Mbowe ashindwa kuhudhuria Mahakamani. Kesi yaendeshwa kwa njia ya video, Yaahirishwa mpaka Agosti 27

yaani hapo ndiyo huwaga mnakosea sana eti dunia inawaona ? ulishaona wapi hao wa duniani wakamfosi nchi ifanye wanavyotaka wao wenyewe wanamapungufu yao kibao nyie zoeeni tu huyo umnampelekea chai kila siku gaidi wenu mpaka miaka kadhaa
 
HIYO MPAKA MIAKA MITANO ITAISHA KWA MTINDO HUO JAMAA AYAZOEE TU MAISHA YA SERO NDIYO NYUMBANI KWAKE KWA SASA
Mungu akupe macho ya kuona, akuondolee chuki dhidi ya binadamu wenzio, na mwisho akupe moyo wa toba wewe na wafananao na wewe.
How come, you enjoy other people's persecutions!
Sisi Ni binadamu, tusitake tufanane na nyani.
 
Mungu akupe macho ya kuona, akuondolee chuki dhidi ya binadamu wenzio, na mwisho akupe moyo wa toba wewe na wafananao na wewe.
How come, you enjoy other people's persecutions!
Sisi Ni binadamu, tusitake tufanane na nyani.
mtoto akililia wembe mpe utakapo mkata ndipo atakapo uogopa huwezi kushindana na mamlaka ukaangaliwa tu hivihivi wacha ale alichokuwa anapanda yaani ugaidi
 
Huu ushamba bado wanauendeleza tu ?
siyo ushamba na kaeni muzoee kabisa kuwa mbowe sasa hivi ni wa mahabusu tu hakuna kesi rahisi ya ugaidi kusha haraka ni ndoto zoeeni tu kimwamba chenu kinaozoea jela
 
Wameona wanaendwa kushindwa sasa wanatafuta namna ya kujinasua
 
Mambo mengine badala ya kusikitisha, yanachekesha....

Hii ni aibu kubwa sana. Bora wangetoa kisingizio kingine...

Waendelee kutesa watu, ila wajue Corona yupo, anafanya malipizi pale raia wanapokosa njia ya kujitetea....
Mzee mwenzangu umeiweka vizuri sana hio. Unanunua ndege wakati magari ya magereza huna? Tuna import hadi condoms?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…