Mbowe alianzisha CHADEMA akiwa kijana, Lissu alianzisha nini akiwa kijana?

Mbowe alianzisha CHADEMA akiwa kijana, Lissu alianzisha nini akiwa kijana?

Watu wengi wametajirika kupitia cdm hiihii ya Mbowe huyuhuyu, huwezi kusimama jukwaani mbele ya camera ukasema mbowe hafai kuwa mwenyekiti kwasababu Mbowe hatukani viongozi, hagombani, hapigani, habezi viongozi. Tunatamani cdm kigeuke chama cha matusi, roporopo, migomo, kejeli na kufungia nchi ispate misaada ikibidi. Kenya wanagoma kila siku wako wapi sasa, wanapata nini sasa? Wote tunapenda mageuzi ya kwenda mbele lakini sio kuliko amani na utulivu.
Wako vizuri sana kila jambo Kenya lina uwazi na hawana mawazo ya kipumbavu ya kuabudu watu kama wewe.
 
Lissu alikuwa na maana gani kutoa mifano ya vijana walioanzisha taasisi na kumsahau Mbowe huku akijua yeye mwenye hakuanzisha kitu chochote akiwa kijana? Yeye alipaswa awe role model kwa vijana wa bavicha aliokuwa akiwahudumia. Je, vijana wa bavicha wanajua kuwa Mbowe ni miongoni mwa waanzilishi wa cdm?
We umeanzisha nini kama kila mtu anatakiwa kuanzisha? Akianzisha Mbowe inatosha wengine watakua wanachama na ataondoka watakua wenyeviti pia! Taasisi ni za umma, anayeanzisha akimaliza kutumika anasepa tu wengine wanasonga mbele
 
We umeanzisha nini kama kila mtu anatakiwa kuanzisha? Akianzisha Mbowe inatosha wengine watakua wanachama na ataondoka watakua wenyeviti pia! Taasisi ni za umma, anayeanzisha akimaliza kutumika anasepa tu wengine wanasonga mbele
Nyerere alianzisha TANU baadaye CCM ALISHATANGULIA MBELE YA HAKI LAKINI BADO CCM inaendelea.
 
Hakuwahi kusaidia chochote Nyamongo na ndio maana mpaka leo watu wa Nyamongo wanadai haki zao Ikiwemo walioathirika na madini ya Zebaki. Kama hakuna anayedai hadi sasa basi watu wa Nyamongo wanaolalamika sasa ni waongo sio?
Kwanini Ccm wamekataa kuwapa watu wa Nyamongo haki yao?
 
Kwa hyo tukubaliane ni taasisi yake binafsi na awe mwenyekiti/mfalme mpaka hapo muumba atakapoamua vinginevyo.
Tuwe wakweli tu, chadema ni mali ya watu kama ilivyokuwa TANU, CCM, TLP, DP, NLD, NCCR, CUF, nk. Hakuna mtu alimtoa Mwl Nyerere kwenye uwenyekiti hadi pale alipoamua mwenyewe kujitoa na kumpa aliyemuona ataendeleza malengo ya TANU/CCM. Hata mzee Mtei hakuna mtu aliyemshinikiza kutoka uwenyekiti bali alitoka mwenyewe na kumkabidhi Makani, na Makani hivyohivyo alimpa Mbowe kwa hiari yake kwa kumkabidhi mtu aliyedhani anafaa kutimiza malengo. Mbowe nae bila shaka atafanya hivyohivyo kwa mwenyekiti ajae anaemuona ataweza kuendeleza ndoto na malengo ya chama. Hii ya Lissu kutaka kumtoa Mbowe kwa nguvu, matusi na kejeli Mbowe haiwezekani ikawa hivyo. Labda apate baraka za Mzee Edwin Mtei na wanzake waliowekeza mitaji yao hapo. Akina Lissu, Heche, Lema, Mdee, Sugu, Prof Jay na wengine wengi wa aina hiyo tayari wameshafaidika na chadema ya Mtei, hawana lao zaidi ya kuendelea kugombea nafasi za ubunge na Urais kama watateuliwa na kupigiwa kura zitakazotosha.

Huu ndio ukweli mchungu ambao kila mtu lazima aujue. Chadema sio taasisi ya umma kama wanavyotaka kudhani, ina wenyewe na wenyewe hao Lissu hayumo, alikaribishwa tu sana na mwl anavyoweza kukaribishwa kuwa Mkuu wa shule ya mtu binafsi..
 
Tuwe wakweli tu, chadema ni mali ya watu kama ilivyokuwa TANU, CCM, TLP, DP, NLD, NCCR, CUF, nk. Hakuna mtu alimtoa Mwl Nyerere kwenye uwenyekiti hadi pale alipoamua mwenyewe kujitoa na kumpa aliyemuona ataendeleza malengo ya TANU/CCM. Hata mzee Mtei hakuna mtu aliyemshinikiza kutoka uwenyekiti bali alitoka mwenyewe na kumkabidhi Makani, na Makani hivyohivyo alimpa Mbowe kwa hiari yake kwa kumkabidhi mtu aliyedhani anafaa kutimiza malengo. Mbowe nae bila shaka atafanya hivyohivyo kwa mwenyekiti ajae anaemuona ataweza kuendeleza ndoto na malengo ya chama. Hii ya Lissu kutaka kumtoa Mbowe kwa nguvu, matusi na kejeli Mbowe haiwezekani ikawa hivyo. Labda apate baraka za Mzee Edwin Mtei na wanzake waliowekeza mitaji yao hapo. Akina Lissu, Heche, Lema, Mdee, Sugu, Prof Jay na wengine wengi wa aina hiyo tayari wameshafaidika na chadema ya Mtei, hawana lao zaidi ya kuendelea kugombea nafasi za ubunge na Urais kama watateuliwa na kupigiwa kura zitakazotosha.

Huu ndio ukweli mchungu ambao kila mtu lazima aujue. Chadema sio taasisi ya umma kama wanavyotaka kudhani, ina wenyewe na wenyewe hao Lissu hayumo, alikaribishwa tu sana na mwl anavyoweza kukaribishwa kuwa Mkuu wa shule ya mtu binafsi..
Maswali yang kwako ni:-

1.Taasisi ni nini?
2.Muundo wa Taasisi ukoje/
3.Chama ni nini?
4.Chama cha siasa ni kitu gani katika jamii yoyote?
5.UMMA ni nini?
6.CHADEMA nayo nini?
 
kwa hiyo mbowe ndio alianzisha chadema, sio Mtei tena.
Peke yako unawezaje kuanzisha chama? KUMBUKA kuwa Mtei alikuwa Gavana wa BOT, Makani alikuwa Naibu wa Gavana BOT, Mzee Mbowe alikuwa CCM na mfanyabiashara mkubwa; wote wana pesa lakini mbilingembilinge za hapa na pale zilihitaji kijana kama Freeman kuweza kuandika na kutafuta wajumbe na wanachama Tanganyka na Zanzibar ili kukidhi vigezo vya kusajiliwa kama chama cha siasa' hivyo hata kama huna akili huwezi kumuondoa Freeman kwenye uanzilishi wa chadema.. Kuanzisha chama haikuwa kazi rahisi kifedha, lazima hawa watu walisaidiana gharama za kukianzisha cdm; ni mali yao.
 
Maswali yang kwako ni:-

1.Taasisi ni nini?
2.Muundo wa Taasisi ukoje/
3.Chama ni nini?
4.Chama cha siasa ni kitu gani katika jamii yoyote?
5.UMMA ni nini?
6.CHADEMA nayo nini?
Hayo ni maneno tu, lakini vyama vyote duniani vina waanzilishi wake na wabeba maono ya vyama hivyo, wao ndiyo wana approve nani awe kiongozi wake kwa wakati gani na kwasababu gani. Sio kila mtu anaweza kuwa mwenyekiti wa chama cha Conservative, Democrats, Republican, au Labour. Unaweza kugombea urais au ubunge lakini sio uwenyekiti wa chama, club au taasisi.
 
Umechemka kufananisha
Tuwe wakweli tu, chadema ni mali ya watu kama ilivyokuwa TANU, CCM, TLP, DP, NLD, NCCR, CUF, nk. Hakuna mtu alimtoa Mwl Nyerere kwenye uwenyekiti hadi pale alipoamua mwenyewe kujitoa na kumpa aliyemuona ataendeleza malengo ya TANU/CCM. Hata mzee Mtei hakuna mtu aliyemshinikiza kutoka uwenyekiti bali alitoka mwenyewe na kumkabidhi Makani, na Makani hivyohivyo alimpa Mbowe kwa hiari yake kwa kumkabidhi mtu aliyedhani anafaa kutimiza malengo. Mbowe nae bila shaka atafanya hivyohivyo kwa mwenyekiti ajae anaemuona ataweza kuendeleza ndoto na malengo ya chama. Hii ya Lissu kutaka kumtoa Mbowe kwa nguvu, matusi na kejeli Mbowe haiwezekani ikawa hivyo. Labda apate baraka za Mzee Edwin Mtei na wanzake waliowekeza mitaji yao hapo. Akina Lissu, Heche, Lema, Mdee, Sugu, Prof Jay na wengine wengi wa aina hiyo tayari wameshafaidika na chadema ya Mtei, hawana lao zaidi ya kuendelea kugombea nafasi za ubunge na Urais kama watateuliwa na kupigiwa kura zitakazotosha.

Huu ndio ukweli mchungu ambao kila mtu lazima aujue. Chadema sio taasisi ya umma kama wanavyotaka kudhani, ina wenyewe na wenyewe hao Lissu hayumo, alikaribishwa tu sana na mwl anavyoweza kukaribishwa kuwa Mkuu wa shule ya mtu binafsi..
Unachemka kulazimisha hoja yako kwa kufananisha TANU/CCM -nyerere na CHADEMA-mbowe.
 
Kwa hyo tukubaliane ni taasisi yake binafsi na awe mwenyekiti/mfalme mpaka hapo muumba atakapoamua vinginevyo.
Fuateni katiba ya chama chenu bila kusingiziana, kutoa siri za chama wala kumtukana mtu muhimu sana kama Mbowe.
 
Ccm ilianzishwa kabla wewe hujazaliwa. Haya wewe umeanzisha Nini kabla hujazaliwa?
Viti maalumu Kwa wanawake viliamzishwa kabala hujazaliwa je umeanzisha Nini kabla hujqzaliwa
Mtu anatangaza siasa za mshikemshike huku akijua kuwa familia yake haiko Tanzania, watanzania sio wajinga hivyo, wataruka nae.
 
Lissu amewahi kuanzisha nini kinachoisaidia jamii inayomzunguuka? Jibu hili. Anasifu vijana waliowahi kuanzisha taasisi lakini yeye hana hata bustani ya miche ya miti ya kivuli.
Mbowe alianzisha Chadema ipi?
 
Wako vizuri sana kila jambo Kenya lina uwazi na hawana mawazo ya kipumbavu ya kuabudu watu kama wewe.
waako vizuri kwenye nini? Wakenya wanaweza kukupiga wakikusikia ukisema wako vizuri. Wakenya wanatekwa, wakenya ardhi yao yote imeporwa na mabwanyenye, wakenya wanaishi kwenye manyata pale kibira katikati ya Nairobi, wakenya ni wakimbizi dunia nzima wakijitafutia nafuu, wakenya wanagoma kila siku. Usiwadanganye BAVICHA aisei. Kenya sio salama hata kwa wageni kama Kiza Bisije na akina Maria Sarungi, hebu acha upuuzi.
 
Back
Top Bottom