majesty255
Member
- Oct 28, 2020
- 19
- 11
muandish mfuasi wa meco full😂WanaJF,
Katika hali ambayo ilikuwa inatarajiwa na wengi ni kwamba Mgombea Ubunge wa Jimbo la Hai kupitia tiketi ya CHADEMA ambae pia ni Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa amegaragazwa vibaya sana kwa kuambulia kura 27,000 tu wakati mshindani wake Mgombea wa jimbo hilo kwa tiketi ya CCM amefanikiwa kujizolea kura zaidi ya 80,000...
Ukitaka kupata kichekesho hiki"Katika masaa sabini na mbili yajayo nitakuwa waziri mkuu" - Freeman Aikael Mbowe.
Pole ni kawaida penicillin injection kuuma.Sawa Yaishe wameshindwa na watashinda na waliobaki wote na bungeni watakuwa wote na katiba wataibadilisha MM NAJIANDAA KWA SELF Sustaining life najua huko mbele kutakuwa uzuri ssna
Kwahy unayakataa maneno ya OCD wa HaiUungwana Ni vitendo. Hiyo tofauti kubwaaaaaaa sana. So kuwa Mpole Hizo Siasa tu. Ugali wako upo tu haitakusaidia kwa afya yako kujifariji kiujinga ujinga.
Sabaya aliwafurusha kwa mtutu fatiliaWakati wanaiba mawakala wa Chadema walisinzia?
Level ndogo kamtendea kazi kubwa Sana atampa uwaziri na yule DC wa Arusha aliyepewa udc Kama fadhila ya kutishia kumuua Zito na wapinzani rejea kauli alizotoa akiwa Iringa.Atapewa ukuu wa mkoa kama mwenzake aliyemtangulia yule RC wa Manyara.
Mwandishi kaandika kinaa Sana. Inaashiria huyu ni Sabaya mwenyeweNi aibu hata kuandika hivi
Anza kujiua wewe mkuuili nchi iende inabidi watu wauane
Mwandishi kaandika kinaa Sana. Inaashiria huyu ni Sabaya mwenyewe
Kweli hata mie nimeona nikajiuliza kwa nini atoe matokeo na hapo hapo amnange Mbowe.Mwandishi kaandika kinaa Sana. Inaashiria huyu ni Sabaya mwenyewe
Mbowe kashindwa kihalali maana gap hapo Ni kubwa mnoIla Mbowe hata 2015 alipata ushindi mwembamba sana!
Source ni tbc. zimeharibika kura 44 na mgombea wa act kapata kura 300 na ushehe..Kwa maana hiyo katika kura zaidi ya laki moja, hakuna kura hata moja iliyoharibika?
Mlisema mtaandamana, vipi mpo wapi nije?Ujinga mtupu, eti uchaguzi huru na haki!. umejaribu kutengeneza mazingira ili Mbowe aonekane hafai.
Kumbe mmeshinda kwa kujaza kura feki kila kona, Mbowe ni mwamba kawasumbua hamna hamu nae mpaka mmesaidiwa na tume.
Wametangaza matokeo haraka haraka usiku mnene kuogopa reaction ya wapiga kura, then asubuhi mapema defender zitaanza kuzunguka jimbo zima la Hai kuwatisha wapiga kura.
Ndio maana Ndugai alikuwa anachekelea bungeni wapinzani hawatarudi, kumbe huu mpango wa kujaza kura feki ndio ulikuwa kwenye vichwa vyao.
Mngeweza kumtoa hata roho, bora mmemuachia roho yake
Hakuna ukweli hapa mkuu. Mawakala wote wa Chadema Jimbo zima la Hai tulitolewa nje na kutfanyiwa vitimbi wakati wa zoezi la kuhesabu kura.Kama ni kweli basi ndo democracy yenyewe. Vijembe vya nini