King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Mkuu uwe unapumzika na kunywa angalau maji. Habari yenye maudhui haya ilishaletwa. Uwe unasoma na mada za wengine kabla ya kukurupuka na kuja kurudia mada humu.Huchoki kuleta nyuzi hapa JF kama johnthebaptist ?
Acha unanihii wakoHaya uliyopost hapa ndiyo yatasababisha gaidi abubakar aachiwe?
Kweli kabisa, ila sasa hivi tuna raha ya ajabu baada ya Mungu kutuondolea yule mtu muovu bila damu kumwagika.Wawauwe tu
USSR
Ndugu,Safi Sana,nachukia ugaidi kuliko kitu chochote,acha asote kabisa huyu mwamba ,na bado.
AMENMungu akupe macho ya kuona, akuondolee chuki dhidi ya binadamu wenzio, na mwisho akupe moyo wa toba wewe na wafananao na wewe.
How come, you enjoy other people's persecutions!
Sisi Ni binadamu, tusitake tufanane na nyani.
Kuexercise Uhuru uliopwe na katiba sio kushindana na Mamlaka mbona nyie watu mnafanyanwatunmazuzu au mnataka watu wawe Kama makondooo?.mtoto akililia wembe mpe utakapo mkata ndipo atakapo uogopa huwezi kushindana na mamlaka ukaangaliwa tu hivihivi wacha ale alichokuwa anapanda yaani ugaidi
matatizo ya kutumia uhuru uliopewa kuvuka mipaka ndiyo yanamkost mbowe wenuKuexercise Uhuru uliopwe na katiba sio kushindana na Mamlaka mbona nyie watu mnafanyanwatunmazuzu au mnataka watu wawe Kama makondooo?.
Ukiambiwa nenda kushoto unaenda na hutakiw kuuliza kwa nini?
Hiyo Mamlaka mtambue kuwa ni ya kupokezana Kuna siku itafika haitakuwa yenu.
So mkiwa na mamalaka Jambo moja tu linatakiwa, Ni 'kutenda kwa haki' na si 'kukomoa watu' kwa kuexercise Uhuru wao ndani ya nchi yao!
Jiulize pia wazungu wanatuonaje pale Lissu na CHADEMA wanaposhawishi nchi zao zituwekee vikwazo vya kiuchumi pale serikali yetu inapochukua hatua mahususi za kuifanya Tanzania isimame yenyewe bila kutegemea misaada ya nje, mfano tulipoweka sheria mpya ya madini. Ni wazi wanaona CHADEMA kuwa ni chama kilichojaa magaidi na wahujumu uchumi. Kwa kweli Chadema inatupa aibu sana mbele ya wazungu wako hao unaowahusudu.. Yaani wewe hujali aibu yako na taifa lako badala yake unajali aibu wanaoona wazungu? Hivi Chadema kwa nini mnawahusudu sana wazungu?Inasikitisha sana miaka 60 tangu tupate uhuru bado hatuwezi kujisimamia wenyewe ni aibu sana siju wazungu huwa wanatuonaje.
Uhurumatatizo ya kutumia uhuru uliopewa kuvuka mipaka ndiyo yanamkost mbowe wenu
Uhuru aliopew na Nani (a) CCM au (b) Sheria?matatizo ya kutumia uhuru uliopewa kuvuka mipaka ndiyo yanamkost mbowe wenu
Makaburu SA walikuwa maguvu na uwezo mkubwa sana kwa karibu kilakitu, nao walidhani wamemmaliza Mandelayaani hapo ndiyo huwaga mnakosea sana eti dunia inawaona ? ulishaona wapi hao wa duniani wakamfosi nchi ifanye wanavyotaka wao wenyewe wanamapungufu yao kibao nyie zoeeni tu huyo umnampelekea chai kila siku gaidi wenu mpaka miaka kadhaa
Ukija kubambikiwa kesi wewe mwenyewe au ndugu yako wa karibu ndio utajua kubambikiwa kesi kupo au hakupo.hakuna kesi ya kubambiaka ushahidi upo ila kesi haiwezi kwisha haraka kama unavyofikiri
Tatizo la mashoga ambao Lissu amewatosa kuwapeleka Ubelgiji mkaliwe matako.Ukiwa kwenye heat lazima umtaje Mbowe, utafikiri wewe ndiye wa kutolewa usichana kisha ukaachwa. Mkaushie huyu mshikaji mbona hata huko CCM kuna wanaume?
MUNGU anaipenda Tanzania na watu wake..Mambo mengine badala ya kusikitisha, yanachekesha....
Hii ni aibu kubwa sana. Bora wangetoa kisingizio kingine...
Waendelee kutesa watu, ila wajue Corona yupo, anafanya malipizi pale raia wanapokosa njia ya kujitetea....
Kuna ubaya gani kuwa nyani? Ni kipi kinakufanya wewe ujione ni bora kuliko nyani? Kujifungia ndani ya maukuta mazito mazito na walinzi juu? Nikupeleke maporini wanakoishi nyani ukaishi huko utachukua hata siku 3? Also acha kuwahusudu hao wazungu, ni binadamu tu kama wewe, hawana uspesho wowoteUtoto at work. Hapo wazungu wanaachaje kutuita manyani kwa mfano?
Pia jiulize kama tunge kuwa na utaratibu wakutatua matatizo yetu haya yange tokea?Jiulize pia wazungu wanatuonaje pale Lissu na CHADEMA wanaposhawishi nchi zao zituwekee vikwazo vya kiuchumi pale serikali yetu inapochukua hatua mahususi za kuifanya Tanzania isimame yenyewe bila kutegemea misaada ya nje, mfano tulipoweka sheria mpya ya madini. Ni wazi wanaona CHADEMA kuwa ni chama kilichojaa magaidi na wahujumu uchumi. Kwa kweli Chadema inatupa aibu sana mbele ya wazungu wako hao unaowahusudu.. Yaani wewe hujali aibu yako na taifa lako badala yake unajali aibu wanaoona wazungu? Hivi Chadema kwa nini mnawahusudu sana w
Tunaenda kupokea mindege airport kumbe magereza hawana magari....MUNGU anaipenda Tanzania na watu wake..
Tutarudi kati muda sio mrefu Blaza.
Watakuambia Sabaya sio gaidiKwanini Sabaya hajawahi kukosa gari la kumpeleka mahakamani?