Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbuka hakuna ajuaye ni wakati gani Katiba ilibadilishwa na kuagiza kuwa ikitokea rais aliyepo madarakani akafariki, basi bila kujali amefariki wakati gani, makamo wake atairithi nafasi hiyo moja kwa moja hadi uchaguzi mkuu ujao.Hapa umenichanganya
Itakuwa watu tu hawasomi katiba,Kumbuka hakuna ajuaye ni wakati gani Katiba ilibadilishwa na kuagiza kuwa ikitokea rais aliyepo madarakani akafariki, basi bila kujali amefariki wakati gani, makamo wake atairithi nafasi hiyo moja kwa moja hadi uchaguzi mkuu ujao.
Kwamba mpaka Magufuli anafariki serikali, CCM na nchi wote walikuwa wanajiandaa na uchaguzi, taarifa ya Samia kuchukua nafasi na kumalizia muda uliobaki ilikuwa ni surprise kwa nchi nzima…hata Samia alikiri kwamba alilazimika kwenda kusoma Katiba inasemaje maana yaliyokuwa yanaendekea yalikuwa yanamchanganya
Naamini hivyo pia na tukio la kifo cha Magufuli lilithibitisha hicho unachokisema.Itakuwa watu tu hawasomi katiba,
MBOWE NI KILAZA
Kigezo kimojawapo cha kugombea urais Tanzania ni mgombea kuwa na angalau kiwango cha elimu cha degree moja, pia huwa kuna rumours mtaana kwamba Freeman Mbowe aliishia kidato cha sita tu, sasa kama ni kweli Mbowe aliwezaje kupitishwa na tume ya uchaguzi kugombea Urais mwaka 2005??
Wanasiasa wanaogombea nafasi kuanzia udiwani, ubunge hadi Urais wanapaswa kuweka wazi CVs zao wapiga kura wawafahamu vizuri kwa manufaa ya umma. George Bush Jr. wa Marekani yeye alikuwa haoni haya kusema hadi matokeo yake ya darasani kwamba hakuwa kipanga na hadi aliwahi kutania kwamba wanafunzi wa daraja C kama yeye wanaweza kuwa marais pia.
Kuna kipindi niliwahi kusoma katiba ya nchi niliona kigezo cha elimu kwa mtu anaegombea urais lazima awe na degree.
Msukuma huyuhuyu Kusheku?Mbonamsukuma hana?
Alisoma nini na chuo Gani?Mbowe ana degree kitambo sana
Alisomea diplomasiaAlisoma nini na chuo Gani?
Ile report yao kufukuzwa udsm uliipata? 🙄🙄Hapa kwa Mbatia umetufunga kamba
Kumbe ndo maaana ana uwezo mkubwa wa kuelezea jambo gumu katika namna nyepesi na wote mkaridhikaAlisomea diplomasia
Ndiyo,bossKwani Katiba imeanisha "Degree" kama kigezo cha kuwa "Presidential candidate"?
ndozao ccm wanataka RAIS awe na digrii lakini msimamia maendeleo nchini ambaye ni diwani anatakiwa kujua kusoma na kuandika tu(awe mjinga)Hiyo ilikuwa fitna nyingine ya kibongo