Mbowe alianzisha CHADEMA akiwa kijana, Lissu alianzisha nini akiwa kijana?

Mbowe alianzisha CHADEMA akiwa kijana, Lissu alianzisha nini akiwa kijana?

1. Je Wajua Tundu Lissu Aliwatoa Gerezani BURE Wananchi 466 Wa Tarime Waliofungwa Kwa Kupinga Mwekezaji Asiwanyanganye Ardhi Yao?
2. Je Wajua Tundu Lissu Alishawai Kupigwa Marufuku Asikanyange Nyamongo Kwasababu Ya Harakati Zake Za Kuwatetea Wananchi Dhidi Ya Wawekezaji?
3. Je Wajua Tundu Lissu Alipambana Na Kaka Yake Alute Lissu Mahakamani Kwenye Kesi Ya Kupinga Ubunge Wa Lema, Alute Akiitetea CCM Na TL CHADEMA?
4. Je Wajua Tundu Lissu Akiwa JKT Itende Alidhaniwa Kuwa "Usalama Wa Taifa" Kutokana Na Tabia Yake Ya KUHOJI Bila Woga?
5. Je Wajua Tundu Lissu Alipambana Na Serikali Ya Mkapa ISIUZE Rufiji Delta Kwa Mwekezaji Nolan, Hadi Bank Ya EIB Ikagoma Kutoa Mkopo Kwa Nolan?
6. Je Wajua Mwaka 2004 Freeman Mbowe Alimuomba Tundu Lissu Ajiunge CHADEMA Baada Ya Kumtetea Chacha Wangwe Kwenye Kesi 10 Za Jinai?
7. Je Wajua Tundu Lissu Alianza Kushtakiwa Kwa "Uchochezi" Mwaka 2001 Na Mpaka Leo Hajawai Kukutwa Na Hatia?
8. Je Wajua Kwenye Kampeni 2010 Kikwete Aliwai Kusema Ni Heri Dr.Slaa Awe Rais Kuliko Tundu Lissu Awe Mbunge?
9. Je Wajua 70% Ya Kesi Anazozisimamia Tundu Lissu Halipwi Chochote Na Watu Anaowatetea, Yeye Hufurahi Akiona Mtu Haonewi Wala Kunyanyaswa?
10. Je Wajua Tundu Lissu Hutumia Mshahara Wake Wa Mbunge Kusafiri Maeneo Mbalimbali Nchini Kuwatetea Walalahoi BURE Mahakamani?

TUENDELEE KUMUOMBEA JEMEDARI HUYU
 
wewe ndo mpuuzi mwili mzima sasa je! MBOWE iliianzisha CHADEMA au ndo alikuja kuifuja CHADEMA
Mimi siwezi kubishana na mjinga anayeishi kwa shemeji yake na kulala na watoto wa dada yke unayesubiri ugali wa shkamoo na wifi ya bure .nenda kampigie Mbowe kura aendelee kuwala haujui chochote kuhusu Taifa hili
 
Wewe mpumbavu wa UWT CHADEMA imeanzishwa na Edwin Mtei na Bob Makani au ulikuwa bado uko kwenu mbwinde?
Lissu amewahi kuanzisha nini kinachoisaidia jamii inayomzunguuka? Jibu hili. Anasifu vijana waliowahi kuanzisha taasisi lakini yeye hana hata bustani ya miche ya miti ya kivuli.
 
Lissu kaanzisha majungu.

Watu wengi hasa vijana hawajui kwamba CDM muasisi wake ni Freeman Alkael Mbowe the Great.

Yaani kwa CDM fanya siasa zako zoote ila ukimdharau Mbowe we ni dog tu.
Umetoka kishumundu juzi mkawa mnaambiana huko kuwa chama kaanzisha Mbowe mpuuzi wewe. Unamjua Edwin Mtei na Bob Makani?
 
Lissu kaanzisha majungu.

Watu wengi hasa vijana hawajui kwamba CDM muasisi wake ni Freeman Alkael Mbowe the Great.

Yaani kwa CDM fanya siasa zako zoote ila ukimdharau Mbowe we ni dog tu.
Freeman kazaliwa kwenye familia tajiri sana, angeweza kukaa kimya ale fedha zake TU, lakini alianza harakati akiwa kijana mdogo kabisa. Lissu ni mwana kulifind atakuwa mwanakuliget. Hana mvuto Wala maarifa ya kisiasa, ni activist (mwanaharakati wa mazingira).
 
Lissu kaanzisha majungu.

Watu wengi hasa vijana hawajui kwamba CDM muasisi wake ni Freeman Alkael Mbowe the Great.

Yaani kwa CDM fanya siasa zako zoote ila ukimdharau Mbowe we ni dog tu.
Wacha weeeee !!!! Dada Amina kumbe mumeo Makonyaji ndio kakianzisha CDM na sio Mkwe tena ?

Leo unamsahau baba yako Mtei aliekuzaa kwa sababu ya kupenda Tango la mumeo Mboe lililo kwenye suruali.

Oooooh nimekosea sio Tango ni Mboe.
 
Freeman kazaliwa kwenye familia tajiri sana, angeweza kukaa kimya ale fedha zake TU, lakini alianza harakati akiwa kijana mdogo kabisa. Lissu ni mwana kulifind atakuwa mwanakuliget. Hana mvuto Wala maarifa ya kisiasa, ni activist (mwanaharakati wa mazingira).
Sawa dada Kavulata kwa hiyo, ukizaliwa kwenye familia tajiri sana ndio uwe mjinga?
 
Nenda tarime nyamongo utajua lisu alianzsha nn tahira wewe
Hakuwahi kusaidia chochote Nyamongo na ndio maana mpaka leo watu wa Nyamongo wanadai haki zao Ikiwemo walioathirika na madini ya Zebaki. Kama hakuna anayedai hadi sasa basi watu wa Nyamongo wanaolalamika sasa ni waongo sio?
 
Back
Top Bottom