Ujinga mtupu, eti uchaguzi huru na haki!. umejaribu kutengeneza mazingira ili Mbowe aonekane hafai.
Kumbe mmeshinda kwa kujaza kura feki kila kona, Mbowe ni mwamba kawasumbua hamna hamu nae mpaka mmesaidiwa na tume.
Wametangaza matokeo haraka haraka usiku mnene kuogopa reaction ya wapiga kura, then asubuhi mapema defender zitaanza kuzunguka jimbo zima la Hai kuwatisha wapiga kura.
Ndio maana Ndugai alikuwa anachekelea bungeni wapinzani hawatarudi, kumbe huu mpango wa kujaza kura feki ndio ulikuwa kwenye vichwa vyao.
Mngeweza kumtoa hata roho, bora mmemuachia roho yake