Mbowe aligombeaje urais mwaka 2005 kama hana degree?

Mbowe aligombeaje urais mwaka 2005 kama hana degree?

Hapa umenichanganya
Kumbuka hakuna ajuaye ni wakati gani Katiba ilibadilishwa na kuagiza kuwa ikitokea rais aliyepo madarakani akafariki, basi bila kujali amefariki wakati gani, makamo wake atairithi nafasi hiyo moja kwa moja hadi uchaguzi mkuu ujao.
Kwamba mpaka Magufuli anafariki serikali, CCM na nchi wote walikuwa wanajiandaa na uchaguzi, taarifa ya Samia kuchukua nafasi na kumalizia muda uliobaki ilikuwa ni surprise kwa nchi nzima…hata Samia alikiri kwamba alilazimika kwenda kusoma Katiba inasemaje maana yaliyokuwa yanaendekea yalikuwa yanamchanganya
 
Kumbuka hakuna ajuaye ni wakati gani Katiba ilibadilishwa na kuagiza kuwa ikitokea rais aliyepo madarakani akafariki, basi bila kujali amefariki wakati gani, makamo wake atairithi nafasi hiyo moja kwa moja hadi uchaguzi mkuu ujao.
Kwamba mpaka Magufuli anafariki serikali, CCM na nchi wote walikuwa wanajiandaa na uchaguzi, taarifa ya Samia kuchukua nafasi na kumalizia muda uliobaki ilikuwa ni surprise kwa nchi nzima…hata Samia alikiri kwamba alilazimika kwenda kusoma Katiba inasemaje maana yaliyokuwa yanaendekea yalikuwa yanamchanganya
Itakuwa watu tu hawasomi katiba,
 
Kigezo kimojawapo cha kugombea urais Tanzania ni mgombea kuwa na angalau kiwango cha elimu cha degree moja, pia huwa kuna rumours mtaana kwamba Freeman Mbowe aliishia kidato cha sita tu, sasa kama ni kweli Mbowe aliwezaje kupitishwa na tume ya uchaguzi kugombea Urais mwaka 2005??

Wanasiasa wanaogombea nafasi kuanzia udiwani, ubunge hadi Urais wanapaswa kuweka wazi CVs zao wapiga kura wawafahamu vizuri kwa manufaa ya umma. George Bush Jr. wa Marekani yeye alikuwa haoni haya kusema hadi matokeo yake ya darasani kwamba hakuwa kipanga na hadi aliwahi kutania kwamba wanafunzi wa daraja C kama yeye wanaweza kuwa marais pia.


Wewe ni muongo. Katiba haijasema degree ni kigezo cha kugombea urais
 
Mtu kama Mbowe anakosaje Degree au ndio siasa za kuchafuana. 😁
Niliwahi wasikia madingi flan wa kichaga wanasema Baba yake Mbowe hata uhuru hujapatikana alikuwa na hela, exposure na mali hatari, kwa mujibu wa wale wazee Nyerere amewahi pewa "Support" na baba yake Mbowe eti kupambania uhuru. 😁

Maana yeke Mbowe ni wa kishua "Born to extremely rich parents".
 
Katiba haijataja km elimu ni kigezo kimojawapo cha sifa ya mgombea urais…
 

Attachments

  • IMG_3238.jpeg
    IMG_3238.jpeg
    289.9 KB · Views: 4
Back
Top Bottom