Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Wee jinga hapa umepuyanga!! Et mtu mmoja au wawili!! Legacy imewaharibu akili kbspitia video clips za mikutano yake.yaani anajaribu kuongea na hadhira lakini hadhira imemkataa ...anayemuitikia ni mtu mmoja au wawili.
Lissu nimekuwa nikimuunga sana mkono!!! Amepotoka Big time. CHADEMA imeumizwaCdm ni zaid ya chama cha siasa.
Usilinganishe kikundi cha kufisadi rasilimali za nchi ccm na taasisi pendwa cdm.
Chadema wana endelea vizuri sana!Bila shaka huko aliko Mwenyekiti Mbowe anauma mdomo na kugonga meza kwa maboko anayotoa lissu kwenye majukwaa hivi sasa.
Mwenendo,kauli na maneno ya lissu kwenye majukwaa mbalimbali yanaashiria ameathirika kisaikolojia na inawezekana ana magonjwa mawili kati ya haya....
1-PTSD
2-BDD
magonjwa haya yanamuondolea utulivu wa kiakili na kimwili na hivyo kuwa ni kituko mbele ya jamii.
Ushauri wangu:
Mnyika na Mbowe ni muhimu kufanya intervention ya haraka ya kumsaidia ikibidi kumpeleka hospitali na kumuepusha na mazingira yenye stress.
N.B :Huwezi kumkashifu legend Magufuli mbele ya watanzania ukategemea usikilizwe.
Mikutano imedoda na kiki zimegoma.
Hilo jambo ni msumari wa moto kwa maccmChadema wana endelea vizuri sana!
broad daylight dreamer.Lissu nimekuwa nikimuunga sana mkono!!! Amepotoka Big time. CHADEMA imeumizwa
Chama kimetikisa nyumbani kwa Magufuli hadi CCM wamepanic unasema wameangukia pua?!wanaendelea kuangukia pua vizuri sana
Wachana na huyo JingaChama kimetikisa nyumbani kwa Magufuli hadi CCM wamepanic unasema wameangukia pua?!
Lisu ana ugonjwa wa akili ndiyo maana mbowe aliona mwanya wa kumuua kwa risasi ili afe kwa sababu ya kuropoka kwake ili goma liwe na awamu ya 5. Halafu mbowe gaidi huyu akaja akalipa watu hela wakajifanya usalama wakaenda kutumia deep fake video wakamtumia clip eti Dkt Magufuli aliamrisha auawe, yaani huu mchogo fake lisu kauaminiBila shaka huko aliko Mwenyekiti Mbowe anauma mdomo na kugonga meza kwa maboko anayotoa lissu kwenye majukwaa hivi sasa.
Mwenendo,kauli na maneno ya lissu kwenye majukwaa mbalimbali yanaashiria ameathirika kisaikolojia na inawezekana ana magonjwa mawili kati ya haya....
1-PTSD
2-BDD
magonjwa haya yanamuondolea utulivu wa kiakili na kimwili na hivyo kuwa ni kituko mbele ya jamii.
Ushauri wangu:
Mnyika na Mbowe ni muhimu kufanya intervention ya haraka ya kumsaidia ikibidi kumpeleka hospitali na kumuepusha na mazingira yenye stress.
N.B :Huwezi kumkashifu legend Magufuli mbele ya watanzania ukategemea usikilizwe.
Mikutano imedoda na kiki zimegoma.
Brother jingalao you are dreaming those days dreams.. CHADEMA is there to stay to the very end... Ifike mahali muamini kwa lazima kwamba CHADEMA ni mpango wa Mungu.. Mbeba maono hafi bro!Bila shaka huko aliko Mwenyekiti Mbowe anauma mdomo na kugonga meza kwa maboko anayotoa lissu kwenye majukwaa hivi sasa.
Mwenendo,kauli na maneno ya lissu kwenye majukwaa mbalimbali yanaashiria ameathirika kisaikolojia na inawezekana ana magonjwa mawili kati ya haya....
1-PTSD
2-BDD
magonjwa haya yanamuondolea utulivu wa kiakili na kimwili na hivyo kuwa ni kituko mbele ya jamii.
Ushauri wangu:
Mnyika na Mbowe ni muhimu kufanya intervention ya haraka ya kumsaidia ikibidi kumpeleka hospitali na kumuepusha na mazingira yenye stress.
N.B :Huwezi kumkashifu legend Magufuli mbele ya watanzania ukategemea usikilizwe.
Mikutano imedoda na kiki zimegoma.
niliwahi kudream hivyo ila ndio hivyo tena wale mliowatarajia wameshanyongonyezwa na mwamba CCM.Brother jingalao you are dreaming those days dreams.. CHADEMA is there to stay to the very end... Ifike mahali muamini kwa lazima kwamba CHADEMA ni mpango wa Mungu.. Mbeba maono hafi bro!
Sent using Jamii Forums mobile app
Deepeewed syndromeniliwahi kudream hivyo ila ndio hivyo tena wale mliowatarajia wameshanyongonyezwa na mwamba CCM.
IMEENDAAA HIYO
Kwanini Slaa asianzishe chama?Ushauri wa bure, "Lissu na Mbowe mkae pembeni" Silaa apewe chama.
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app