Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Tusha kugundua nia yako ni ipi juu ya kutaka Membe aungwe mkono na cdm ili agombee yeye.
Ungtaka hivyo ungetumia njia za kiungwana kuliko kuwananga na kuwaona viongozi wa cdm kuwa hawaelewi majukumu yao kichama.
Kwa taarifa yako ni kuwa viongozi wa cdm wanajua nini wanafanya na hata hao wagombea awe Lissu awe Nyalandu wanelewa nini kinafanyika huko kwenye kamati kuu.
Ungtaka hivyo ungetumia njia za kiungwana kuliko kuwananga na kuwaona viongozi wa cdm kuwa hawaelewi majukumu yao kichama.
Kwa taarifa yako ni kuwa viongozi wa cdm wanajua nini wanafanya na hata hao wagombea awe Lissu awe Nyalandu wanelewa nini kinafanyika huko kwenye kamati kuu.
Tatizo unaleta vitu personal katika mada.
Mada imehoji suali la msingi.
Mada inahoji maamuzi ya kamati kuu ya Chadema juu ya kumpa kura nyingi Nyalandu kuliko Lissu.
Wewe unaleta mambo ya vyama vingine.
Mimi siyo ACT, mimi namkubali Bernad Membe au Lissu, haijalishi kama hao watu wangegombea kupitia CCM, ACT au CHAUMA mimi niko nao!
Inaniuma kuona Uongozi wa CHADEMA unamuona Nyalandu ni bora kuliko Lissu.
Naamini Tatizo la nchi hii ni Jiwe, kwa hiyo mtu au taasisi yoyote inayomkwaza mtu mwenye chance za kumg'oa Jiwe, hiyo taasisi lazima niinyoshee kidole!
That is my point!