Mbowe akili kubwa! Kajua kutuchezesha Taifa na CCM muziki wake

πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Eti wanataka kutuaminisha kwamba ilikuwa ni igizo tu.
 
Mbowe amefanya vizuri na ila tuwaombee waliopata hiyo nafasi,wengi hawana utulivu wa kufikiri kama Mbowe
Kwa vile wamepewa rungu Utulivu utakuja tu hakuna namna ila awarudishe covid 19 na wengine Chama kianze upya.
 
Inawezekana na Mimi kumbe ni mchambuzi wa mambo ya siasa wa chini chini au mpiga ramli wa chini chini, au Mzee wa nje ya box. Hicho ulicho andika ndio nilikuwa na kihubiri kwenye vikao vya kahawa. Nikiamini Hawa wamekubariana walipuane ili kuleta attention ya chama, na kuonesha wao ni tofauti wako tayari kukubaria kuto kukubariana kufanya kazi Kwa maslahi ya chama na kuonesha ukomavu wa Hali ya juu . Kuelekea uchaguzi mkuu inabidi uimbwe sana kupata wapiga kura wanaoenda na upepo (Undecided voters). Airtime ya Chadema ilikuwa chini sana kwenye mijadala ya watu na vyombo vya Habari. Upande wa pili wamezimwa kabisa baada ya kujisifia Kwa kuwa na Mabus ya kijani hoja nyepesi kama Ile ya wewe unaijua vieiteee wewe.

Kwa namna yoyote hapa mahindi ni Mbowe, Kwa sababu hakuvunja katiba katika kuutaka tena uenyekiti, bado atabaki kuwa mtu mwenye ushawishi mkubwa sana chamani labda Hawa wapya waaamue kuua chama Kwa kumsideline Mwamba. Kama CUF ilivyotekwa na team Znz.
 
Ila Mbowe anajua kuwajaza watu upepo hata kuliko mijitu ya CCM akika Lucas Mwashambwa , MamaSamia2025 na wapuuzi wengine kutoka Lumumba.

Kuna clip moja alisema eti Tundu Lissu anaungwa mkono na wajumbe 3 tu nchi nzima. Mwenye clip ile naomba anitumie nijifurahishe nayo.
 
Mbowe kazuia mpasuko wa chama kwa hekima kubwa. Ametukanwa kwenye mitandao lakini yeye kawa mtulivu. Alikuwa na uwezo wz kuvuruga uchaguzi lakini akaamua Demokrasia ichukuwe nafasi. Hili ndilo tulilishauri. Hongera Mbowe, Hongera Lisu, Hongera CHADEMA.
 
Hakuna kukubaliana wala nn team mbowe kubalini mmeshindwa,mnasema kukubaliana na kula zimepigwa na kuhesabiwa kwa uwaz what if nmbowe angepata kula nyingi??
 
Hakuna kukubaliana wala nn team mbowe kubalini mmeshindwa,mnasema kukubaliana na kula zimepigwa na kuhesabiwa kwa uwaz what if nmbowe angepata kula nyingi??
Kwa upepo ule kura nyingi alikuwa anatoa wapi?

FAM alikuwa anajua hili anashindwa mapema sana ... Go back na angalia interviews zake zoteeee alizofanya na media

Alikuwa Hana hoja yoyote ... Alikuwa anajua hii Ngoma ilelala yoooo!

Ukijua Kuwa huwezi Kucheza Vizuri Mziki Hata Kusifiwa ... Hukimbiii

Unaandaa Mziki mzuri ili angalau upate sifa za kuwa ulifanya maandilizi mazuri ya Mziki hapo wewe hujui kucheza
 
sasa hapa kwa kuongezea ili uchaguzi wa rais unoge mgombea urais kupitia chadema awe Mpina .
 
Kumshirikisha Mungu kwa mambo husiyokuwa na ushahidi nayo ni dhambi
 
Nakubaliana na wewe,kama asingechukua fomu uchaguzi usingekuwa na attention yoyote, ila wamejua kuitikisa nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…