Mimi naachana na CHADEMA kabisa maana tayari limeshakuwa tawi mama la CCM.Mimi personally kama Lissu hapeperushi bendera basi nampigia Membe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi naachana na CHADEMA kabisa maana tayari limeshakuwa tawi mama la CCM.Mimi personally kama Lissu hapeperushi bendera basi nampigia Membe!
Keshaenda huyo, tunasonga mbele. Yesu alisema waache wafu wawazike wafu wao.Hana lolote sisi tunaomboleza msiba!
na kamati kuu ikimpitisha Nyalandu, na wewe uridhike.Kama kweli ni hivyo,basi Kamati Kuu imefanya jambo jema maana huenda wangeonekana kumpendelea Lissu,hivyo wacha Baraza kuu likapige kura kuamua na hata Nyalandu ataridhika na matokeo.
Yaani wewe huoni tunafanya kila liwezekanalo CHADEMA wasimfanyie figisu Lissu na kutuletea huyo Nyalandu ambaye hauziki?
Manyaganyanza ni kisukuma cha wapiAwe Lissu awe membe wote ni manyaganyanza
Huyu jamaa ni ACT na anataka Membe asimame na si Lissu kwenye uraisi.
Na huyu aliyepo vipi, mbona akisimama jukwaani ni either kukejeli watu, kutukana watu, kudharau watu, kufokea watu.Lisu ni mwanaharakati mzuri sana lakini anakosa vitu Fulani vya kumfanya awe amiri Jeshi Mkuu na mkuu wa nchi.
Ngoja ajiweke vizuri zaidi ili 2025 achukue nchi mana atakua amejiweka vizuri kiutawala na uongozi wa nafasi ya juu kabisa wa nchi.
Anatakiwa kuondokana na siasa za kiharakati arudi kwenye siasa za Sera mbadala.
Nyarandu ana sifa ya kuwa Rais wa nchi.
Hatutaki mtu atakatepanda majukwaani na kuanza kutukana watu au kukejeli watu au kuzusha mambo asiyokuwa na uhakika nayo. Ataharibu uchaguzi na inawezekana Chama kikawekewa mapingamizi mengi au hata kuzuia kuendelea na kampeni na kuonywa Mara kwa Mara.
Kwa maono makubwa pia Lazaro ni zaidi. Lisu ni kiboko kwenye kusimamia sheria. Lakini Rais pia anapaswa kuwa na maono ya mbali zaidi na moyo wa kuipenda jamii bila kujali vyama . Lisu bado kidogo! Akikosa atulie kwanza na ikiwezekana ajitoe na kumuunga mkono Lazaro ili 2025 amalize mchezo.
Yaani wewe huoni tunafanya kila liwezekanalo CHADEMA wasimfanyie figisu Lissu na kutuletea huyo Nyalandu ambaye hauziki?
Ndiyo maana mimi suala la kushirikiana na ACT siliafiki kabisa hawana nia njema na Chadema.
Yaani wewe huoni tunafanya kila liwezekanalo CHADEMA wasimfanyie figisu Lissu na kutuletea huyo Nyalandu ambaye hauziki?
Na wewe Kipi kinakuuma?Wenye saccos wameshaamua sasa wewe ni nani??
Tunaanza sasa kuishambulia hiyo ACT yako ambayo tumegundua kuwa siyo chama cha upinzani wa kweli kuindoa ccm bali ni tawi la ccm.
Mnajifanya wapinzani kumbe ni mamluki kutoka ccm.
Sisi wapinzani wa kweli tutawapinga sana kwa unafiki wenu kuwahujumu watanzania wanao jidanganya kuwa ACT ni wapinzani.
Siumwi chochote Ila msaliti hawezi pata kitu.Na wewe Kipi kinakuuma?
Lazima aje kwao lakini ameshakosa yoteNguruwe wa Lumumba mnamugopa sana Lissu,sasa msiyemtaka ndiye anakuja
Basi acha kushabikia yasiyokuhuusu! Si mlisema Chadema imekufa? Sasa kinachowawasha nibkitu gani?Siumwi chochote Ila msaliti hawezi pata kitu.
Na PolepoleHivi taarifa ya hayo matokeo ya upigaji kura imethibitishwa na nani?
Inakufa October 2020Basi acha kushabikia yasiyokuhuusu! Si mlisema Chadema imekufa? Sasa kinachowawasha nibkitu gani?
Kama kweli ni hivyo,basi Kamati Kuu imefanya jambo jema maana huenda wangeonekana kumpendelea Lissu,hivyo wacha Baraza kuu likapige kura kuamua na hata Nyalandu ataridhika na matokeo.
Wanachofanya hao wajumbe ni haki yao, lakini Nyalandu hana ushawishi wowote kwetu sisi wapiga kura wa ukweli wa upinzani. Hayo maamuzi ya wajumbe ni halali, lakini hayana afya kwa mustakabali wa Cdm.
kuna wagombea ubunge na madiwani wengi wa CHADEMA hawana uwezo wa kuendesha kampeni , unadhani bila msaada kutoka kwa Nyalandu watashindaje? Nyalandu ndio tegemeo pekee la CHADEMA kwenye kugharamia uchaguziWanachofanya hao wajumbe ni haki yao, lakini Nyalandu hana ushawishi wowote kwetu sisi wapiga kura wa ukweli wa upinzani. Hayo maamuzi ya wajumbe ni halali, lakini hayana afya kwa mustakabali wa Cdm.