Mbowe alianzisha CHADEMA akiwa kijana, Lissu alianzisha nini akiwa kijana?

Mbowe alianzisha CHADEMA akiwa kijana, Lissu alianzisha nini akiwa kijana?

Lissu kaanzisha majungu.

Watu wengi hasa vijana hawajui kwamba CDM muasisi wake ni Freeman Alkael Mbowe the Great.

Yaani kwa CDM fanya siasa zako zoote ila ukimdharau Mbowe we ni dog tu.
 
Lissu amewahi kuanzisha nini kinachoisaidia jamii inayomzunguuka? Jibu hili. Anasifu vijana waliowahi kuanzisha taasisi lakini yeye hana hata bustani ya miche ya miti ya kivuli.
Kama mbowe kaanzisha chadema, akina mzee mtei na bob makani wameanzisha nini?
Lissu mpaka akina mbowe wanamwingiza chadema alikuwa anapigania haki za watu huko mara
 
Unamjua Mzee Mtei,Bob Makani?
Chama cha CDM kilianzishwa na waasisi 10 kasome documents na katika watu hao Mwamba Alkael Mbowe akiwa na miaka 30 tu alikuwa among them.

Hapendi kusema sema saana uasisi wake ila watu makini sisi tunajua.

Huyu jamaa ropo mpaka leo hana hata ka kampuni kadogo ka uwakili.

Tunasema Lissu bila Mbowe ni debe tupu
 
Jamii forums imejaa wapumbavu nanyi moderators mmekuwa wajinga hizi takataka kweli za kuweka Kwenye savers zenu au nanyi mmelamba asali?

Ngoja tuanzishe jukwaa jipya mbaki na huu upuuzi wenu.Mbowe na gang yake wamechanganyikiwa nanyi nawaona mirembe soon
 
amii forums imejaa wapumbavu nanyi moderators mmekuwa wajinga hizi takataka kweli za kuweka Kwenye savers zenu au nanyi mmelamba asali?

Ngoja tuanzishe jukwaa jipya mbaki na huu upuuzi wenu.Mbowe na gang yake wamechanganyikiwa nanyi nawaona mirembe soon
wewe ndo mpuuzi mwili mzima sasa je! MBOWE iliianzisha CHADEMA au ndo alikuja kuifuja CHADEMA
 
Back
Top Bottom