yaani hapo ndiyo huwaga mnakosea sana eti dunia inawaona ? ulishaona wapi hao wa duniani wakamfosi nchi ifanye wanavyotaka wao wenyewe wanamapungufu yao kibao nyie zoeeni tu huyo umnampelekea chai kila siku gaidi wenu mpaka miaka kadhaahifadhi hii post yako nitakukumbusha.
Safari hii mmeingia cha kiume bila nguo ya ndani,
hii kesi sio ya mandazi kama mlizozoeya ukadhani eti ipigwe danadana za kipuuzi alafu ulimwengu unayoishuudia ukae kimya,
tayari mmeshaingia ubaridi ndiyomaana mnaigopa mahakama mtasema nyie ndiyo washtakiwa kumbe nyie ndiyo wapishi wa mashtaka ya kubumba.
nchi ya viwandaMagari ya kwenda kukamata watu yapo ila ya kuwapeleka mahakamani hayapo?
Mungu akupe macho ya kuona, akuondolee chuki dhidi ya binadamu wenzio, na mwisho akupe moyo wa toba wewe na wafananao na wewe.HIYO MPAKA MIAKA MITANO ITAISHA KWA MTINDO HUO JAMAA AYAZOEE TU MAISHA YA SERO NDIYO NYUMBANI KWAKE KWA SASA
mama anaupiga mwingi sana.. ndio maana kigogo aliahid kwenda zanzibar kunya kwenye kaburi la maushungi.. yaani huyu sijui roho mbaya kazitolea wapi
Wazi, lakini wakifa hawa manyang'au inakuwa imetutendea maajabu na kutuheshimisha.Corona haina chama mkuu
inapiga mtu yeyote
mtoto akililia wembe mpe utakapo mkata ndipo atakapo uogopa huwezi kushindana na mamlaka ukaangaliwa tu hivihivi wacha ale alichokuwa anapanda yaani ugaidiMungu akupe macho ya kuona, akuondolee chuki dhidi ya binadamu wenzio, na mwisho akupe moyo wa toba wewe na wafananao na wewe.
How come, you enjoy other people's persecutions!
Sisi Ni binadamu, tusitake tufanane na nyani.
siyo ushamba na kaeni muzoee kabisa kuwa mbowe sasa hivi ni wa mahabusu tu hakuna kesi rahisi ya ugaidi kusha haraka ni ndoto zoeeni tu kimwamba chenu kinaozoea jelaHuu ushamba bado wanauendeleza tu ?
Tupu zao ziko nje katika macho ya dunia.Huu ushamba bado wanauendeleza tu ?
Kuna hatari Mbowe wakati anatoka na Mama atakuwa kashamaliza muda wakehii itakuwa ya kwanza kuisha mapema.
hiyo dunia inakazi ya kuangalia tupu za watu? hapo ndiyo mnapokwama chadema wazungu wako busy na mambo yao mnawasingizia tuTupu zao ziko nje katika macho ya dunia.
jifarijini maana hamna la kusema kwa sasaWameona wanaendwa kushindwa sasa wanatafuta namna ya kujinasua
Ni sawa tu kama hicho ndicho kitakachowapendeza.Kuna hatari Mbowe wakati anatoka na Mama atakuwa kashamaliza muda wake
mbowe anapata aibu sasa damu za kina wangwe zinamliliaMwisho wa ubaya aibu.
hiyo ndiyo hali halisiNi sawa tu kama hicho ndicho kitakachowapendeza.
Mzee mwenzangu umeiweka vizuri sana hio. Unanunua ndege wakati magari ya magereza huna? Tuna import hadi condoms?Mambo mengine badala ya kusikitisha, yanachekesha....
Hii ni aibu kubwa sana. Bora wangetoa kisingizio kingine...
Waendelee kutesa watu, ila wajue Corona yupo, anafanya malipizi pale raia wanapokosa njia ya kujitetea....