Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongo Mbowe siye aliye anzisha Chadema mataahira tu ndiyo mumeamini uongo wakeLissu amewahi kuanzisha nini kinachoisaidia jamii inayomzunguuka? Jibu hili. Anasifu vijana waliowahi kuanzisha taasisi lakini yeye hana hata bustani ya miche ya miti ya kivuli.
Kama mbowe kaanzisha chadema, akina mzee mtei na bob makani wameanzisha nini?Lissu amewahi kuanzisha nini kinachoisaidia jamii inayomzunguuka? Jibu hili. Anasifu vijana waliowahi kuanzisha taasisi lakini yeye hana hata bustani ya miche ya miti ya kivuli.
Bown Ngwilulupi,Costa Shinganya Mary Kabigi. Mbowe mhuni tuUnamjua Mzee Mtei,Bob Makani?
Chama cha CDM kilianzishwa na waasisi 10 kasome documents na katika watu hao Mwamba Alkael Mbowe akiwa na miaka 30 tu alikuwa among them.Unamjua Mzee Mtei,Bob Makani?
soma, siyo unaishi ka zezeta la taifa wakati bado kijana mdogo .CHADEMA iliasisiwa na MTEI,BOB MAKANI NA BROWN NGWILILUPI
wewe ndo mpuuzi mwili mzima sasa je! MBOWE iliianzisha CHADEMA au ndo alikuja kuifuja CHADEMAamii forums imejaa wapumbavu nanyi moderators mmekuwa wajinga hizi takataka kweli za kuweka Kwenye savers zenu au nanyi mmelamba asali?
Ngoja tuanzishe jukwaa jipya mbaki na huu upuuzi wenu.Mbowe na gang yake wamechanganyikiwa nanyi nawaona mirembe soon