ArtificialIntelligence
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 377
- 734
Sina chama, naangalia mtu as an individual. Tatizo la CDM kila ikifika uchaguzi mnafanya mambo ya kijinga, last time mkampa Lowassa kugombea baada ya kumchafua miaka yote ghafla mkabadilika, leo hii mnataka mumpe mtu ambaye alisema wazi kua alitumwa na wamarekani kugombea, hahaha mna matatizo gani kichwani? Ningekua Lissu hata kuhama ningehama, mna mambo ya kijinga sana.wewe ndiye mshenzi unayedhani kuhama chama ndiyo suruhisho!!!!!
Lisu ana ushawishi kwako, lakini kwa wenye chama hana ushawishi, huo ndio ukweli, Nyalandu ni smart ana connection ulaya huko anao uwezo wa kufadhili kampeni zote za CHADEMA kuanzia udiwani, ubunge mpaka urais, unadhani Mbowe na wabunge wataacha kumuunga mkonoNyalandu hayuko kwenye mahesabu yetu, acha hao wajumbe wampigie kura, lakini mwenye ushawishi kwetu ni Tundu Lissu.
Muelekeo wako juu ya mapambano ya wapinzani kuiondoa ccm madarakani naona unatutia mashaka makubwa.Mchakato ndani ya kamati kuu ndani ya Chadema umekamilika ambapo kamati kuu ya Chama hicho imechagua watu watatu kwenda kwenye baraza kuu la Chama.
Katika kura zilizopigwa ndani ya kamati kuu, Ndugu Nyalandu amepata kura nyingi zaidi kuliko Lissu.
Hata hivyo tafsiri ya kura hizi ni kuwa Kamati kuu ya Chadema ambayo ndiyo uongozi wa Chadema hauamini kuwa Lissu ni mgombea bora kuliko Nyalandu.
Yaani kamati kuu ya Chadema kiufupi haiamini kuwa Ndugu Tundu Lissu anaweza kuwa rais mzuri kuliko ndugu Lazaro Nyalandu.
Hii maana yake ni kwamba Uongozi wa Chadema, umetuma Meseji kwa Wanachadema na Watanzania kuwa, Uongozi huo ungependa ndugu Nyalandu ndiye awe mpeperusha bendera ya chama hicho dhidi ya Rais Magufuli.
Sasa ni jukumu letu sisi wananchi kuanza kujiuliza, kuwa Uongozi wa Chadema umeona kasoro gani kwa Tundu Lissu hadi usiamini kuwa yeye ndiye anayefaa zaidi kuwa mgombea kuliko mwanachama yeyote wa CHADEMA katika waliotia nia?
Huenda uongozi wa Chadema una kitu ulichokiona kwa ndugu Lissu kiasi kwamba kupitia kura zao unatuma meseji kwetu kuwa Lissu si bora kuliko Nyalandu. Je ni kitu gani hicho?
Mimi nafikiri kuwa yule aliyeko jikoni ndiye anayejua joto lililoko huko, Sasa kama Uongozi wa juu wa Chadema haumuoni Lissu kama namba moja, je ni sahihi sisi kuanza kumuona kuwa ni mtu sahihi?
Nadhani maamuzi haya ya kamati kuu ni mawazo ya kutufikirisha sana sisi wapiga kura. Hii ni. meseji ya dhahiri kwetu kutoka kwa uongozi wa CHADEMA kuwa, kwenye uchaguzi huu ujao, miongoni mwa wagombea, uongozi huo unaamini kuwa kuna mtu ndani ya Chadema na nchi hii mwenye sifa zaidi kuliko Lissu anayepaswa kuwa raisi La sivyo kwa nini haukumpa kura nyingi zaidi Lissu kushinda wengine?
Tutafakari!
Mkuu nakushaur uwe unanala mapema, kwasababu unaota ndoto ambazo haziwez kutokea
Ngoja waje wenye Sacco's na mapovu yao!
Misile nilikiwa nakuheshimu sana lakini leo umeonesha uwezo mdogo wa kung'amua Mambo. Kilichofanywa na Chadema ni camouflage. Yaani Diversion. Ktk maswala ya inteligensia ni aina fulani ya kumpoteza mwelekeo adui adhani A ni B kumbe A ni A tu .
Nadhani umenielewa.
unadhani Nyalandu anavyozunguka nchi nzima kujitangaza ni mjinga? Lisu hana pesa za kuendesha kampeni za uchaguzi, mwenye uwezo huo ni Nyalandu pekeeMpaka muda huu hao Chadema bado hawajakanusha huenda basi ni kweli. Mungu nisaidie Siasa niwe Mshabiki tu wa kupita na si zaidi.
Wenye saccos wameshaamua sasa wewe ni nani??
Mgombea wa vicoba tayar mnaye huko lumumbaKwa hiyo mgombea wa saccos lazima afichwe kwanza?
Na sasa usimheshimu Kwa lipi sasa ambalo kakosea hapa?? Kuandika ukweli wa Kura zilivyoendeshwa siyo?Misile nilikiwa nakuheshimu sana lakini leo umeonesha uwezo mdogo wa kung'amua Mambo. Kilichofanywa na Chadema ni camouflage. Yaani Diversion. Ktk maswala ya inteligensia ni aina fulani ya kumpoteza mwelekeo adui adhani A ni B kumbe A ni A tu .
Nadhani umenielewa.
Wanachofanya hao wajumbe ni haki yao, lakini Nyalandu hana ushawishi wowote kwetu sisi wapiga kura wa ukweli wa upinzani. Hayo maamuzi ya wajumbe ni halali, lakini hayana afya kwa mustakabali wa Cdm.
kuna wagombea ubunge na madiwani wengi wa CHADEMA hawana uwezo wa kuendesha kampeni , unadhani bila msaada kutoka kwa Nyalandu watashindaje? Nyalandu ndio tegemeo pekee la CHADEMA kwenye kugharamia uchaguziWanachofanya hao wajumbe ni haki yao, lakini Nyalandu hana ushawishi wowote kwetu sisi wapiga kura wa ukweli wa upinzani. Hayo maamuzi ya wajumbe ni halali, lakini hayana afya kwa mustakabali wa Cdm.
Mchakato ndani ya kamati kuu ndani ya Chadema umekamilika ambapo kamati kuu ya Chama hicho imechagua watu watatu kwenda kwenye baraza kuu la Chama.
Katika kura zilizopigwa ndani ya kamati kuu, Ndugu Nyalandu amepata kura nyingi zaidi kuliko Lissu.
Hata hivyo tafsiri ya kura hizi ni kuwa Kamati kuu ya Chadema ambayo ndiyo uongozi wa Chadema hauamini kuwa Lissu ni mgombea bora kuliko Nyalandu.
Yaani kamati kuu ya Chadema kiufupi haiamini kuwa Ndugu Tundu Lissu anaweza kuwa rais mzuri kuliko ndugu Lazaro Nyalandu.
Hii maana yake ni kwamba Uongozi wa Chadema, umetuma Meseji kwa Wanachadema na Watanzania kuwa, Uongozi huo ungependa ndugu Nyalandu ndiye awe mpeperusha bendera ya chama hicho dhidi ya Rais Magufuli.
Sasa ni jukumu letu sisi wananchi kuanza kujiuliza, kuwa Uongozi wa Chadema umeona kasoro gani kwa Tundu Lissu hadi usiamini kuwa yeye ndiye anayefaa zaidi kuwa mgombea kuliko mwanachama yeyote wa CHADEMA katika waliotia nia?
Huenda uongozi wa Chadema una kitu ulichokiona kwa ndugu Lissu kiasi kwamba kupitia kura zao unatuma meseji kwetu kuwa Lissu si bora kuliko Nyalandu. Je ni kitu gani hicho?
Mimi nafikiri kuwa yule aliyeko jikoni ndiye anayejua joto lililoko huko, Sasa kama Uongozi wa juu wa Chadema haumuoni Lissu kama namba moja, je ni sahihi sisi kuanza kumuona kuwa ni mtu sahihi?
Nadhani maamuzi haya ya kamati kuu ni mawazo ya kutufikirisha sana sisi wapiga kura. Hii ni. meseji ya dhahiri kwetu kutoka kwa uongozi wa CHADEMA kuwa, kwenye uchaguzi huu ujao, miongoni mwa wagombea, uongozi huo unaamini kuwa kuna mtu ndani ya Chadema na nchi hii mwenye sifa zaidi kuliko Lissu anayepaswa kuwa raisi La sivyo kwa nini haukumpa kura nyingi zaidi Lissu kushinda wengine?
Tutafakari!
mimi piaMimi personally kama Lissu hapeperushi bendera basi nampigia Membe!
kwa hiyo na Nyalandu aliekiri hizo kura zilipigwa kweli ni muongo? nunua kifurushi hata cha mia tano nenda youtube kamsikilize Nyalandu mwenyeweChadema hawana muda wa kujibu propaganda uchwara za CCM. Siku zote CCM ndo ilikuwa makini kiintelejensia kuviendesha nyama vya upinzani ila Safari hii Chadema ndo wako makini kimedani na wanawaendesha CCM kiintelejensia.
Ndiyo maana mimi suala la kushirikiana na ACT siliafiki kabisa hawana nia njema na Chadema.Muelekeo wako juu ya mapambano ya wapinzani kuiondoa ccm madarakani naona unatutia mashaka makubwa.
ni kweli hayo ni mawazo yenu ila mmebuma, nyalandu na membe wako huko kuwanyongelea mbali hayo mawazo yenu, subiri mda si mrefu utapata majibu,Nyalandu hayuko kwenye mahesabu yetu, acha hao wajumbe wampigie kura, lakini mwenye ushawishi kwetu ni Tundu Lissu.
Huyu jamaa ni ACT na anataka Membe asimame na si Lissu kwenye uraisi.Muelekeo wako juu ya mapambano ya wapinzani kuiondoa ccm madarakani naona unatutia mashaka makubwa.
Huyu jamaa anatumiwa sana na ACT kutaka kuleta mifarakano na sintofahamu ndani ya cdm ili ACT ifanikiwe mipango yake.