Uchaguzi 2020 Mbowe anavyomfitini Tundu Lissu, Nyalandu ashinda kura za maoni

Tusha kugundua nia yako ni ipi juu ya kutaka Membe aungwe mkono na cdm ili agombee yeye.

Ungtaka hivyo ungetumia njia za kiungwana kuliko kuwananga na kuwaona viongozi wa cdm kuwa hawaelewi majukumu yao kichama.

Kwa taarifa yako ni kuwa viongozi wa cdm wanajua nini wanafanya na hata hao wagombea awe Lissu awe Nyalandu wanelewa nini kinafanyika huko kwenye kamati kuu.
 
Kwa akili yako unafikiri sasa pale kuna kisichojukikana hapo chadema?
 
Chadema hawana shida na Rais Ila wanataka kiongozi wa chama awe wakwao Wana sacos na kichaga tundulisu hawawez mpa Kwan wanajua baadae ataenda kua na nguvu na sacos kuibwa [emoji23][emoji23][emoji23]so wanaona ni Bora nyalandu
 
kuna wagombea ubunge na madiwani wengi wa CHADEMA hawana uwezo wa kuendesha kampeni , unadhani bila msaada kutoka kwa Nyalandu watashindaje? Nyalandu ndio tegemeo pekee la CHADEMA kwenye kugharamia uchaguzi

Kama ni hivyo kuwa cdm inategemea nguvu ya Nyalandu, hiyo itakuwa cdm au chama cha Nyalandu? Mimi sio muumini wa chama cha Nyalandu, ndio maana simsomi.
 

Uko sahihi sana kuwa ana ushawishi kwa wenye chama, ila wapiga kura ni sisi. Na sisi wapiga kura tulio wengi wa upinzani, hatuko tayari kurudia kosa la Lowassa fullstop.
 
Kifupi ni kwamba Nyalandu ana pesa kuliko Lisu hayo mengine ni jalamba tu
 
wafuatao.

1. Freeman Mbowe.
2. Godbless Lema.
3. Halima Mdee.
4. Esther Bulaya
mkuu umeandika idadi ya wajumbe 29 sasa hesabu zako hazieleweki:

nyalandu 28
Lissu. 24
Dr mayrose23
Jumla kura zote 77
Umeandika upuuzi
Wapiga kura 28 walipewa karatasi 28 zikiwa na majina 8. Kila mpiga kura alitakiwa aweke TICK ✓ kwenye majina matatu tu. Karatasi zilipokusanywa Nyalandu alikuwa na TICK ✓ 28 Kutoka kwa wote. Lissu alikuwa na TICK ✓ 24 kutoka kwa hao 24 Kati ya 28. Na mwingine jina silijui alikuwa na TICK ✓ 23 kutoka kwa hao 23 Kati ya 28. Kumbuka walitakiwa wapatikane tatu bora Kati ya 8. Umeelewa!??
 
Unatakiwa kushtakiwa kwa kuhujumu uchumi wa chama. Kula buku saba bila kufanya chochote
 
We jamaa ulisoma hata hesabu ya vidudu?
Wapiga kura 28 walipewa karatasi 28 zikiwa na majina 8. Kila mpiga kura alitakiwa aweke TICK ✓ kwenye majina matatu tu. Karatasi zilipokusanywa Nyalandu alikuwa na TICK ✓ 28 Kutoka kwa wote. Lissu alikuwa na TICK ✓ 24 kutoka kwa hao 24 Kati ya 28. Na mwingine jina silijui alikuwa na TICK ✓ 23 kutoka kwa hao 23 Kati ya 28. Kumbuka walitakiwa wapatikane tatu bora Kati ya 8. Umeelewa!??
 
Yaani wafuasi wa Lissu ? Nyalandu mwenyewe kadhibitisha kwenye interview na Jenerali kuwa yeye amepata kura nyingi zaidi ya Lissu kamati kuu. Kaangalieni hiyo interview ameongea mambo mengi mazuri kwa Tz akipewa fursa. Nimegundua anaweza kuwa mgombea bora zaidi ya Lissu. Ubora wa Lissu ni tukio lililompata! Nashangaa kivipi ACT na Member wanasemwa eti wanaihujumu Chadema! Teh teh teh
 
Kila mjumbe alipiga kura tatu.
Nyalandu 28
Lissu 24
Majige 23
Iliyoharibika 1
TOTAL 76
Kila mjumbe alipiga kura 3,29×3=87
87-76=11,hizi kura zilienda kwa nani?
Nadhani kati ya kichwa chako na vidole,kuna kimoja hakikuwa na ushirikiano na mwenzake wakati unaformulate huu utopolo
 
Hivi Nyalandu karudisha Kdi ya CCM kama Membe?
Nauliza tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…