MIZENGWE, LINGESUKWA ZENGWE LA KUFUTWA UANACHAMA...
Kumbuka kuwa, tunajua nyuma ya Freeman Mbowe, kulikuwa na backup kubwa ya fedha haramu za Abdul na mama yake Rais Samia Suluhu Hassan na CCM...
Na ukitaja Rais Samia tu unaelewa moja kwa moja kuna uhusika wa dola: Polisi, TISS, nk
Kwa hiyo tukubali tu kuwa HAKI/NURU IMESHINDA na DHULUMA/GIZA/UOVU umeshindwa..
MUNGU WA MBINGUNI alisikia na amejibu maombi ya watu wake...
Jina la Mungu Jehovah - Yesu Kristo Bwana na mwokozi wetu na ulimwengu wote LITUKUZWE sasa na hata milele yote. AMINA🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
sasa hivi ni mwendo wa kula rushwa tu laki maamuzi yanafanyika kama inavyotakiwa iwe, ni funzo kwa watoa rushwaHakika mbowe ni genius. Kapiga mpunga wa nchimbi na.hangaya halafu did not meet.his.end of bargain.