Mbowe alianzisha CHADEMA akiwa kijana, Lissu alianzisha nini akiwa kijana?

Mbowe alianzisha CHADEMA akiwa kijana, Lissu alianzisha nini akiwa kijana?

Lissu amewahi kuanzisha nini kinachoisaidia jamii inayomzunguuka? Jibu hili. Anasifu vijana waliowahi kuanzisha taasisi lakini yeye hana hata bustani ya miche ya miti ya kivuli.
Wewe umeanzisha nini?
Jitokeze tujue na si kujificha kwa I'd bandia hapa jf
 
soma, siyo unaishi ka zezeta la taifa wakati bado kijana mdogo .

Kasome watu 10 waasisi wa CDM.
Kwa hiyo kuanzisha ndio kunamfanya awe mmoliki wa Chadema?
Chawa mna kazi sana awamu hii, Mbowe alishakataliwa na wakati haupo upande wake.
Huwezi kushindana na nyakati
 
Kama mbowe kaanzisha chadema, akina mzee mtei na bob makani wameanzisha nini?
Lissu mpaka akina mbowe wanamwingiza chadema alikuwa anapigania haki za watu huko mara
Ndio hapo huyu hajui hata historia ya Chadema kilivyoanzishwa daah
 
Ndio hapo huyu hajui hata historia ya Chadema kilivyoanzishwa daah
Hizo hela za Abdul zilizomwagwa kumtetea Sultan Mbowe zimewafikia hata vilaza ambao hawajui watetee kwenye angle gani ndiyo huyu kapuku eti Mbowe alianzisha Chadema, upuuzi mtupu.
 
Bora ungesema mtei na wenzake na sio mbowe aliyekuja kuwa mwanachama sawa tu na kina lissu unayembeza. Chama ni cha kitaifa hata kama wazo lilianzia kwa mtu mmoja kuanzisha taasisi. Ili hiyo taasisi isitawi vema ni bora aachie na wengine waiongoze katika zama mpya
 
Mbowe amerithishwa chama na Baba mkwe wake na sio kaanzisha.hivyo nayeye anasubili atakaeoa mtoto wake amlithishe.
 
Chama cha CDM kilianzishwa na waasisi 10 kasome documents na katika watu hao Mwamba Alkael Mbowe akiwa na miaka 30 tu alikuwa among them.

Hapendi kusema sema saana uasisi wake ila watu makini sisi tunajua.

Huyu jamaa ropo mpaka leo hana hata ka kampuni kadogo ka uwakili.

Tunasema Lissu bila Mbowe ni debe tupu
Hii ndio kete ya kumpa Uenyekiti?! Mbona mmeishiwa hivi...
 
kugoma kuwahi shule Toka akiwa Drs la tatu
LIssu kama akianzisha chama chake wangapi watajiunga nacho? Anadai ameumizwa akiwa kijana anaetetea haki. Huu ni uongo kwakuwa ameumia akiwa mzee kabisa juzijuzi. Je, wakati akiwa kijana kama hawa BAVICHA alianzisha nini? Hivi
 
wewe ndo mpuuzi mwili mzima sasa je! MBOWE iliianzisha CHADEMA au ndo alikuja kuifuja CHADEMA
Si mali yake? unajua alitumia fedha kiasi gani kuanzisha chama? kama ni rahisi si muanzishe chenu? Hivi vyama vilianzishwa kama saccos za watu. Hashimu Rungwe alianzisha chake, Cheyo alianzisha chake, Mtikila alianzisha chake, Dovutwa alianzisha chake, Prof. KIGOMA Malima nae alikuwa na chake, Mapalala na Hamadi nae alikuwa na chake, Lyatonga alikuwa na chake, Zito ana chake, Mbowe na Mtei nao wana chao, na wengine wengi. Chadema ni mali ya familia kwa mtaji ya familia. Wapuuzi wanadhani chadema ni mali ya umma wanayoweza kuitolea macho. Chadema kilikupatia ubunge, magari, majumba na ada ya wanao, Kama kimekushinda ondoka katafute kingine. Huwezi kuwa mlevi ukanywa na kulewa bangi na kumwambia Hashim Rungwe ondoka kwenye chama chako cha UMMA party kwakuwa umekaa sana na umezeeka, utakuwa mpuuzi kwelikweli.

HAWA BAVICHA lazima wafundishwe historia ya chama wanachokipigania kabla hawajaropoka.
 
LIssu kama akianzisha chama chake wangapi watajiunga nacho? Anadai ameumizwa akiwa kijana anaetetea haki. Huu ni uongo kwakuwa ameumia akiwa mzee kabisa juzijuzi. Je, wakati akiwa kijana kama hawa BAVICHA alianzisha nini? Hivi
kushindwa kwa LIsU ni furaha yenu nyie..mnapauka nn sasa
 
Hii ndio kete ya kumpa Uenyekiti?! Mbona mmeishiwa hivi...
Bavicha na wanachadema lazima wafundishwe historia ya chama kabla ya kujiunga. Huwezi kumtukana tajiri mwenye mali yake, utakuwa mpuuzi kwelikweli. TANU/ CCM ilikuwa mali ya Mwl. Nyerere akisaidiwa mawazo tu na wenzzake, hasa baada ya kuiua TAA ya akina Syskes. Ndiyo maana Nyerere aliweza kumuondoa kutoka TANU/CCM mtu yeyote asiyekubaliana na yeye.
 
Kabisa, hatutaki madikteta. Wakiishi wanachokitetea
Mbowe atakuwa mpuuzi kama akikubali kunyang'anywa chama chake na wahuni. Mbowe ndiye anajua yale ambayo hayamo kwenye Katiba. Maana katiba ina mambo yaliyoandikwa na yasiyoandikwa lakini yote ni muhimu. Kumbuka Mtei alikuwa Gavana wa BOT pamoja na Makani, bila shaka watu wenye hadhi hiyo hawezi kuanzisha chama kinachoweza kuwatukana viongozi wa nchi kama anavyofanya huyu lopolopo wetu. Watu kama Mtei huwezi kuwa Gavana bila kuwa mtu wa system kindakindaki.
 
Back
Top Bottom