Si mali yake? unajua alitumia fedha kiasi gani kuanzisha chama? kama ni rahisi si muanzishe chenu? Hivi vyama vilianzishwa kama saccos za watu. Hashimu Rungwe alianzisha chake, Cheyo alianzisha chake, Mtikila alianzisha chake, Dovutwa alianzisha chake, Prof. KIGOMA Malima nae alikuwa na chake, Mapalala na Hamadi nae alikuwa na chake, Lyatonga alikuwa na chake, Zito ana chake, Mbowe na Mtei nao wana chao, na wengine wengi. Chadema ni mali ya familia kwa mtaji ya familia. Wapuuzi wanadhani chadema ni mali ya umma wanayoweza kuitolea macho. Chadema kilikupatia ubunge, magari, majumba na ada ya wanao, Kama kimekushinda ondoka katafute kingine. Huwezi kuwa mlevi ukanywa na kulewa bangi na kumwambia Hashim Rungwe ondoka kwenye chama chako cha UMMA party kwakuwa umekaa sana na umezeeka, utakuwa mpuuzi kwelikweli.
HAWA BAVICHA lazima wafundishwe historia ya chama wanachokipigania kabla hawajaropoka.