Hapo sasa ndio penye mtihaniMbowe amefanya vizuri na ila tuwaombee waliopata hiyo nafasi,wengi hawana utulivu wa kufikiri kama Mbowe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sasa ndio penye mtihaniMbowe amefanya vizuri na ila tuwaombee waliopata hiyo nafasi,wengi hawana utulivu wa kufikiri kama Mbowe
Uongo!Huu mchezo wa mtalaamu wa siasa Mbowe nimuelewa sana kwanza ame-expose wapambe nuksi kwake na kwa Tundu Lissu lakini pia kajua kuteka attantion ya Taifa kwenye uchaguzi wa CHADEMA.
Ni dhahiri shairi mpango ulikuwa akae kando aingie Lissu ila kwa namna gani?Unadhani Lissu angegombea na Odero ingekuwa story kubwa nchi hii au kuna ambaye angejisumbua kukesha anafuatilia uchaguzi?
Ndio maana alikuwa akitoa hotuba anasema kwa kujiamini CHADEMA itakuwa imara zaidi ya Jana na tutavuka salama.
Ila machawa wa Mbowe MMM, Ntobi, Boniyai na Yeriko wamebaki uchi.
View attachment 3209699
Unaweza kumdhibitisha Mungu kwa ushahidi gani wewe mwanadamu...?Kumshirikisha Mungu kwa mambo husiyokuwa na ushahidi nayo ni dhambi
Akili kisoda huwezi elewaUongo!
Ukweli ni kuwa Mbowe hakuridhia kuachia kiti na alikitaka sana, hayo ya mikakati na mengineyo ni baada ya kushindwa ila nakuhakikishia hakudhani kuwa atashindwa.Huu mchezo wa mtalaamu wa siasa Mbowe nimuelewa sana kwanza ame-expose wapambe nuksi kwake na kwa Tundu Lissu lakini pia kajua kuteka attantion ya Taifa kwenye uchaguzi wa CHADEMA.
Ni dhahiri shairi mpango ulikuwa akae kando aingie Lissu ila kwa namna gani?Unadhani Lissu angegombea na Odero ingekuwa story kubwa nchi hii au kuna ambaye angejisumbua kukesha anafuatilia uchaguzi?
Ndio maana alikuwa akitoa hotuba anasema kwa kujiamini CHADEMA itakuwa imara zaidi ya Jana na tutavuka salama.
Unganisha dots bato la wenje na lema halafu mara unasikia ntobi anasema lema asionekane ukumbini ghafla lema anaonekana ukumbini kama wakala wa lissu unadhani imetokea bahati mbaya au MMM kukaa kimya bila kumtukana Lissu
Ila machawa wa Mbowe MMM, Ntobi, Boniyai na Yeriko wamebaki uchi,ingawaje waliact hivyo ili kunogesha igizo.
View attachment 3209699
Huu mchezo wa mtalaamu wa siasa Mbowe nimuelewa sana kwanza ame-expose wapambe nuksi kwake na kwa Tundu Lissu lakini pia kajua kuteka attantion ya Taifa kwenye uchaguzi wa CHADEMA.
Ni dhahiri shairi mpango ulikuwa akae kando aingie Lissu ila kwa namna gani?Unadhani Lissu angegombea na Odero ingekuwa story kubwa nchi hii au kuna ambaye angejisumbua kukesha anafuatilia uchaguzi?
Ndio maana alikuwa akitoa hotuba anasema kwa kujiamini CHADEMA itakuwa imara zaidi ya Jana na tutavuka salama.
Unganisha dots bato la wenje na lema halafu mara unasikia ntobi anasema lema asionekane ukumbini ghafla lema anaonekana ukumbini kama wakala wa lissu unadhani imetokea bahati mbaya au MMM kukaa kimya bila kumtukana Lissu
Ila machawa wa Mbowe MMM, Ntobi, Boniyai na Yeriko wamebaki uchi,ingawaje waliact hivyo ili kunogesha igizo.
View attachment 3209699
Hata hawa mnaodhani ni machawa the scenario was staged(scripted) na nia ilikuwa ni kuweka attention na kwa hilo wamefanikiwa sana kwa licha ya CCM kukusanyia celebrities wote wa TZ mkutano wao haukufuatiliwa na umma wa Watanzania.Well said Mkuu!
Ni kweli kabisa kwa mpango huu wamefanikiwa kuteka fikra na mioyo ya watu.
Hili Sasa Linafanya watanzania wengi kufatilia na kutaka kujua kila hatua ya TL kama mwenyekiti!
Imefunika story zoteeeeee za CCM
Yericko Nyerere akalime bamia!
What if it was planned pia Hawa wapambe wawepo ili kuongeza joto?
Yericko kaumizwa sana.Huu mchezo wa mtalaamu wa siasa Mbowe nimuelewa sana kwanza ame-expose wapambe nuksi kwake na kwa Tundu Lissu lakini pia kajua kuteka attantion ya Taifa kwenye uchaguzi wa CHADEMA.
Ni dhahiri shairi mpango ulikuwa akae kando aingie Lissu ila kwa namna gani?Unadhani Lissu angegombea na Odero ingekuwa story kubwa nchi hii au kuna ambaye angejisumbua kukesha anafuatilia uchaguzi?
Ndio maana alikuwa akitoa hotuba anasema kwa kujiamini CHADEMA itakuwa imara zaidi ya Jana na tutavuka salama.
Unganisha dots bato la wenje na lema halafu mara unasikia ntobi anasema lema asionekane ukumbini ghafla lema anaonekana ukumbini kama wakala wa lissu unadhani imetokea bahati mbaya au MMM kukaa kimya bila kumtukana Lissu
Ila machawa wa Mbowe MMM, Ntobi, Boniyai na Yeriko wamebaki uchi,ingawaje waliact hivyo ili kunogesha igizo.
View attachment 3209699
Yericko kapigwa za uso, wala haikuwa maigizo it was a real life phenomenon. Haiwezekani iwe maigizo halafu noti za kufa mtu zitumike. Ila ili kurudi chamani, itafanywa ilikuwa geresha kunogesha story.Huu mchezo wa mtalaamu wa siasa Mbowe nimuelewa sana kwanza ame-expose wapambe nuksi kwake na kwa Tundu Lissu lakini pia kajua kuteka attantion ya Taifa kwenye uchaguzi wa CHADEMA.
Ni dhahiri shairi mpango ulikuwa akae kando aingie Lissu ila kwa namna gani?Unadhani Lissu angegombea na Odero ingekuwa story kubwa nchi hii au kuna ambaye angejisumbua kukesha anafuatilia uchaguzi?
Ndio maana alikuwa akitoa hotuba anasema kwa kujiamini CHADEMA itakuwa imara zaidi ya Jana na tutavuka salama.
Unganisha dots bato la wenje na lema halafu mara unasikia ntobi anasema lema asionekane ukumbini ghafla lema anaonekana ukumbini kama wakala wa lissu unadhani imetokea bahati mbaya au MMM kukaa kimya bila kumtukana Lissu
Ila machawa wa Mbowe MMM, Ntobi, Boniyai na Yeriko wamebaki uchi,ingawaje waliact hivyo ili kunogesha igizo.
View attachment 3209699
Yericko kaumizwa sana.Huu mchezo wa mtalaamu wa siasa Mbowe nimuelewa sana kwanza ame-expose wapambe nuksi kwake na kwa Tundu Lissu lakini pia kajua kuteka attantion ya Taifa kwenye uchaguzi wa CHADEMA.
Ni dhahiri shairi mpango ulikuwa akae kando aingie Lissu ila kwa namna gani?Unadhani Lissu angegombea na Odero ingekuwa story kubwa nchi hii au kuna ambaye angejisumbua kukesha anafuatilia uchaguzi?
Ndio maana alikuwa akitoa hotuba anasema kwa kujiamini CHADEMA itakuwa imara zaidi ya Jana na tutavuka salama.
Unganisha dots bato la wenje na lema halafu mara unasikia ntobi anasema lema asionekane ukumbini ghafla lema anaonekana ukumbini kama wakala wa lissu unadhani imetokea bahati mbaya au MMM kukaa kimya bila kumtukana Lissu
Ila machawa wa Mbowe MMM, Ntobi, Boniyai na Yeriko wamebaki uchi,ingawaje waliact hivyo ili kunogesha igizo.
View attachment 3209699
MBOWE katumia hadi hela kushinda uchaguzi. Hajaanza leo, alihakikisha wenyeviti wasiompa nafasi hawachaguliwi. Lkn fitina zake zimeshindwaKama Mbowe angejitoa mapema sidhani kama uchaguzi huu ungekuwa na attention kiasi hiki
hongera Lissu, hongera CHADEMA
Nimekuelewa vizuri MkuuHata hawa mnaodhani ni machawa the scenario was staged(scripted) na nia ilikuwa ni kuweka attention na kwa hilo wamefanikiwa sana kwa licha ya CCM kukusanyia celebrities wote wa TZ mkutano wao haukufuatiliwa na umma wa Watanzania.
Ukiweka ushahidi(hard facts) utaaminika lakini vinginevyo jinsi Mbowe alivyohangaika hicho chama usidhani kwamba hakuwa akifahamu realities on the ground kwamba hata kama atashinda kihalali mashabiki wao ambao mostly huwa ni vijana wanataka mtu hardcore ndiyo ashike usukani.Ukweli ni kuwa Mbowe hakuridhia kuachia kiti na alikitaka sana, hayo ya mikakati na mengineyo ni baada ya kushindwa ila nakuhakikishia hakudhani kuwa atashindwa.
Kwa taarifa yako ilipangwa baada ya ushindi wa Mbowe Lissu na team yake washughulikiwe
Unaangalia tv? Umeona mapokeo ya freeman? Kwa akili ya kawaida Mbowe angetaka kuachia kiti asingekubali kuachia katika namna ya kudhalilisha kama hii. Alikitaka kiti ila kiti kimemkataaUkiweka ushahidi(hard facts) utaaminika lakini vinginevyo jinsi Mbowe alivyohangaika hicho chama usidhani kwamba hakuwa akifahamu realities on the ground kwamba hata kama atashinda kihalali mashabiki wao ambao mostly huwa ni vijana wanataka mtu hardcore ndiyo ashike usukani.
My thoughts are that the whole scenario was scripted kwani bila hivyo hakukuwa na namna nyingine ya kuufunika mkutano wa Dodoma wa CCM uliokuwa umejaa shows za A list ya vijana wa Bongo flavor.
Atajua mwenyeweIla Boniyai sio chawa mkuu. Amejikuta tu yupo upande ule.
Mbowe ni mjanja wa town, mind game anaijua sana. CCM wamekusanya wasanii wote muhimu wa Bongo flavor, Bongo movie na popular Chawa wote lakini media, social media na wananchi wa kawaida kwa wingi wake ufuatiliaji ulikuwa ni uchaguzi wa CHADEMA jambo ambalo probably limeibua hamasa wa wanachama na mashabiki wao upya.Inawezekana na Mimi kumbe ni mchambuzi wa mambo ya siasa wa chini chini au mpiga ramli wa chini chini, au Mzee wa nje ya box. Hicho ulicho andika ndio nilikuwa na kihubiri kwenye vikao vya kahawa. Nikiamini Hawa wamekubariana walipuane ili kuleta attention ya chama, na kuonesha wao ni tofauti wako tayari kukubaria kuto kukubariana kufanya kazi Kwa maslahi ya chama na kuonesha ukomavu wa Hali ya juu . Kuelekea uchaguzi mkuu inabidi uimbwe sana kupata wapiga kura wanaoenda na upepo (Undecided voters). Airtime ya Chadema ilikuwa chini sana kwenye mijadala ya watu na vyombo vya Habari. Upande wa pili wamezimwa kabisa baada ya kujisifia Kwa kuwa na Mabus ya kijani hoja nyepesi kama Ile ya wewe unaijua vieiteee wewe.
Kwa namna yoyote hapa mahindi ni Mbowe, Kwa sababu hakuvunja katiba katika kuutaka tena uenyekiti, bado atabaki kuwa mtu mwenye ushawishi mkubwa sana chamani labda Hawa wapya waaamue kuua chama Kwa kumsideline Mwamba. Kama CUF ilivyotekwa na team Znz.
Kwa vile wamepewa rungu Utulivu utakuja tu hakuna namna ila awarudishe covid 19 na wengine Chama kianze upya.